Uongo uliowahi kutokea JF: Kila mtu kujifanya tajiri na ana maisha mazuri

Uongo uliowahi kutokea JF: Kila mtu kujifanya tajiri na ana maisha mazuri

Kitu cha ukweli kinakua chai
 

Attachments

  • 20250216_162407.jpg
    20250216_162407.jpg
    62.5 KB · Views: 2
Kwamba, kila mtu ni tajiri…

Kila mtu ana gari/ magari.

Kila mtu ana digrii. Kila mtu ana nyumba.

Kila mtu ana nguvu [nyingi] za kiume.

Kila mdada ana umri chini ya miaka 20.

Kila mtu hivi. Kila mtu vile.

Ili mradi tu ni ‘kila mtu’.

Huo ni uongo. Ni uzushi.

Hakuna sehemu yoyote ile ambayo ‘kila’ mtu anasema alivyo na/au alichonacho.

JF ina wanachama mamia ya maelfu.

Kusema kwamba kila mmoja wao hao watu huwa anasema hayo yanayosemwa, ni uzushi mkubwa.

Mliozoea kutunga uongo acheni mara moja.

Hamjawahesabu wanachama wote wa JF, wa kwanza hadi wa. mwisho, na kupata mitazamo yao juu ya mambo mbalimbali.

Kukaribisha uzushi kama huo kichwani mwako kunaonyesha jinsi mtu alivyo goigoi wa kufikiri.

And with that, I yield the balance of my time for others to chime in.

Happy hump day 😉.
Humu kila mwanaume anapiga pisi kali mpaka unashangaa hizi pisi mbovu mtaani zote ni bikira.!

Jf kila mwanamke ni independent woman, unabaki kujiuliza hawa wakina dada wadangaji na ombaomba wanaishi kwenye jamii ipi
 
Kwamba, kila mtu ni tajiri…

Kila mtu ana gari/ magari.

Kila mtu ana digrii. Kila mtu ana nyumba.

Kila mtu ana nguvu [nyingi] za kiume.

Kila mdada ana umri chini ya miaka 20.

Kila mtu hivi. Kila mtu vile.

Ili mradi tu ni ‘kila mtu’.

Huo ni uongo. Ni uzushi.

Hakuna sehemu yoyote ile ambayo ‘kila’ mtu anasema alivyo na/au alichonacho.

JF ina wanachama mamia ya maelfu.

Kusema kwamba kila mmoja wao hao watu huwa anasema hayo yanayosemwa, ni uzushi mkubwa.

Mliozoea kutunga uongo acheni mara moja.

Hamjawahesabu wanachama wote wa JF, wa kwanza hadi wa. mwisho, na kupata mitazamo yao juu ya mambo mbalimbali.

Kukaribisha uzushi kama huo kichwani mwako kunaonyesha jinsi mtu alivyo goigoi wa kufikiri.

And with that, I yield the balance of my time for others to chime in.

Happy hump day 😉.
Wewe pia ni mwongo na mzushi kwa sababu unajiita Nyani Ngabu wakati wewe ni binadamu.
Ungejiita yekonia ningeamini kuwa wewe siyo mwongo.

Monetary doctor mzabzab Poor Brain Al-mukheef adriz.
 
Kuna maelfu ya nyuzi humu watu wanatafuta kazi hata za kulipwa 200,000. Zipo nyuzi nyingi watu wakieleza kero au vituko vya daladala na mwendokasi. Halafu mtu akiona uzi mtu anaomba ushauri kuhusu gari yake, au akapiga stori akizungumzia gari yake eti anacomment JF kila mtu ana gari!

Anyway. Nataka nibadilishe gari. Kwa sasa natumia Subaru Forester. Nafikiria kununua Mazda CX 5 au Harrier. Naomba ushauri, nichukue ipi kati ya hizo mbili?
😀😀😀 mkuu hapa nakushauri uchukue mazda CX 5.. iyo harrier nimeshaitumia sana kwa sasa ipo tu hapa home imepaki.

Shida ya iyo gari ni nyepesi sana especially ukienda spidi kuanzia 120 hivi, halafu haina balanve nzuri kwa sababu ipo juu sana na utumiaji wa mafuta ni mkubwa sana ukilinganisha na ubora wake.

Kwa sasa natumia volkswagen touareg
 
Labda nyie mnaoassume ya kuwa kila member wa JF ana maisha mazuri mnasomaga simulizi zinazoandikwa na watu humu. Nitajie uzi ambao member ana jitamba ya kuwa ana maisha mazuri ukiachana na ya Chief Godlove.
kulikuwepo na kidukulilo ila yule chizi....watu wana roho mbaya hawataki watu waongelee mambo mazuri....
 
Mimi naona niwivu mtu akiamua kusema hakuna shida shida ipo kwako kwasababu ya kuto archive your goals badala ya kuona wivu weka jitihada ufike pale utakapo
 
Hawataki watu wewe na magari, hawataki watu wewe wanatoamba wanawake wazuri , ila wana acknowledge hawa wanawake wazuri karibia wote wanamabwana ila hawataki kakubali kwamba hai mabwana zao wapo if, hawataki watu wawasimulie safari zao za nje ila hata leo ukienda airport mandege yakwenda nje yapo ful house na wamejaa watz, Yan WATANZANIA wanapenda uwasimulie vitu vibaya tu, kwamba umegongewa mke sababu huna kitu, ulitembea kwa mguu toka bunju b mpaka Posta, mazao yako yote yamesombwa na maji, umefukuzwa sababu umeshindwa kulipa rent, umefilisika, benk wameuza nyumba yako.
 
Back
Top Bottom