Uongo uliowahi kutokea JF: Kila mtu kujifanya tajiri na ana maisha mazuri

Uongo uliowahi kutokea JF: Kila mtu kujifanya tajiri na ana maisha mazuri

Unachobisha ni nini wakati umeishaambiwa humu kila mtu ana digrii ya mambo yake anayoyajua?
 
Kwamba, kila mtu ni tajiri…

Kila mtu ana gari/ magari.

Kila mtu ana digrii. Kila mtu ana nyumba.

Kila mtu ana nguvu [nyingi] za kiume.

Kila mdada ana umri chini ya miaka 20.

Kila mtu hivi. Kila mtu vile.

Ili mradi tu ni ‘kila mtu’.

Huo ni uongo. Ni uzushi.

Hakuna sehemu yoyote ile ambayo ‘kila’ mtu anasema alivyo na/au alichonacho.

JF ina wanachama mamia ya maelfu.

Kusema kwamba kila mmoja wao hao watu huwa anasema hayo yanayosemwa, ni uzushi mkubwa.

Mliozoea kutunga uongo acheni mara moja.

Hamjawahesabu wanachama wote wa JF, wa kwanza hadi wa. mwisho, na kupata mitazamo yao juu ya mambo mbalimbali.

Kukaribisha uzushi kama huo kichwani mwako kunaonyesha jinsi mtu alivyo goigoi wa kufikiri.

And with that, I yield the balance of my time for others to chime in.

Happy hump day 😉.
We mwenyewe muongo, Acha ujuwajii.
 
Kwanini ulifunga mapema hivyo?

Hakukuwa na kitu cha maana kukipata PM halafu ninachokikosa jukwaani mchumba

Lakini kama kuna jambo muhimu inayohitaji faragha, then mlango huwa unaachwa wazi kwa mtu yeyote...
 
Hakukuwa na kitu cha maana kukipata PM halafu ninachokikosa jukwaani mchumba

Lakini kama kuna jambo muhimu inayohitaji faragha, then mlango huwa unaachwa wazi kwa mtu yeyote...
Hapo nimeelewa, wasalimie watoto
 
Kuna member mmoja WA kike humu alianzisha Uzi wa "Sandakalawe mwenye kupata apate mwenye kukosa akose" yaani vocha za bure🤣

Kwenye huo Uzi niliona members ambao kila siku hututambishia maisha Yao ya kishua na Aina za ndinga wanazosukuma nao wako kugombea vocha za bure🤣🤣
 
Mimi nakaa Buguruni mkuu, uswahilini haswa.
Sijawahibkujigamba kama wafanyavyo member wengine kwamba wanaishi maisha ya 5 star
nakukubali fundi. tuliongea nkirudi dar nifikie buguruni unitafutie chumba maeneo hayo lakn nlibadili mawazo kaka.
 
kuna mmoja anajiita Shimba bunyeze, anasema Ana miaka 78 kila mwaka
ni kweli, huyo ni miaka yake kabisa, nimesoma nae, hata la kwanza alianza na hiyo hiyo, mwaka 1978
😂😂😂😂😂😂😂 muache babu yangu aisee sasa hivi ana 83
Ngosha the don huyu anasema miaka yako ipo pale pale kama ya sepetu
Manfried na kundi lako mnanionea tu. Sijawahi kudanganya kuhusu umri wangu; na miaka yangu haipo pale pale kama ya Wema Sepetu. Mshindweeeee!

20250220_075340.jpg

20250220_075016.jpg

20250220_074736.jpg

20250220_075539.jpg
 
Kwamba, kila mtu ni tajiri…

Kila mtu ana gari/ magari.

Kila mtu ana digrii. Kila mtu ana nyumba.

Kila mtu ana nguvu [nyingi] za kiume.

Kila mdada ana umri chini ya miaka 20.

Kila mtu hivi. Kila mtu vile.

Ili mradi tu ni ‘kila mtu’.

Huo ni uongo. Ni uzushi.

Hakuna sehemu yoyote ile ambayo ‘kila’ mtu anasema alivyo na/au alichonacho.

JF ina wanachama mamia ya maelfu.

Kusema kwamba kila mmoja wao hao watu huwa anasema hayo yanayosemwa, ni uzushi mkubwa.

Mliozoea kutunga uongo acheni mara moja.

Hamjawahesabu wanachama wote wa JF, wa kwanza hadi wa. mwisho, na kupata mitazamo yao juu ya mambo mbalimbali.

Kukaribisha uzushi kama huo kichwani mwako kunaonyesha jinsi mtu alivyo goigoi wa kufikiri.

And with that, I yield the balance of my time for others to chime in.

Happy hump day 😉.
Hata binadamu wanajiita nyani
 
Shimba ya Buyenze na Grahams ni wazee sasa🤣🤣🤣
Mimi kweli ni mzee ila huyo mwenzangu huyo mh! Huwa wanamwita mzee/babu wa mchongo sijui kwa nini 😂😂😂

20250220_082331.jpg


20250220_082346.jpg

➡️➡️➡️ Halafu we kijana kuna tuhuma dhidi yako nzito tu nimekutana nazo mahali. Ngoja tu 🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
 
Kuna maelfu ya nyuzi humu watu wanatafuta kazi hata za kulipwa 200,000. Zipo nyuzi nyingi watu wakieleza kero au vituko vya daladala na mwendokasi. Halafu mtu akiona uzi mtu anaomba ushauri kuhusu gari yake, au akapiga stori akizungumzia gari yake eti anacomment JF kila mtu ana gari!

Anyway. Nataka nibadilishe gari. Kwa sasa natumia Subaru Forester. Nafikiria kununua Mazda CX 5 au Harrier. Naomba ushauri, nichukue ipi kati ya hizo mbili?
Naombeni mnisaidie gereji nzurii ya kuipeleka gari yangu NISSAN note 13c🤣🤣🤣🤣
 
Mimi kweli ni mzee ila huyo mwenzangu huyo mh! Huwa wanamwita mzee/babu wa mchongo sijui kwa nini 😂😂😂

View attachment 3242496

View attachment 3242497
➡️➡️➡️ Halafu we kijana kuna tuhuma dhidi yako nzito tu nimekutana nazo mahali. Ngoja tu 🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
Mkuu,
Mimi nipo kundi la wazee sasa. 🤣Kuna tuhuma gani dhidi yangu?
 
Back
Top Bottom