Uongo uliowahi kutokea JF: Kila mtu kujifanya tajiri na ana maisha mazuri

Uongo uliowahi kutokea JF: Kila mtu kujifanya tajiri na ana maisha mazuri

Huu ni uongoo bhana, humu wote sio matajiri hata ma jobless pro max tumo.

Mimi Intelligent businessman ni raisi wa chama cha ma jobless pro max, makamu ni Bolotoba,
katibu ni min -me, wakili wa ma jobless ni Selikavu, waziri wa mambo ya ndani Thecoder, msajili wa chama Cha ma jobless ni dosho12, mratibu wa mipango ni Edo kissy

Msemaji wa chama Cha ma jobless pro max ni makutupora

Kidumu chama Cha ma jobless pro max
OIG2.uG.jpeg
 
Huu ni uongoo bhana, humu wote sio matajiri hata ma jobless pro max tumo.

Mimi Intelligent businessman ni raisi wa chama cha ma jobless pro max, makamu ni Bolotoba,
katibu ni min -me, wakili wa ma jobless ni Selikavu, waziri wa mambo ya ndani Thecoder, msajili wa chama Cha ma jobless ni dosho12, mratibu wa mipango ni Edo kissy

Msemaji wa chama Cha ma jobless pro max ni makutupora

Kidumu chama Cha ma jobless pro max
View attachment 3241681
Kidumu daima
 
Hizo ni assumes mnazozifanya kwenye vichwa vyenu sijawahi kuona member wa Jf anajitangaza eti ana gari na nyumba kali labda Chief Godlove .
Watanzania wengi wanapenda wengine waishi maisha mabovu hawapendi kuona wenzao wapo level fulani ya life..ukiona mtu anazungumzia gari sijui nyumba kama vitu muhimu sana badala ya kufikiri mitambo na viwanda jua ni wale watu waliodumaa kifikra.
 
Kumchukia mtu kwa sababu amefanikiwa ni hali inayojulikana kama wivu au husuda. Kitaalamu, wivu ni hisia changamano inayohusisha mchanganyiko wa hasira, chuki, kinyongo, na wakati mwingine hofu. Hisia hii huibuka pale mtu anapohisi kuwa mafanikio ya mwenzake yanatishia au kumzidi.

## Sababu za wivu

  • Kujilinganisha na wengine: Binadamu huwa na tabia ya kujilinganisha na wengine. Pale mtu anapojiona kuwa yuko nyuma ya mwenzake, anaweza kuhisi wivu.
  • Hofu ya kutokuwa na uwezo: Watu wengine huona mafanikio ya wengine kama ishara ya udhaifu wao wenyewe.
  • Tamaa ya mafanikio: Tamaa kubwa ya kufanikiwa inaweza kumfanya mtu ahisi wivu pale anapoona wengine wakifanikiwa.
  • Mazingira: Mazingira ya ushindani yanaweza kuchochea hisia za wivu.

## Athari za wivu

  • Kisaikolojia: Wivu unaweza kusababisha mfadhaiko, huzuni, na hasira.
  • Kijamii: Wivu unaweza kuharibu uhusiano na wengine.
  • Kimaadili: Wivu unaweza kumfanya mtu atende mambo yasiyo ya maadili, kama vile kuwasema wengine vibaya au kuwahujumu.

## Jinsi ya kukabiliana na wivu

  • Tambua hisia zako: Kwanza, tambua kwamba unahisi wivu.
  • Jifunze kushukuru: Jifunze kushukuru kwa kile ulichonacho na mafanikio yako mwenyewe.
  • Zingatia maendeleo yako: Badala ya kujilinganisha na wengine, zingatia maendeleo yako mwenyewe.
  • Jifunze kutoka kwa wengine: Tumia mafanikio ya wengine kama fursa ya kujifunza na kuboresha.
  • Tafuta msaada: Ikiwa unahisi kwamba wivu unakuathiri sana, tafuta msaada kutoka kwa mtaalamu wa saikolojia.

## Hitimisho

Wivu ni hisia ya kawaida, lakini inaweza kuwa na madhara ikiwa haitadhibitiwa. Ni muhimu kujifunza kukabiliana na wivu kwa njia nzuri ili kulinda afya yako ya akili na uhusiano wako na wengine.

Gemini AI
 
Kwamba, kila mtu ni tajiri…

Kila mtu ana gari/ magari.

Kila mtu ana digrii. Kila mtu ana nyumba.

Kila mtu ana nguvu [nyingi] za kiume.

Kila mdada ana umri chini ya miaka 20.

Kila mtu hivi. Kila mtu vile.

Ili mradi tu ni ‘kila mtu’.

Huo ni uongo. Ni uzushi.

Hakuna sehemu yoyote ile ambayo ‘kila’ mtu anasema alivyo na/au alichonacho.

JF ina wanachama mamia ya maelfu.

Kusema kwamba kila mmoja wao hao watu huwa anasema hayo yanayosemwa, ni uzushi mkubwa.

Mliozoea kutunga uongo acheni mara moja.

Hamjawahesabu wanachama wote wa JF, wa kwanza hadi wa. mwisho, na kupata mitazamo yao juu ya mambo mbalimbali.

Kukaribisha uzushi kama huo kichwani mwako kunaonyesha jinsi mtu alivyo goigoi wa kufikiri.

And with that, I yield the balance of my time for others to chime in.

Happy hump day 😉.
Mbona mi sina hivyo vyote, am nobody 😕
 
Back
Top Bottom