Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Umeumbwa na kupewa akili timamu kuliko viumbe wengine wote

Akakuletea manabii na vitabu Ili vikupe muongozo jinsi gani uishi Dunia na Baada ya kuondoka duniani

Sasa wewe kama umesoma vitu vyote Yani
TAURATI
ZABURI
INJILI
QURANI

Kisha bado usijue au kuamini kama Mungu yupo basi kupelekwa Jahannam kuchomwa moto ni halali yako

Broo Jahannam inakusubiri
Hivi vitabu mbona vinatofautiana kuhusu huyo Mungu
 
Wewe hata mtoto wako akufanyaje huwezi mchoma Moto Tena milele. Imagine this mtoto wako hajawahi kukuona hajawahi kukuskia isipokuwa kwa watu afu baadae ukutane nae umchome kisa hajaamini upo si utaonekana kichaa

Mkuu binafsi baada ya tafakuri ya kina kuhusu Mungu basi picha inaojengeka kupitia “maneno yake” ni kuwa Mungu ni kiumbe fulani MKATILI SANA na wala sioni huo upendo anaompenda binadamu kama mboni ya jicho lake
 
Mkuu binafsi baada ya tafakuri ya kina kuhusu Mungu basi picha inaojengeka kupitia “maneno yake” ni kuwa Mungu ni kiumbe fulani MKATILI SANA na wala sioni huo upendo anaompenda binadamu kama mboni ya jicho lake
😂Si kila kitabu kinasema god is love cjui after chapter kadhaa unaskia kill all unbelievers
 
Uthibitisho wa kwanza Mungu yupo ni wa kiasilia wala hakuna haja ya kupiga kelele.

Ipo hivi ,jamii zetu kihistoria hata uende kwa wahadzabe wanaoishi porini kuna kitu wanaabudu ambacho ni imagery yaani kinabaki kama imani ya moyoni ,wanaweza kuabudu hata mti kwa sababu mambo yanayotokea dunia hakuna kiumbe hai (anayeonekana anaratibu hayo mambo) kama magonjw ,vifo ,ulemavu ,watu kuzaliwa na jinsia tofuati & watu kuzaliwa na kasoro....Mfumo mzima wa maisha ya binadamu hakua ajuaje kesho ina maana akili ya binadamu hata yule primitive kabisa kama mnavyosoma alikuwa anaabudu kitu ambacho kipo kweny ulimwengu wa kiroho.



Binadamu wa zamani walikuwa na upeo mkubwa sana wa mambo ndio maana waliweza kuabudu hata miti na mizimu kwa sababu walijua binadamu halisi hana achojua kuhusu kesho yake ,kama laiti angejue angekuwa mtu wa kuhairisha mambo (procrastinating ) ...Nina maana gani kama mtu leo anajua anaenda kupata ajali basi asingeenda hiyo safari wala kupanda hiko kipando (gari, pikipiki,baiskeli)


Maisha ya binadamu ni fumbo hata yule Hawking na kejele zote ila kaishia kuwa zombie(paralyzed) hajielewi yaani yeye pia na akili zote hajui kesho yake ,je kapenda kuwa vile wakati alihangaika kujibu ikashindikana mpaka kama kama zombie mpaka umauti unamfika..

Wanakuja wazungu na wanasayansi nguli✍️✍️
Mapema kabisa wanadamu anapoanza kufanya ugunduzi anakujw kugundua kila kinatokea katika "muunganiko wa hatua na force zinawezesha hilo jambo kufanyika" finally wanakuja kukubali kila kitu kinaendeshwa na "mechanism" ina maana kutokea kwa kila kitu kuna sababu...
You Appeal to tradition.

Na hilo haithibitishi kivyovyote kuwa kuna Mungu.
 
Hiyo pumzi unayovuta na ufahamu uliokufanya kuandika haya mauchafu yako alikupa nani? Pumbavu
Mungu yupo kwako kwasababu hujui mambo tu.

Kwanini unahisi hiyo pumzi alipewa na kitu?

Kwanini unauliza nani?

Je unalenga uambiwe Mungu?
 
Alikufa kwa ajili ya dhambi ipi wakati bado natenda dhambi

Just imagine mkuu
Mungu kamtupa shetani duniani amuhadae binadamu afanye dhambi
Halafu tena Mungu akamleta mwanae Mungu Yesu afe kwaajili ya hizo dhambi
Halafu shetani bado yupo na dhambi bado zipo palepale

Inabidi ujitoe ufahamu kuamini hizi tales
 
😂Asa hapa si umeprove ni dhana coz naweza tengeneza sanamu nikaomba mvua ikanyesha so sanamu yule ndo Mungu au...na mwingine hajaomba ila mvua imemnyeshea pia...
Elewa uwepo wa Mungu ambao ni kitu nje ya uwezo wa binadamu ...Hata wewe hujui kesho yako yanaweza kutokea yasiyokupendezea nan anafanya hivyo ?sio akili yako wala uwezo wako.!!
 
😂Soma torati na walawi na Quran afu usome hukumu zake naona unajikosha
Tunaongelea Mungu hapa kama unataka dini kwa maandiko niambie?

Sitaki kukupeleka kweny maandiko maana hauamini sasa twende kiakili tu.

Unafikiria yule jamaa wa Titanic alivyosema Mungu hawezi kuzamisha meli alijiona ana uwezo zaidi 😅😅.
 
Nk
You Appeal to tradition.

Na hilo haithibitishi kivyovyote kuwa kuna Mungu.
Nakuonyesha kiuhalisia binadamu yeyote anatambua uwezo wa Mungu hata wanaoishi porini lazimq kuna kitu wanaabudu...Jaribu kusoma documentary ndio utajua.

Usiwe mbishi kwa kitu hujui ,hakuna jamii ambayo haiabudu tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
 
😂😂😂Ubongo upo hai pia...sio roho ..soma Sayansi dogo acha kujikosha...hujaprove chochote hapa.. umeprove tu duniani Kuna wajinga wengi bac
Sayansi ipo huyo Stephen Hawking kafa kama zombie 😀😀na alikuwa anaprove sio wewe unayekariri hata theory moja hauna.

Dogo we fanya kucopy hata ukiambiwa binadamu alikwua nyani fuata maana hauna akili zaidi ya hapo ,wanaondika ni binadamu kama wewe ambao hawajui kesho yao.

Wapo watu wana matatizo ya ubongo na wanaishi .

Na roho ya binadamu ipo sehemu yeyote ile ya mwili sio kooni kama unavyofiria,ndio mqana binadamu anahisi maumivu sehemu yeyote ile unaweza kukatika mkono ukavuja damu mpaka ukafa sio lazima ukatwe kichwa.
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
Umesahau kuwa tumeaminishwa kuwa ni mmiliki wa vyote vilivyomo ulimwenguni, na pia ni mwenye ukwasi wa kutosha. Cha ajabu michango nyumba za ibada haiishi kila kukicha.
Imefika hatua hakuna tofauti ya nyumba za ibada na TRA kwenye kukusanya mapato.
Huwa najiuliza kama mimi mshahara wangu huo huo natumia kusomesha, kulipa kodi, kujengea n.k.
Lakini unatoa sadaka na zaka kwenye nyumba za ibada lakini linapokuja suala la ujenzi, kuchangia wenye mahitaji maalum unaanzishwa mchango mpya kwaajili ya jambo lililoibuka.
Najiuliza kwanini mapato ya nyumba za ibada yasitumike kugharamia mambo mengine yahusuyo imani mpaka waturundikie michango lukuki?
 
Back
Top Bottom