Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
Hakuna mwanaume anapenda bidhaa mbovu, appearance kwanzo alafu Mambo mengine tutajuana mdogomdogo.Kumbe kuoa unaangalia sura?
Unanichekeshaga na vituko vyako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mwanaume anapenda bidhaa mbovu, appearance kwanzo alafu Mambo mengine tutajuana mdogomdogo.Kumbe kuoa unaangalia sura?
Unanichekeshaga na vituko vyako
Humu kila mwanaume anapiga pisi kali mpaka unashangaa hizi pisi mbovu mtaani zote ni bikira.!Kwamba, kila mtu ni tajiri…
Kila mtu ana gari/ magari.
Kila mtu ana digrii. Kila mtu ana nyumba.
Kila mtu ana nguvu [nyingi] za kiume.
Kila mdada ana umri chini ya miaka 20.
Kila mtu hivi. Kila mtu vile.
Ili mradi tu ni ‘kila mtu’.
Huo ni uongo. Ni uzushi.
Hakuna sehemu yoyote ile ambayo ‘kila’ mtu anasema alivyo na/au alichonacho.
JF ina wanachama mamia ya maelfu.
Kusema kwamba kila mmoja wao hao watu huwa anasema hayo yanayosemwa, ni uzushi mkubwa.
Mliozoea kutunga uongo acheni mara moja.
Hamjawahesabu wanachama wote wa JF, wa kwanza hadi wa. mwisho, na kupata mitazamo yao juu ya mambo mbalimbali.
Kukaribisha uzushi kama huo kichwani mwako kunaonyesha jinsi mtu alivyo goigoi wa kufikiri.
And with that, I yield the balance of my time for others to chime in.
Happy hump day 😉.
Wewe pia ni mwongo na mzushi kwa sababu unajiita Nyani Ngabu wakati wewe ni binadamu.Kwamba, kila mtu ni tajiri…
Kila mtu ana gari/ magari.
Kila mtu ana digrii. Kila mtu ana nyumba.
Kila mtu ana nguvu [nyingi] za kiume.
Kila mdada ana umri chini ya miaka 20.
Kila mtu hivi. Kila mtu vile.
Ili mradi tu ni ‘kila mtu’.
Huo ni uongo. Ni uzushi.
Hakuna sehemu yoyote ile ambayo ‘kila’ mtu anasema alivyo na/au alichonacho.
JF ina wanachama mamia ya maelfu.
Kusema kwamba kila mmoja wao hao watu huwa anasema hayo yanayosemwa, ni uzushi mkubwa.
Mliozoea kutunga uongo acheni mara moja.
Hamjawahesabu wanachama wote wa JF, wa kwanza hadi wa. mwisho, na kupata mitazamo yao juu ya mambo mbalimbali.
Kukaribisha uzushi kama huo kichwani mwako kunaonyesha jinsi mtu alivyo goigoi wa kufikiri.
And with that, I yield the balance of my time for others to chime in.
Happy hump day 😉.
😀😀😀 mkuu hapa nakushauri uchukue mazda CX 5.. iyo harrier nimeshaitumia sana kwa sasa ipo tu hapa home imepaki.Kuna maelfu ya nyuzi humu watu wanatafuta kazi hata za kulipwa 200,000. Zipo nyuzi nyingi watu wakieleza kero au vituko vya daladala na mwendokasi. Halafu mtu akiona uzi mtu anaomba ushauri kuhusu gari yake, au akapiga stori akizungumzia gari yake eti anacomment JF kila mtu ana gari!
Anyway. Nataka nibadilishe gari. Kwa sasa natumia Subaru Forester. Nafikiria kununua Mazda CX 5 au Harrier. Naomba ushauri, nichukue ipi kati ya hizo mbili?
Na wewe pia maana wewe si unajiita secretarybirdWewe pia ni mwongo na mzushi kwa sababu unajiita Nyani Ngabu wakati wewe ni binadamu.
Ungejiita yekonia ningeamini kuwa wewe siyo mwongo.
Monetary doctor mzabzab Poor Brain Al-mukheef adriz.
😁🤣😂Mkuu taratibu basi, utavunja mbavu zangu.JF karibu wote mnaishi nje ya nchi. Waliopo kijijini wapo Dar
Nakubali kwa sababu yawezekana Mimi ni mzushi. Shida ni huyo Jamaa anayetuhumu watu halafu anajiita nyani.Na wewe pia maana wewe si unajiita secretarybird
Hehehehehehehe!!!!!!Nakubali kwa sababu yawezekana Mimi ni mzushi. Shida ni huyo Jamaa anayetuhumu watu halafu anajiita nyani.
Nimetoka kutandika, ugali mlenda na nyama kiroho mbaya kweli kweliJf watu Ugali wanauita Mateso.
Na ndio umewalea leo wanajifanya unadumaza akili.
Acha tuliendeleze.... tunaula na tutaula.Nimechoka kutandika, ugali mlenda na nyama kiroho mbaya kweli kweli
kulikuwepo na kidukulilo ila yule chizi....watu wana roho mbaya hawataki watu waongelee mambo mazuri....Labda nyie mnaoassume ya kuwa kila member wa JF ana maisha mazuri mnasomaga simulizi zinazoandikwa na watu humu. Nitajie uzi ambao member ana jitamba ya kuwa ana maisha mazuri ukiachana na ya Chief Godlove.
Ukisema kila mtu maana yake na wewe pia.Kila mtu ana gari kasoro mimi huwa najiuliza nafeli wapi?. Na kila mtu anamiliki pisikali kama mobeto JF raha sana.
Wakiume unakula chipsi rojo kweli ? Utaishije bila kula ugali na wewe ni Tanzania ? Kama mimi napenda ugali Maharaja vibaya mno kuna sehemu nikipitaga mwenge nakulaga hiyo kitu najisikia raha sana...Acha tuliendeleze.... tunaula na tutaula.