Uchaguzi 2020 Uongo na Upotoshaji huu wa BBC London kuhusu Tanzania kipindi hiki cha kampeni una maana gani? Sio mbinu za mabeberu? Wapi weledi wa ki-BBC?

Tuna safari ndefu.
 
Kwakuwa wewe wasema umefuatilia na kujua kuliko wengi hebu niambie:

1) Kati ya zile trilioni 400 na ushee, hadi sasa tumelipwa Sh. ngapi?
2) Yale makinikia yapo wapi na yanafanya nini hadi sasa?
3) Mashine ya kuchanjua makinikia imefungwa wapi hapa nchini?
4) Katika mkataba husika, bila kujali mwaka wa kutiwa saini, Tanzania inapata nini ambacho unadhani ni mafanikio makubwa ya kupigiwa mfano Afrika kwa uzalendo wa JPM na uhodari wa Prof. Kabudi?
5) Licha ya tofauti ya mwaka wa kutiwa saini mkataba au mikataba, ni .smbo gani BBC wamepotosha na ukweli wake ni upi, kwa ushahidi wa kuaminika pasipo shaka yoyote?

Hata njaa haiwezi kuubadili ukweli.
 
CCM ni waongo na BBC ni waongo, tatizo hapa ni herufi C na mbili dabali CC na BB, sasa wapi shida and they all believe they are always right!
Ushauri serikali iweke wazi mikataba wabunge wote waweze kuiona hata kama kuna kile cha chini ya kigoda kwani huo ndiyo mchezo wa CCM badala ya kukanusha tena kwa kiswahili.
 
Kuandika kitu tofauti na kile unachokiamini
Kile kilichopo akilini mwako au rohoni mwako
au kupindisha habari...., nayo pia inahitaji ujasiri fulani...
Ujasiri wa kuishi huku roho inakusuta....., ila kama roho haikusuti either ushapotea kabisa (point of no return), au unajifariji kwamba its all good... all in all kiafya haishauriwi
 
Wakamgarimu na mama wa watu yule barozi wa magaribiiiii. Hovyo kabisaaa.
 
Tafuta pesa
 
Sasa hapo BBC kosa lake ni nini? Mtu anakwambia kwenye huu mkataba umepigwa harafu wewe unasema Niko sahihi sijapgwa . yaan kwa akiri ya haraka hapo mtetezi wako ni BBC ila wewe unamkatalia kuwa sinyonywi Mimi.
 
Uko vr sana mkuu nimesikia hawa jamaa hawako makini kabisa hii ni Vita ya kiuchumi watanzania tuko macho naunga mkono hoja dct Abasi ni jukumu lako kuisafisha serekali na hawa waandishi uchwara na kwa nn hawa jamaa wasifungiwe kurusha matangazo yao ya propa hapa kwetu?
 
Wewe si iendelee kusikiliza ukweli na uhakika kutoka TBC au ianzishe ya kwako kwakuwa unajiona ni nguli kuliko nguli wa BBC. Umejitahidi sana baada ya nec kumtangaza mshindi aliyeshindwa kwa kura, ufikiliwe japo u dc ikizingatiwa wewe ni msukuma
 
Leta ukweli, kama tulipata zile noah kila mtu au hata mgao wa balimi haujatoka! Uzalendo ni kutetea uongo?
 
Naomba kuuliza hivi ni lini huyu Pascal Mayalla atajifunza kuandika in brief and precise? Yeye ni kuandikaga tu pages and pages lakini pumba tupu. Aibu see kwa mtu anayejiita mwandishi wa habari kuwa na uandishi wa namna hii.

Inapokua ni insha ndio anawapata wa kuwachanganya! Muulize tumelipwa kiasi gani, lini na kupitia bank ipi?
 
Paschally nje ya identity yako unajua kabisa from dola 192 billion tukanegotiate hadi 300m si tumepigwa?
 

Me nashindwa kuelewa, kwa Tanzania hii ni mtu gani au inchi gani ya dunia ya kwanza iwe na wivu wa kiuchumi na Tanzania?

Yan for what, kwa uchumii huuu wetu wa kutokuwa hata na umeme au uchumi gani?

Tuache hizo propaganda
 
Vyombo vya kibeberu ni mwiba kwa ustawi wa taifa Kama Tanzania, MAGUFULI na serikali kwa ujumla inamadui wengi bada ya kuwaminya kidogo.

Hakuna bwana huu ni uongo na propaganda tu

Kwamba UK wana wivu na Tanzania? Na ww na akili zako unaamini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…