Uongo na Ukweli Kuhusu TANESCO Kuzuiwa Kufanya Maintenance

Uongo na Ukweli Kuhusu TANESCO Kuzuiwa Kufanya Maintenance

Halafu anazungumzia kampuni moja tu Songas ambayo aipo kwenye control ya TANESCO.

Nyingine zote zinazozalisha umeme chini ya TANESCO mbona hakuna mahala wamezuiwa kufanya schedule maintance.

Si ajabu Songas ataki kupoteza hela anasubiri low season ya vyanzo vya maji ndio aombe maintance akijua atakataliwa, na mara ngapi kwa mwaka aliomba kufanya hizo maintance akanyimwa, sitoshangaa kama ni collusion tu.

Watu inabidi wawe makini na hawa mafisadi na hizi report za CAG sio kumeza nzima lazima tuulize pia to what extent pia walitaka ufafanuzi kutoka kwa mkonge wa taifa na time frame kabla ya kupewa majibu.

Sijaona sehemu ambayo taasisi ya TANESCO imezuiwa kufanya schedule maintance katika hadithi yake iliyotukuka.
Huyu jamaa anafikiri watz wote ni mazuzu hajui tumeshazibukaga akili sikuhizi. Mtu anafanya uchawi mchana na tunamuona yeye akihisi hatuelewi kitu
 
Aliongeza MW ngapi kwenye grid ya taifa kama kweli alifanya mambo ya kipekee?.
Usimamizi thabiti na nia njema. Alifariki kabla dhamira haijatimia tu. Ila kwa uwezo na ari aliokuwa nayo lazma SGR na Umeme vingesimama imara.
 
Kitu cha msingi ni kuwa wakati wa magu kulikuwa hakuna kitu kama hicho cha mgao na kuhusu matengenezo mbona magufuli kachukua nchi kutoka kwa kikwete hali ya umeme ilikuwa mbaya siku zote sasa kati ya kikwete na magufuli ni nani aliyekuwa dhaifu ? Pia tukisema mitambo iliburuzwa kufanya kazi bila ya matengenezo hiyo wanataka kutuaminisha kuwa jpm alikuwa anakwenda kujiujumu yeye mwenyewe kwa kuaribu sekta ya umeme tena ukizingatia alikuwa anajenga sgr ya umeme ? Hapo utagundua ni big no ,jpm ndiye aliye liwezesha shirika la umeme tz kupata mapato makubwa kwa mara ya kwanza tena pasipo kuongeza gharama ya umeme kwa miaka yote aliyekuwa ikulu ,ukitazama kwa makini utagundua magufuli alichukua uamuzi wa akili sana kujenga bwawa la umeme wa maji ambao ni nafuu kwa zaidi ya mara tatu ya umeme wa gesi kwa sababu mradi wa gesi tulisha pigwa kimikataba ndiyo maana tunauziwa gesi kwa bei kubwa mara mbili ya iliyostaili tununue
Yeah na pia hela za gesi wanazokusanya nyingi zinaenda kwa mabeberu ndio maana Magufuli hakuona tija tokana na mkataba mbovu aliopitisha chief jakaya..ila za JNHPP asilimia 80 au zaidi zitakuwa zetu humu endapo mradi ukikamilika. Tukinunua umeme hela zote zinabakia ndani.

Kinachowaboa kina Marope ni kuwa kule JNHPP mkataba haujachezewa ili kuwanufaisha wao ama CCM vigogo. Ndio maana wakageuka anti-magufulification. Hawakumpenda kabisa sababu hakuwapa chance ya kutengeneza michongo ya 10%
 
Sio number tu ukimuuliza alete ushahidi wa week na tarehe ndani miezi 8 kama Songas imefanya maintance to justify current power cut sidhani kama anao.
Tatizo hayo manamba ame copy & paste from huko anakopaamini hivyo kaamua kuya-defend no matter what.
 
Tatizo hayo manamba ame copy & paste from huko anakopaamini hivyo kaamua kuya-defend no matter what.
Tatizo lenyewe anaweka extracts tu za numbers na paragraphs anazotaka yeye to justify his position na kusema alipotoa hizo info bila ya link (ili iwe rahisi na wengine kupitia).

Sasa kwa JF wachangiaji wenyewe siku zingine baada ya shughuli zao za dunia halisi kichwa kinakuwa hoi. Kufanya google search ya hizo info zake mtihani mwingine so inabidi uende na perpective yake, which is still flawed ukiangalia kwa makini.
 
Jamaa anaamini namba ndio kila kitu, wakati hali halisi field iko hovyo kabisa.
Mambo kwa ground ni different! Ndio yale yale ya tupo uchumi wa kati ilihali kuna watu kupata milo miwili tu ni shida
 
Kinachojadiliwa ni umeme.
Sasa si umeuliza alifanya nini? Ulitaka nikujibu majibu ya uongo ama! We lini ulisikia umeme unakatika kwa sababu za hovyo kama anazotoa marope katika utawala wa Magufuli?
 
Usimamizi thabiti na nia njema. Alifariki kabla dhamira haijatimia tu. Ila kwa uwezo na ari aliokuwa nayo lazma SGR na Umeme vingesimama imara.
Je,unakubali kuwa JPM katika suala la umeme kutokatika Mara kwa mara alitengenezewa mazingira hayo na JK kupitia Kinyerezi I iliyoanza kuchangia zaidi ya MW 200 kwenye grid ya taifa mwezi oktoba 2015?
 
Bajeti ya kinyerezi III na IV ni kiasi Gani.Hata hivyo tatizo la umeme nadhan pia Lina maslahi kisiasakwa watu flani.Maana zile kelele tuliambiwa baada ya ugunduzi wa gesi kuwa itabaki historia umeme kukatika zimeyeyuka
 
Baada ya maelezo yako marefu, je wanatuhakikishia kuwa kwa vile sasa wanaweza kufanya matengenezo inavyotakiwa Tanzania haitakuwa na tatizo la upungufu wa nishati ya umeme? Je, matengenezo ya muda na kiasi gani yataondoa tatizo la mgao?
Kisha hizo maintainance kama zilikuwa ni problem kwanini hawakumwacha aliyehusika na hilo kosa, mtoto afe mkononi mwake ili awajibike vizuri?
 
Kamba tu ndio dawa...
Mahakama pia ziwe mhimili..

Mkuu tuongeze na ile raisi akitoka madarakani kama ana tuhuma za ufisadi, wizi, jela imhusu, amalize awamu zake lakini kichwani anajua kabisa akizingua atajibu muda wake ukiisha...

Wabunge watumie probox, gari ya mil 400 ya nini kwenye nchi masikini kama hii?
Hilo gari la mil 400 linamfaidisha nini mwananchi?
Yani kuna mengi sana ya kubadilisha! Ubunge uwe wito sio kichaka cha kujitengenezea utajiri waharaka haraka.

Wabunge wakianza kutumia suzuki escudo tutaheshimiana!

Rais awajibishwe
 
Tunajua IPTL mpya is loading.... Please wait!!

Tuna Wasomi Wa Kila Aina::-

  1. Darasa La Saba

  2. Kidato Cha Nne

  3. Kidato Cha Sita

  4. Cheti

  5. Astashahada

  6. Shahada

  7. Uzamivu


Lakini Bado Ufumbuzi Hauonekani Zaidi Sound​

 
Kabisa mkuu...

Tusisahau pia watoto wa viongozi wasomee government schools, hii itasaidia waweze kujituma kuhakikisha wanaboresha elimu...

Inakuwa ukishaingia tu madarakani, watoto ni government school, hio haina mjadala...
Eeh iwe compulsory kama kutumia TTCL
 
Back
Top Bottom