Uongo na Ukweli Kuhusu TANESCO Kuzuiwa Kufanya Maintenance

Uongo na Ukweli Kuhusu TANESCO Kuzuiwa Kufanya Maintenance

Kama ambavyo wadau mbalimbali wamekuwa wakisema mara kadhaa, Mkakati wa Taifa kuhusu uzalishaji wa umeme ulikuwa:-
View attachment 2015968
Yaani, malengo hadi kufikia June 2020, tulitakiwa tuwe tumezalisha 4,915 MW. Hiyo ni Performance Audit Report iliyotolewa na CAG March 2019.

Hata hivyo, ripoti ya wizara inasema hadi kufikia mwishoni mwa 2019, tulikuwa tunazalisha ONLY 1,565.72 MW... ni takribani 33% TU ya malengo!!
View attachment 2015977
Kutofikiwa huko kwa malengo kulitokana na kuhamishia nguvu ZOTE kwenye Bwawa la Nyerere, na hata zile Kinyerezi III na Kinyerezi IV, zikatekelezwa!!!

Of course, labda waliamini kwamba 1,602.32 zingetosha kutufikisha hadi kuanza kutumia Bwawa la Nyerere!! Sasa sijui walizingatia kila siku kuna wateja wapya wa umeme, na kwamba kuna kuharibika kwa mitambo... only God knows!!!

Tuje kwenye Ubungo II ambayo tunaambiwa ni mbovu, huku wengine wakihoji ikiwa ubovu umeanza baada ya JPM kufariki!!! Au ni janja janja tu ya kutaka kuhujumu Mradi wa Bwawa la Nyerere!!!

Je, maintance ilikuwa inafanyika?! Jibu lipo kwenye ripoti kwamba:-
View attachment 2015999
Utaona hapo, Mashine #1 na #2 zilipitisha zaidi ya saa 10,000 tangu siku zilipotakiwa kufanyiwa maintanance!! Yaani Machine #1 iliendelea kuburuzwa kwa mwaka 1 na miezi tangu ilipotakiwa kufanyiwa ukarabati, huku Mashine #2 ikiburuzwa kwa zaidi ya miezi 18 bila kufanyiwa maintanance tangi siku ilipotakiwa kufanyika!!

Je, ikiwa hiyo ni ripoti iliyoandikwa kutoka kwenye takwimu za 2018, je maintance ilifanyika? Na kama ilifanyika, ilifanyika lini?

TANESCO wenyewe, hawa hapa chini:-
View attachment 2016022

Kumbe, hata baada ya miaka 3 baadae, bado Ubungo II ilikuwa haisomeki!!!

Sasa ikiwa tatizo lililopo miaka na miaka, ni mjinga tu ndie anaweza kuamini kwamba hivi sasa Ubungo II ipo operational, lakini sie wapiga deal za kuuza majenereta tunafahamu mambo bado si shwari!!!

Ina maana shida ni kukosekana kwa vifaa peke yake ndo maana haya mambo ya maintanance yanachelewa namna hii?!

Again, CAG's Performance Audit Report iliyotolewa March 2019 inasema:-

Kumbe, jamaa ilikuwa wakitaka kufanya maintanance, wanapigwa STOP, na matoke yake mitambo ikawa inaburuzwa tu hivyo hivyo!!!

View attachment 2016037

Wadau walipozungumzia hilo suala, wakaitwa majina yote ya ovyo ili mradi tu....!!

Ndipo tunarudi pale pale, mbona hilo tatizo la upungufu wa umeme halikuwepo wakati wa JPM!!!

Swali ambalo nimekuwa nikiwauliza wanaotoa hiyo hoja ni kwamba nyie wenzetu mlikuwa mnaishi Tanzania ipi ambayo haikuwa na matatizo ya umeme!!

Anyway, inawezekana wenzetu ni watoto wa kishua mnaoishi kwenye viunga vya Ikulu... lakini sie tulio huku Ushenzini, hususani kwenye miji na vitongoji vikongwe vyenye uchakavu wa miundombinu, kwetu tatizo liliendelea kuwepo muda wote!!

But on top of that, ripoti hapo inaonesha, TANESCO walikuwa wanapigwa STOP kufanya maintenance pale Ubungo II kwa sababu hatukuwa na hifadhi ya kutosha ya umeme kwenye Grid ya Taifa.

Hofu ikawa kwamba, kutokana na kutokuwa na hifadhi ya kutosha, kama mitambo ingezimwa kwa ajili ya maintenance, basi huenda tungelazimika kuingia kwenye mgao!!

Sasa kama tulikuwa tunaogopa kuzima Ubungo II ambayo umeme unaotoka pale is ONLY 105MW, nini kinaweza kutokea kukiwa na upungufu wa maji ambapo, total power generated from hydro, ni 574MW?!

View attachment 2016047

Kama unakataa nchi haipo kwenye ukame, basi tatizo hili la sasa ni la kutegenezwa na mafisadi na wapinzani wa Bwawa la Nyerere, huku sie vibaraka wao tukikesha kuwapanga watu!

Akili za kuambiwa, changanya na zako!

Lakini itoshe tu kusema kwamba, ushabikiwa kijinga unaliangamiza taifa!!!
Wekeni data zote kuhalalisha upigaji,lakini Magufuli kawa prove wrong within a short time,najua mna nguvu kubwa ya propaganda,mtafanikiwa kwa muda tu ,si daima
 
Baada ya maelezo yako marefu, je wanatuhakikishia kuwa kwa vile sasa wanaweza kufanya matengenezo inavyotakiwa Tanzania haitakuwa na tatizo la upungufu wa nishati ya umeme? Je, matengenezo ya muda na kiasi gani yataondoa tatizo la mgao?
Yaani waseme tu matengenezo yanahitaji miezi 3, baada ya hapo shwari.
Na vipi kuhusu mashine za Dawasa nazo hazijafanyiwa matengenezo?
 
Makamba bhana...
Kama ambavyo wadau mbalimbali wamekuwa wakisema mara kadhaa, Mkakati wa Taifa kuhusu uzalishaji wa umeme ulikuwa:-
View attachment 2015968
Yaani, malengo hadi kufikia June 2020, tulitakiwa tuwe tumezalisha 4,915 MW. Hiyo ni Performance Audit Report iliyotolewa na CAG March 2019.

Hata hivyo, ripoti ya wizara inasema hadi kufikia mwishoni mwa 2019, tulikuwa tunazalisha ONLY 1,565.72 MW... ni takribani 33% TU ya malengo!!
View attachment 2015977
Kutofikiwa huko kwa malengo kulitokana na kuhamishia nguvu ZOTE kwenye Bwawa la Nyerere, na hata zile Kinyerezi III na Kinyerezi IV, zikatekelezwa!!!

Of course, labda waliamini kwamba 1,602.32 zingetosha kutufikisha hadi kuanza kutumia Bwawa la Nyerere!! Sasa sijui walizingatia kila siku kuna wateja wapya wa umeme, na kwamba kuna kuharibika kwa mitambo... only God knows!!!

Tuje kwenye Ubungo II ambayo tunaambiwa ni mbovu, huku wengine wakihoji ikiwa ubovu umeanza baada ya JPM kufariki!!! Au ni janja janja tu ya kutaka kuhujumu Mradi wa Bwawa la Nyerere!!!

Je, maintance ilikuwa inafanyika?! Jibu lipo kwenye ripoti kwamba:-
View attachment 2015999
Utaona hapo, Mashine #1 na #2 zilipitisha zaidi ya saa 10,000 tangu siku zilipotakiwa kufanyiwa maintanance!! Yaani Machine #1 iliendelea kuburuzwa kwa mwaka 1 na miezi tangu ilipotakiwa kufanyiwa ukarabati, huku Mashine #2 ikiburuzwa kwa zaidi ya miezi 18 bila kufanyiwa maintanance tangi siku ilipotakiwa kufanyika!!

Je, ikiwa hiyo ni ripoti iliyoandikwa kutoka kwenye takwimu za 2018, je maintance ilifanyika? Na kama ilifanyika, ilifanyika lini?

TANESCO wenyewe, hawa hapa chini:-
View attachment 2016022

Kumbe, hata baada ya miaka 3 baadae, bado Ubungo II ilikuwa haisomeki!!!

Sasa ikiwa tatizo lililopo miaka na miaka, ni mjinga tu ndie anaweza kuamini kwamba hivi sasa Ubungo II ipo operational, lakini sie wapiga deal za kuuza majenereta tunafahamu mambo bado si shwari!!!

Ina maana shida ni kukosekana kwa vifaa peke yake ndo maana haya mambo ya maintanance yanachelewa namna hii?!

Again, CAG's Performance Audit Report iliyotolewa March 2019 inasema:-

Kumbe, jamaa ilikuwa wakitaka kufanya maintanance, wanapigwa STOP, na matoke yake mitambo ikawa inaburuzwa tu hivyo hivyo!!!

View attachment 2016037

Wadau walipozungumzia hilo suala, wakaitwa majina yote ya ovyo ili mradi tu....!!

Ndipo tunarudi pale pale, mbona hilo tatizo la upungufu wa umeme halikuwepo wakati wa JPM!!!

Swali ambalo nimekuwa nikiwauliza wanaotoa hiyo hoja ni kwamba nyie wenzetu mlikuwa mnaishi Tanzania ipi ambayo haikuwa na matatizo ya umeme!!

Anyway, inawezekana wenzetu ni watoto wa kishua mnaoishi kwenye viunga vya Ikulu... lakini sie tulio huku Ushenzini, hususani kwenye miji na vitongoji vikongwe vyenye uchakavu wa miundombinu, kwetu tatizo liliendelea kuwepo muda wote!!

But on top of that, ripoti hapo inaonesha, TANESCO walikuwa wanapigwa STOP kufanya maintenance pale Ubungo II kwa sababu hatukuwa na hifadhi ya kutosha ya umeme kwenye Grid ya Taifa.

Hofu ikawa kwamba, kutokana na kutokuwa na hifadhi ya kutosha, kama mitambo ingezimwa kwa ajili ya maintenance, basi huenda tungelazimika kuingia kwenye mgao!!

Sasa kama tulikuwa tunaogopa kuzima Ubungo II ambayo umeme unaotoka pale is ONLY 105MW, nini kinaweza kutokea kukiwa na upungufu wa maji ambapo, total power generated from hydro, ni 574MW?!

View attachment 2016047

Kama unakataa nchi haipo kwenye ukame, basi tatizo hili la sasa ni la kutegenezwa na mafisadi na wapinzani wa Bwawa la Nyerere, huku sie vibaraka wao tukikesha kuwapanga watu!

Akili za kuambiwa, changanya na zako!

Lakini itoshe tu kusema kwamba, ushabikiwa kijinga unaliangamiza taifa!!!
 
Chief usiwasikilize hawa,hizi ni propaganda tu za kuwasha mitambo ya emergency ya akina Symbion na IPTL ili upigaji wa raslimali za taifa uendelee,time will tell
Kwahiyo CAG ndo anahusika na hizo propaganda, au?!
 
Halafu basi, bado ipo gesi ya kutosha ya kuzalisha maradufu ya hiyo 57% lakini...
Hapa tu inatumika kwa kuichoma kama petroli, si kwa ggas turbine kama maji kwenye hydro power plant... Yaani wangeweka gas turbine, gesi ikishayazungusha kuzalisha umeme iende hukoinakokwenda sasa kama TBL na Twiga Cement
 
Huyu ni moja ya wataalamu wanaowesha upigaji.
Watakupa kila data kuhalalisha uongo wao ili waibe.

Tuambie enzi za JK mpaka anaondoka mgao ulikuwepo,je nguvu zilikuwa zinaelekezwa wapi?
Hivi unaweza kutuambia hapa ni mradi upi mpya ulioingiza umeme kwenye grid ya taifa from 2016 to 2021?!
 
Unajua mkiongea hivi mnawatesa sana timu Msoga,mama hana shida kwa kuwa hajui hata nchi inataka nini
Pole sana Mheshimiwa....

Lakini hiyo ripoti haijaandikwa na Timu Msoga bali na CAG, na nyingine ni Ripoti ya Wizara ya Nishati!!

Narudia, pole sana!!
 
Hapa tu inatumika kwa kuichoma kama petroli, si kwa ggas turbine kama maji kwenye hydro power plant... Yaani wangeweka gas turbine, gesi ikishayazungusha kuzalisha umeme iende hukoinakokwenda sasa kama TBL na Twiga Cement
I wish watu wangeacha ushabiki na kujiongeza ili wafahamu tunavyo underutilize gas resources wakati nchi bado ipo kwenye changamoto kubwa ya nishati ya uhakika!!
 
Kama ambavyo wadau mbalimbali wamekuwa wakisema mara kadhaa, Mkakati wa Taifa kuhusu uzalishaji wa umeme ulikuwa:-
View attachment 2015968
Yaani, malengo hadi kufikia June 2020, tulitakiwa tuwe tumezalisha 4,915 MW. Hiyo ni Performance Audit Report iliyotolewa na CAG March 2019.

Hata hivyo, ripoti ya wizara inasema hadi kufikia mwishoni mwa 2019, tulikuwa tunazalisha ONLY 1,565.72 MW... ni takribani 33% TU ya malengo!!
View attachment 2015977
Kutofikiwa huko kwa malengo kulitokana na kuhamishia nguvu ZOTE kwenye Bwawa la Nyerere, na hata zile Kinyerezi III na Kinyerezi IV, zikatekelezwa!!!

Of course, labda waliamini kwamba 1,602.32 zingetosha kutufikisha hadi kuanza kutumia Bwawa la Nyerere!! Sasa sijui walizingatia kila siku kuna wateja wapya wa umeme, na kwamba kuna kuharibika kwa mitambo... only God knows!!!

Tuje kwenye Ubungo II ambayo tunaambiwa ni mbovu, huku wengine wakihoji ikiwa ubovu umeanza baada ya JPM kufariki!!! Au ni janja janja tu ya kutaka kuhujumu Mradi wa Bwawa la Nyerere!!!

Je, maintance ilikuwa inafanyika?! Jibu lipo kwenye ripoti kwamba:-
View attachment 2015999
Utaona hapo, Mashine #1 na #2 zilipitisha zaidi ya saa 10,000 tangu siku zilipotakiwa kufanyiwa maintanance!! Yaani Machine #1 iliendelea kuburuzwa kwa mwaka 1 na miezi tangu ilipotakiwa kufanyiwa ukarabati, huku Mashine #2 ikiburuzwa kwa zaidi ya miezi 18 bila kufanyiwa maintanance tangi siku ilipotakiwa kufanyika!!

Je, ikiwa hiyo ni ripoti iliyoandikwa kutoka kwenye takwimu za 2018, je maintance ilifanyika? Na kama ilifanyika, ilifanyika lini?

TANESCO wenyewe, hawa hapa chini:-
View attachment 2016022

Kumbe, hata baada ya miaka 3 baadae, bado Ubungo II ilikuwa haisomeki!!!

Sasa ikiwa tatizo lililopo miaka na miaka, ni mjinga tu ndie anaweza kuamini kwamba hivi sasa Ubungo II ipo operational, lakini sie wapiga deal za kuuza majenereta tunafahamu mambo bado si shwari!!!

Ina maana shida ni kukosekana kwa vifaa peke yake ndo maana haya mambo ya maintanance yanachelewa namna hii?!

Again, CAG's Performance Audit Report iliyotolewa March 2019 inasema:-

Kumbe, jamaa ilikuwa wakitaka kufanya maintanance, wanapigwa STOP, na matoke yake mitambo ikawa inaburuzwa tu hivyo hivyo!!!

View attachment 2016037

Wadau walipozungumzia hilo suala, wakaitwa majina yote ya ovyo ili mradi tu....!!

Ndipo tunarudi pale pale, mbona hilo tatizo la upungufu wa umeme halikuwepo wakati wa JPM!!!

Swali ambalo nimekuwa nikiwauliza wanaotoa hiyo hoja ni kwamba nyie wenzetu mlikuwa mnaishi Tanzania ipi ambayo haikuwa na matatizo ya umeme!!

Anyway, inawezekana wenzetu ni watoto wa kishua mnaoishi kwenye viunga vya Ikulu... lakini sie tulio huku Ushenzini, hususani kwenye miji na vitongoji vikongwe vyenye uchakavu wa miundombinu, kwetu tatizo liliendelea kuwepo muda wote!!

But on top of that, ripoti hapo inaonesha, TANESCO walikuwa wanapigwa STOP kufanya maintenance pale Ubungo II kwa sababu hatukuwa na hifadhi ya kutosha ya umeme kwenye Grid ya Taifa.

Hofu ikawa kwamba, kutokana na kutokuwa na hifadhi ya kutosha, kama mitambo ingezimwa kwa ajili ya maintenance, basi huenda tungelazimika kuingia kwenye mgao!!

Sasa kama tulikuwa tunaogopa kuzima Ubungo II ambayo umeme unaotoka pale is ONLY 105MW, nini kinaweza kutokea kukiwa na upungufu wa maji ambapo, total power generated from hydro, ni 574MW?!

View attachment 2016047

Kama unakataa nchi haipo kwenye ukame, basi tatizo hili la sasa ni la kutegenezwa na mafisadi na wapinzani wa Bwawa la Nyerere, huku sie vibaraka wao tukikesha kuwapanga watu!

Akili za kuambiwa, changanya na zako!

Lakini itoshe tu kusema kwamba, ushabikiwa kijinga unaliangamiza taifa!!!
Kitaalam hayo matengenezo yanamaliza wiki ngapi?

2 kwa nini makamba anaingia mkataba wa mabilioni na wahindi kwa ajili ya ufaninsi wa kiutendaji wakati umeme hautoshi, hao wahindi watafanya ufanisi gani wakati umeme haupo wa kutosha?

Huoni huo ni uhalibisfu zaidi wa pesa za watanzania badala ya kupeleka hapo kinyerezi iii yeye anawapa ofa wahindi?

Je hapo mnamteteaje huyo wazili?

Kama maelezo yao ni mw 1606 na matumizi ni mw 1200 na mapungufu kwa ajili ya maji ni 370 je kwa nini pawe na uhaba?
 
Kitaalam hayo matengenezo yanamaliza wiki ngapi?
Zimetajwa at least 3 factors ambazo zinachangia kuchelewa kufanyika kwa matengenezo:-
1. Spare Parts
2. Wataalamu,
3. Kupigwa STOP kutokana na kutokuwa na hifadhi ya kutosha ya umeme kwenye gridi ya taifa!!

So, suala la muda gani inaweza kukamilisha matengenezo itagemeana na hizo factors!! Unaweza kusema "fine, zima mitambo hata kama itasababisha mgao, kisha jikiteni kwenye kazi moja tu: MATENGENEZO"

Well and good lakini je, kuna spare parts za kutosha! Je, yale matengenezo yanayohitaji some specialization, tunao hao mafundi walio-specialize au itabidi tu-contract?
2 kwa nini makamba anaingia mkataba wa mabilioni na wahindi kwa ajili ya ufaninsi wa kiutendaji wakati umeme hautoshi, hao wahindi watafanya ufanisi gani wakati umeme haupo wa kutosha?

Huoni huo ni uhalibisfu zaidi wa pesa za watanzania badala ya kupeleka hapo kinyerezi iii yeye anawapa ofa wahindi?

Je hapo mnamteteaje huyo wazili?
Hapa umeniacha... unazungumzia mkataba upi?
Kama maelezo yao ni mw 1606 na matumizi ni mw 1200 na mapungufu kwa ajili ya maji ni 370 je kwa nini pawe na uhaba?
Mosi, hizo 1606 MW ni TOTAL POWER Generated... uliopo kwenye grid ya taifa na ulio off-grid!!!

Kwa maenezo ambayo hayatumii umeme wa grid ya taifa, wao watakosa umeme kwa sababu nyingine tu lakini sio sababu inayohusu wale wanaotumia umeme wa grid!!

Pili, hizo aprox za kutumika units 1200 ni za almost 3 years ago, wakati kila siku wateja wapya wanaingia kwenye system wakati kiwango cha umeme kipo pale pale!!
 
Back
Top Bottom