Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Kama hakuna Mungu imani ya BIBILIA(maneno ya Mungu) itatoka wapi sasa?

Nimezaliwa na kulelewa mazingira ya uislam kwa mama na ukristo kwa baba, nazijua jua vizuri hizi dini
Toka utoto wangu naaminishwa habari za Mungu lakini kadiri ninavyozidi kukua concept nzima ya Mungu ikaanza kukosa maana kabisa

Na sasa nimejiridhisha pasi na shaka ya ziada huu ni uongo mtakatifu
Ningejua mapema nisingepoteza muda wangu kwa huu uongo
Mmh
 
Mpumbavu usema moyoni mwake kuwa hakuna MUNGU, SI maneno yangu ni bible

Kama hauamini uwepo wa Mungu Kwa sababu haumuoni basi hamini pia kutokuwepo kwa hewa au upepo kwa kuwa hauuoni wala uwezi kuushika, pumbavu.
Tulishakataa kutuletea hoja kwa kunakili kutoka kwenye kitabu chenu hicho cha kitapeli .

Biblia ni utapeli mtupu. Eti ni neno la Mungu, si angeandika mwenyewe akakishusha? Yeye si Kuweza wa yote, alishindwaje kushusha maandishi?

Pumbavu kabisaaa
 
MMungu si mtu kivipi wakati anaona, anamasikio, ana hasira, anatembea, ana wivu n.k???
Wanao pinga kwamba eti Mungu hayupo. Lakini kiukweli, hajui hata wanae mtafuta, ndicho nilicho gundua wengi wamtafuta kamavile ni ni mtu wakati Mungu si mtu. Pili njia mnayo itumia kumtafuta tatu mnachokitafuta kwake hamkijui ndiyo maana itimisho. Mnaishia kusema hakuna Mungu, namakejeli mengi Mimi huwa naishia kuanglia.
 
Unauhakika gani katika hili?

Unauhakika Australopithecus walikuwa wanaabudu?
Walikuwa wanaabudu na angalia jamii zote ,ukitaka kujua hili hata wazungu wanapotray jamii za msituni kweny movies zao au jamii ya zamani ,wanaonyesha mila zao za kuabdu kama ni miti ,masanamu.
 
Kama ni hivyo basi hata uovu,mabaya, dhambi, mateso na ukatili wote hapa duniani Ulipangwa na huyo huyo Mungu.

Mungu huyo pia atakuwa mkatili sana, Kwa kupanga Dunia yenye kila aina ya uovu na mateso.
Mungu hawezi kuwa katili kwa vile ana samehe...

Pia Mungu anaongoza nafsi ya mwanadamu ndio maana kuwa wabaya na watu wema ila wote anawapa riziki ,ukitaka kujua ukweli basi Mungu ataongoza nafsi yako utajua ila kama hutaki basi..

Wangapi walipinga wakaja kuamini uwepo wa Mungu.
 
Hata Uongo upo pia.

Kitu kuwepo si lazima kiwe ni ukweli kipo, Hata kwa uongo kinaweza kuwepo.

Mungu kuwepo ni Uongo.
Hakuna kipo kinachosemwa hakipo ,binadamu hawezi kufikria zaidi nje ya mazigira ila anaweza kuendeleza mazingira yake.

Unaposikiw hata Alliens basi wapo ila wanaopinga wapo pia..


Ndio maana huwezi kuota mtu usiyemjua ..
 
Dini ni ngumu sana sio sawa na bia inakuwa na sentesi moja tu kwenye label,,,kunywa kistaarabu
 
Hakuna kipo kinachosemwa hakipo ,binadamu hawezi kufikria zaidi nje ya mazigira ila anaweza kuendeleza mazingira yake.

Unaposikiw hata Alliens basi wapo ila wanaopinga wapo pia..


Ndio maana huwezi kuota mtu usiyemjua ..
Mimi nikiamua kufikirika
"Duara la mraba" ( A square circle) halafu nikasema lipo.

Je Utakubali kuwa Duara lenye umbo la mraba lipo, kwa vile umesikia nikisema lipo?

Sio kila lisemwalo lipo au linaweza kuwepo, kwa vile tu limesemwa lipo.

Lazima uwepo uthibitisho wa kuthibitisha uwepo wa kitu hicho.
 
Mimi nikiamua kufikirika
"Duara la mraba" ( A square circle) halafu nikasema lipo.

Je Utakubali kuwa Duara lenye umbo la mraba lipo, kwa vile umesikia nikisema lipo?

Sio kila lisemwalo lipo au linaweza kuwepo, kwa vile tu limesemwa lipo.

Lazima uwepo uthibitisho wa kuthibitisha uwepo wa kitu hicho.
Duara la mraba umeongelea vitu viwili ...Iqe duara halafu mraba😂😂😂litakuwa na jina lingine..

Ndio maana hakuna Dume -jike ukiwa ni mwanaume na sifa za kike ni shoga ndio jina jipya.
 
Sayansi hakuna ilichogundua kipya...maana hakuna kipya ila imefanya yasiyofahamika vema kwa binadam yafahamike...mfano: viumbe hai na mifumo yake, hewa, umeme, anga na sayari zake ipo tangu hapo... sayansi hijagundua isipokuwa imeleta utambuzi wa kujua jinsi inavyofanya kazi, ambapo hata hivyo hajajulikana kabisa ndio maana bado changamoto zake ni nyingi....tukija kwenye technology ni copy, replicate and paste....mfano, gari ,ndegeni copy ya movement ya viumbe wengine, memoy copy ya ubongo, camera copy ya jicho na vingine vingi....hiyo sayansi isiwadanganye mkajaa kiburi cha uzima...
Wewe ni mtu mwenye roho mbaya sana.

Umeshindwa kuapreciate yote haya yaliyofanywa na sayansi,

Unaidharau science hii ambayo unatumia device (computer) kuwasiliana hapa JF!?

Then unasema hakuna jipya imetengeneza!?

Unaposem haijagundua lakini imefanya yasiyofahamika vyema yakafahamika huo si ugunduzi?

wakati hata majibu ya ulimwengu ulitokeaje na ikawaje tufe kubwa kama dunia na mengine mengi kuelea pasipo kushikwa na chochote mpaka leo hakuna majibu.
Unauhakika haina majibu au wewe ndo hujayasoma tu!?
 
Bro Mayu hivi hata kama huamini katika uwepo wa Mungu, vipi unahisi hii dunia ilianzaje anzaje tuanzie hapo kwanza!
 
Duara la mraba umeongelea vitu viwili ...Iqe duara halafu mraba😂😂😂litakuwa na jina lingine..

Ndio maana hakuna Dume -jike ukiwa ni mwanaume na sifa za kike ni shoga ndio jina jipya.
Umeona sasa unakataa uwepo wa duara hilo la mraba kwamba halipo, Kwa vile hujawahi kuliona.

Kwa vile ni mafikirio yangu tu na makisio yangu kusema kwamba Duara la mraba lipo, lakini kiuhalisia halipo ndio maana umekataa uwepo wa duara hilo

Kwamba unataka uthibitisho wa uwepo wa duara hilo ili uamini lipo.

Vivyo hivyo, Hakuna Mungu kwa vile ni mafikirio na makisio ya watu tu.

Ili Mungu huyo awepo, lazima athibitishike yupo. Kama vile ambavyo unataka mimi, nithibitishe uwepo wa duara la mraba kwamba lipo ili uweze kuamini lipo.
 
Bro Mayu hivi hata kama huamini katika uwepo wa Mungu, vipi unahisi hii dunia ilianzaje anzaje tuanzie hapo kwanza!
Kwa nini unadhani Dunia ina mwanzo?

Kama unaweza kuamini Mungu usiyemjua Hana mwanzo, unashindwaje kuamini pia Dunia haina mwanzo?

Kama kila kitu lazima kiwe na mwanzo, Hata Mungu lazima awe na mwanzo vilevile, Hawezi kuwepo kwa kutokea tu from nothing.
 
Jenga hoja kuonesha na kuthibitisha kwamba Mungu yupo.

Pia jenga hoja kuonesha kwamba uchawi upo.

Ukishindwa wewe ndio Bogus na huna akili kabisa.
Bogus huyu mnyiramba wa kinampundu na wewe wa butundwe ni bogus mara mbili
 
Kwa nini unadhani Dunia ina mwanzo?

Kama unaweza kuamini Mungu usiyemjua Hana mwanzo, unashindwaje kuamini pia Dunia haina mwanzo?

Kama kila kitu lazima kiwe na mwanzo, Hata Mungu lazima awe na mwanzo vilevile, Hawezi kuwepo kwa kutokea tu from nothing.
Wewe sasa ndio useme kwa upande wako (As Atheist) chanzo cha dunia hii ni kipi? Wenzako Wanasayansi wameumiza kichwa sana na mwisho wa siku wa kaishia kutoa hoja ambazo pia Zina madhaifu makubwa mno... Tuanzie hapo what is your Conclusion on the source of the Universe??
 
Bogus huyu mnyiramba wa kinampundu na wewe wa butundwe ni bogus mara mbili
Umeshindwa kujenga hoja za kuonesha uwepo wa huyo Mungu.

Una tukana matusi.

Yani uko nje ya mada kabisa.

Don't quote me, if you're not mentally enough to argue with me.
 
Umeshindwa kujenga hoja za kuonesha uwepo wa huyo Mungu.

Una tukana matusi.

Yani uko nje ya mada kabisa.

Don't quote me, if you're not mentally enough to argue with me.
Usikotiwe wewe nani? hakuna mada hapa kuna maushubwada tu na kwa taarifa yako tu kwenye battles za kidini hunigusi hata chembe

Ni ignore sasa ukafie mbele huko hamjui dini mnakaa kuzi criticize
 
Ona sasa science ndio imeweka huo utaratibu na wao wametafuta sababu ya huo utaratibu
.

Nan kaweka huo utaratibu 😂😂😂?mtu kuzaliwa mpaka kufa?
😂Again nikikuambia spiderman kaweka utabisha...utakuwa na proof against me... haya muabudu spiderman or else atakung'ata
 
Nan kafanya kiumbe awe hivyo ,mbona watu wanatengeneza magari na kuweka mifupo mpaka inatembea.!

Hata kuendesha gari kuna mechanism kutokana na utaratibu wa gari lilivyotengenezwa ,unaweza usijtengeneza gari ila ukajua kwa kusoma jinsi linachanya mpaka litembee.
Okay naweza jifunza pia kutengeneza gari coz Kuna viwanda vya gari..Kuna watu wanatengeneza magari tunawaona... plus Mimi sio gari. So mfano wako ni mfu
 
Back
Top Bottom