Uchaguzi 2020 Uongo na Upotoshaji huu wa BBC London kuhusu Tanzania kipindi hiki cha kampeni una maana gani? Sio mbinu za mabeberu? Wapi weledi wa ki-BBC?

Hilo linashugulikiwa na WHO. Pamoja nahayo, siyosababu ya kuwagawia tawala, na pia hats sisi tunachangia dawaa hizooo. Waaaaambieni mabeberu wanaotaka madini hawatapata ata kijiko cha makinikia cha bureee.
WHO sasa hivi ina ukata mkubwa baada ya Marekani kujitoa sasa nchi za Ulaya ndio zinachangia pakubwa pamoja na kuwa hawana wagonjwa wa Ukimwi kama sisi

Acheni kuwachokoza wakizuia mashudu ndio mwisho wetu

Ni yeye✌
 
Pascal usitumie neno mabeberu kama huwezi kutaja mabeberu ni nani na mabeberu ni nini? Kama ni nchi zitaje maana ukisema majina kama haja unaonekana huna hoja
 
Hakuna inchi iko nyuma ya Lisu,
Kama wazungu waliweza kumtoa gadafi ndio watashimdwa magufuli?

Tuacheni hizi mambo jaman,

Kubali kataa, Wazungu wana nguvu Sana Tena Sana,

Nenda Zimbabwe Leo ukaone nguvu ya wazungu
Sikiliza wewe mgombea wa upinzani ambaye wazungu walimkubali toka Tanzania ipate uhuru na akapata support kubwa kuanzia financng and everything alichotaka ni Lowasa tu huyo aliungwa mkono hadi na mabilionea wa ndani na marekani

CCM tukampiga chini Lowasa hawakuamini .Huyu Lisu mtegemea Lofa shoga Amsterdam ni mwepesi mno tena mno. Kipindi cha Lowasa bilionea CCM tumepambana na world giants wenye kila kitu sio hili shoga Lofa Amsterdam na Lofa wake Lisu.

Na mabilionea wa Ulaya na Marekani kuja kumwamini mwanasiasa wa Tanzania wa upinzani itachukua muda labda kama Lowasa alivyosema 2015 kuwa tusiposhinda upinzani mwaka huu wa 2015 itatuchukua miaka 50 kujiandaa kuitoa CCM madarakani

Lisu and Chadema they are just wasting their money.

Sorry not wasting money wanaongeza mzunguko wa pesa kwa matumizi ya pesa wanayofanya kila wanapoenda
 
Tatizo taifa latu halitaki changamoto, hatuwezi kufika tunapotaka kufika bila kupita kwenye changamoto. Sio kila changamoto ni ya kuikanusha, changamoto zingine unatakiwa kuzikabili ili zikusaidie kufika kule unakotaka kufika.

Uongo wao tuutumie vizuri ili utusaidie kuweka mambo yetu sawa. Kama mkristo napenda kutumia Safari ya Wana wa Israel kutoka Misri kwenda kwenye hatima yao (Kaanani). Walipitia changamoto kubwa sana lakini changamoto zile ziliwasaidia kufika kule walikokuwa wanatakiwa kufika.

Ukisoma bandiko lako kwenye paragraph ya mwisho umeandika 'japo tumepigwa ila tumenufaika'. Unajikoroga mwenyewe, nadhani hao BBC (japo sina interest na taarifa zao) wametumia hiyo sehemu ambayo umesema tumepigwa na kuitengenezea habari ya kina.

Nakushauri Bw. Pascal Mayalla utupe ufafanuzi wa jinsi tulivyopgwa na jinsi tulivyonufaika ili kubalance bandiko lako.

Naamini katika jitihada za serikali za awamu zote katika kututoa mahali tulipo na kutupeleka kule tunakopaswa kwenda. Kila awamu itakumbukwa kwa jtuhada zake katika kulikomboa taifa. Tukumbuke kuwa hakuna aliye mkamilifu, kila mtu ana mapungufu, kwa maana hiyo kila utawala utakumbukwa kwa mazuri na mabaya yake.

Namalizia kwa kutumia kamsemo haka kwa lugha ya wenzetu kanakosema 'when opportunities come so does oppositions'.
 
Heeeee! eti BBC!!! Yaani watu hawaoni fyongo, uzushi na upotoshaji wa TBC ya Ayoub wanaona ya London

''Ondoa kibanzi kwenye jicho lako ndipo uondoe boriti .....''

JokaKuu
 
WHO sasa hivi ina ukata mkubwa baada ya Marekani kujitoa sasa nchi za Ulaya ndio zinachangia pakubwa pamoja na kuwa hawana wagonjwa wa Ukimwi kama sisi

Acheni kuwachokoza wakizuia mashudu ndio mwisho wetu

Ni yeye✌
Marekani hajajitoa rasmi mwaka huuuu, mpaka mwaka kesho na kwa vyote vile mabeberu pelekeni huko. Nakama mumekula hela zao ili wawasaidie zitawatokea puaniii. Pia watanzania hawako tayariii kupereka kiwanda cha matusi ikuluuu
 
YEHODAYA hoja ni moja, kwamba, hakuna uhalali wa kulaani BBC wakati tuna TBC inayolipiwa na kodi zetu kwa kufanya kazi za Chama , kuleta uongo, uzushi , ubabaishaji na dhalili katika taaluma ya habari na nchi.

BBC na VOA wanasema ukweli. Ukitaka kupata habari za uongo tune TBC ya (Tanzania)
 
BBC swahili na Lissu wanasaidiana kudalalia na kuweka rehani kwa mabeberu ardhi ya Tanzania yeye madini. Tuwe macho kama taifa, pengine Lissu keshachukua na kupewa advance fedha ya kampeni.
 
Paskali, maneno meeengi. Mbona huweki ukweli wako bayana na uongo wa BBC uwe wazi. Pili, weka nakala ya mkataba huo ambao unasema umesainiwa mwaka huu na utuoneshe mgawanyo huo kwa %
 
Marekani hajajitoa rasmi mwaka huuuu, mpaka mwaka kesho na kwa vyote vile mabeberu pelekeni huko. Nakama mumekula hela zao ili wawasaidie zitawatokea puaniii. Pia watanzania hawako tayariii kupereka kiwanda cha matusi ikuluuu
Bila mabeberu si tungekuwa juu ya miti mpaka leo
 
Tunataka mlete documents za mikataba hadharani tuone faida tunayopata sio propaganda za kikomunisti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…