Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Anajua akili zake ndio maana anampa mitihani kwa vile kampa akili[emoji1787].Hilo ndio jibu .!!

Sasa nijibu mara ngapi na hakuna hata swali langu moja umejibu...

Swali nalijibu unarudia
Basi Mungu huyo ni sawa na kujitekenya na kujicheka mwenyewe.
 
Basi Mungu huyo ni sawa na kujitekenya na kujicheka mwenyewe.
"God does not burden a soul beyond it can bear"

Mfumo huo basi pasingekuwa na mitihani hata duniani🤣🤣..Akili yako ni hii uje duniani ukae tu ulale tu ,usiwe na njaa basi huu sio mfumo wala kusudio la Mungu .
 
"God does not burden a soul beyond it can bear"

Mfumo huo basi pasingekuwa na mitihani hata duniani🤣🤣..Akili yako ni hii uje duniani ukae tu ulale tu ,usiwe na njaa basi huu sio mfumo wala kusudio la Mungu .
Kwani huko mnakosema mbinguni wana ishije wao?

Mfumo uleule wa maisha ya huko mbinguni, Alishindwaje ku apply hapa duniani?

Na yeye Mungu huyo huko mbinguni

Anakaa tu?

Analala tu?

Mfumo wa huko mbinguni kwani upoje? Na Alishindwaje ku apply hapa duniani, Mpaka atupe hiyo akili ya kuishi hapa duniani?
 
Tunaongelea Mungu usikimbilie sijui mbinguni ...sikujakuambia kuhusu mbinguni hapa tunaongelea uwepo wa Mungu duniani katika hisia za binadamu.
 
Tunaongelea Mungu usikimbilie sijui mbinguni ...sikujakuambia kuhusu mbinguni hapa tunaongelea uwepo wa Mungu duniani katika hisia za binadamu.
Kwamba Mungu huyo sasa anaishi tena duniani?

Usha anza changanya mafaili...

Ehee..!! Mungu huyo yupo duniani wapi huko?
 
Kwamba Mungu huyo sasa anaishi tena duniani?

Usha anza changanya mafaili...

Ehee..!! Mungu huyo yupo duniani wapi huko?
Wapi nimeongelea kuhusu mbinguni au nimekuambia mtu akifa anaenda mbinguni?

Kwa nn unajitungua maswali😁😁.

Mungu yupo popote pale .!!
 
Logical non sequitur

Wapi nmesema kifo ni adhabu?
 
🤣🤣🤣Vitu vipo vingi, tofauti na kiumbe ndio maana hata shule unapewa mtihani kulingana syllabus yaani kitu mlichosoma na kipo ndani ya uwezo wenu, ila bado wengine wanafeli.
Sasa hapo unajibu madude gani

Huwezi kujibu maswali kulingana na yalivyoulizwa!?

Your communication skills is below average
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bac bible inasema Yahweh ndo Mungu wa ukweli na ilitangaza manabii feki ambaye ndo alikuja Muhammad
Njoo uthibitishe wapi imesema Muhammad ni nabii feki ?

Kingine, hakuna kitabu kinachoitwa "Bible" kinachotoka kwa Allah.

Vitabu vya Allah ni :

1. Zaburi
2. Taurati
3. Injili
4. Qur'an

Kwahiyo ili tujadili hilo, njoo uonyeshe ukweli wa Biblia kwanza, kuanzia kwa waandishi wake mpaka leo hii.
 
Amesema nani hayo ? Mwanadamu alipewa kazi ya kufikisha ujumbe kwa wanaadamu wenzake.

Sasa unaposema hivyo inaonyesha wazi humjui Mungu. Kuandika mwanadamu vitabu hii si hoja.
 
Jaribu kufuatilia maswali yangu kwa mtiririko kisha uniambie kama sikumtaja mzazi.

Nimeyaquote hapo chini kama nilivyo kuuliza na kubold neno mzazi pale nilipo litumia.
Rejea pale nilipo kujibu ulimtaja mzazi wapi ?
 
Haya maswali nilishakujibu na hapa nakujibu tena.

Kwa mzazi sababu ni mwanadamu atakuwa amefanya kosa kutumia moto kumuadhibu mwanae, hii ni kwa sababu jambo hilo lipo kwa Mola pekee.

Lakini, kama alikusudia kumuonya na si kumuua, tutasema alikuwa na nia njema kwa mwanae na mapenzi ila alitumia njia ambayo si sahihi. Sababu Kuna adabu za kuadhibu na kumpiga mtoto.

Suala la ndugu au rafiki kuwa na furaha au huzuni hili si swali la msingi, lakini jalia ni jambo la msingi hawataangaliwa hao ndugu na jamaa.
 
Sawa Sina hoja ili uonekane uko sahihi kosoa Nina chokiandika.

Subiri Sasa nizaliwa Mkristo ndio uje kuuliza swali au kujenga swali hilo. Hatuishi kwa kubahatisha kijana. Hizi njia ndio zimewafanya muwe wajinga na wavivu wa kufikiria.

Sasa kosoa ninacho kiandika, usiseme tu Qur'an. Kijana unasema Mimi Sina hoja ila wewe unalalama mwanzo mwisho.

Kijana Qur'an yenyewe ni uhalisia unataka nifikirie vipi ? Unataka nikosee katika kufikiri nini ?

Qur'an si kitabu kama vitabu vingine, utakuwa huijui Qur'an unaisikia tu ndio maana unaandika. Katika miujiza aliyo kuja nayo Mtume Muhammad ni hii Qur'an.
 
Huwa nacheka sana unapo nukuu nususi zetu sis Waislamu.

Nataka uje na hoja.
 
Kwanini unatoa mfano ambao hauwezi kuiweka katika hiki tunachokijadili ?

Ukiambiwa huna akili utasemaje ? Jenga hoja kwa hoja ninazo simama nazo Mimi.

Huu utoto usiandike tena.
 

Kwanza sahihisha unachokiandika. Mola ameumba watu ili wamuabudu na si ili awachome.

Hii lugha rahisi sana, hapa Kuna lengo na Kuna matokeo kwa maana hatima.

Anajua ya kuwa wewe hutamuabudu sababu amekupa uhuru, akili, matashi, na uwezo kufanya wema na kuacha uovu na kufanya uovu na kuacha wema. Kwa maana kujua kwake hakukuzuii wewe kufanya unalitaka. Hapa nakupa mfano, Leo hii Mimi kwa kumjua mwanangu vilivyo naweza kumpa hela mfano shilingi 100, nikajua kabisa huyu mtoto wangu lazima hii hela ataenda kununua pipi, na kweli baada ya muda anakuja na pipi. Sasa hii ni kwako wewe mwanadamu, lakini kwa Allah ni zaidi kwa maana ya uhakika kabisa. Kuna vitu tunapo waeleza mnatakiwa muwe mnavifikiria kwa undani sana.

Mola ni mwenye upendo kamili, ndio maana wewe unae mkana na humuabudu anakupa pumzi, inatafuta rizki na mambo mengine, anakuletea wajumbe na mengine.

Ameumba wema na ubaya ili mtu achague anapo pataka, tunaita uhuru. Si ndio nyinyi kila uchwao mnataka uhuru na kuulilia, Sasa mmepewa uhuru lakini mnalalama. Wanadamu mnashida sana.
 
Unafahamu kwamba ukileta kigezo cha kutupa free will halafu aje kutuchoma moto tyari anakiwa sio wa upendo wote, anakuwa Mungu katili sana asiye na huruma?

Aisee nimecheka sana, hivi hiki ulichokiandika umekisoma ukakielewa ?

Unajua maana ya free will ? Sasa unapopewa uhuru na ukaambiwa ukifanya ovu utaingia motoni na ukifanya mema utaingia peponi, peponi ukaachagua uovu ? Ukichomwa utalaumu nini na kwanini uchague uovu ?

Kijana narudia tena una matatizo ya akili. Mnaandika vitu dhaifu kushinda nyumba ya bui bui.
 

Ndio maana niliacha kusoma Falsafa na logic kama fani. Yaani unaandika utoto. Nani ambaye haijui filimbi kijana ? Filimbi ni maarufu, mpaka nakwambia haipo ujue kwamba filimbi naijua.

Sasa tukirudi kwenu nyinyi, mnakosea sifa ya kumjua Mola halafu mnasema hayupo, hii akili matope ? Hili swali la wewe kutuambia Mola hayupo, unatakiwa kwanza umjue huyo Mola ni nani ? Lakini humjui, halafu unakuja kuleta mfano wa kitu ambacho kinajulikana kilivyo. Nyinyi wakupigwa makofi.


Kwahiyo usikimbie hili swali, msitiletee utoto wa kijina. Ukija uje na uthibitisho ya kuwa Mungu hayupo.

Na Mimi nakwambia hivi, hakuna kitu chenye ushahidi mkubwa wa kuwepo kwake kushinda Mungu, hata ushahidi wa kuwepo kwako wewe ni mdogo sana kushinda ushahidi wa uwepo wa Allah mtukufu.

Sasa usilete stori.

Thibitisha ya kuwa Mungu hayupo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…