Uongo uliowahi kutokea JF: Kila mtu kujifanya tajiri na ana maisha mazuri

Uongo uliowahi kutokea JF: Kila mtu kujifanya tajiri na ana maisha mazuri

Kuna maelfu ya nyuzi humu watu wanatafuta kazi hata za kulipwa 200,000. Zipo nyuzi nyingi watu wakieleza kero au vituko vya daladala na mwendokasi. Halafu mtu akiona uzi mtu anaomba ushauri kuhusu gari yake, au akapiga stori akizungumzia gari yake eti anacomment JF kila mtu ana gari!

Anyway. Nataka nibadilishe gari. Kwa sasa natumia Subaru Forester. Nafikiria kununua Mazda CX 5 au Harrier. Naomba ushauri, nichukue ipi kati ya hizo mbili?
 
Kuna maelfu ya nyuzi humu watu wanatafuta kazi hata za kulipwa 200,000. Zipo nyuzi nyingi watu wakieleza kero au vituko vya daladala na mwendokasi. Halafu mtu akiona uzi mtu anaomba ushauri kuhusu gari yake, au akapiga stori akizungumzia gari yake eti anacomment JF kila mtu ana gari!

Anyway. Nataka nibadilishe gari. Kwa sasa natumia Subaru Forester. Nafikiria kununua Mazda CX 5 au Harrier. Naomba ushauri, nichukue ipi kati ya hizo mbili?
Shida ya binadamu wanapenda tu kusikia mabaya ya mtu. Mtu akieleza mazuri yake wanasema anajisifia.
 
Kwamba, kila mtu ni tajiri…

Kila mtu ana gari/ magari.

Kila mtu ana digrii. Kila mtu ana nyumba.

Kila mtu ana nguvu [nyingi] za kiume.

Kila mdada ana umri chini ya miaka 20.

Kila mtu hivi. Kila mtu vile.

Ili mradi tu ni ‘kila mtu’.

Huo ni uongo. Ni uzushi.

Hakuna sehemu yoyote ile ambayo ‘kila’ mtu anasema alivyo na/au alichonacho.

JF ina wanachama mamia ya maelfu.

Kusema kwamba kila mmoja wao hao watu huwa anasema hayo yanayosemwa, ni uzushi mkubwa.

Mliozoea kutunga uongo acheni mara moja.

Hamjawahesabu wanachama wote wa JF, wa kwanza hadi wa. mwisho, na kupata mitazamo yao juu ya mambo mbalimbali.

Kukaribisha uzushi kama huo kichwani mwako kunaonyesha jinsi mtu alivyo goigoi wa kufikiri.

And with that, I yield the balance of my time for others to chime in.

Happy hump day 😉.
Broo mdogo una papers?
 
Kwamba, kila mtu ni tajiri…

Kila mtu ana gari/ magari.

Kila mtu ana digrii. Kila mtu ana nyumba.

Kila mtu ana nguvu [nyingi] za kiume.

Kila mdada ana umri chini ya miaka 20.

Kila mtu hivi. Kila mtu vile.

Ili mradi tu ni ‘kila mtu’.

Huo ni uongo. Ni uzushi.

Hakuna sehemu yoyote ile ambayo ‘kila’ mtu anasema alivyo na/au alichonacho.

JF ina wanachama mamia ya maelfu.

Kusema kwamba kila mmoja wao hao watu huwa anasema hayo yanayosemwa, ni uzushi mkubwa.

Mliozoea kutunga uongo acheni mara moja.

Hamjawahesabu wanachama wote wa JF, wa kwanza hadi wa. mwisho, na kupata mitazamo yao juu ya mambo mbalimbali.

Kukaribisha uzushi kama huo kichwani mwako kunaonyesha jinsi mtu alivyo goigoi wa kufikiri.

And with that, I yield the balance of my time for others to chime in.

Happy hump day 😉.
Samaleykum
 
Back
Top Bottom