Uongo uliowahi kutokea JF: Kila mtu kujifanya tajiri na ana maisha mazuri

Uongo uliowahi kutokea JF: Kila mtu kujifanya tajiri na ana maisha mazuri

Jf kila mtu anakaa sehemu za kishua!

Hakuna anayekaa Tandale, Buguruni Malapa, Vingunguti n.k

Jf hakuna anayekaa nje ya mji, wote wako pembeni kidogo tu ya mji na hawapandi daladala wanaenda kazini kwa gari zao binafsi.
Mbona we uliandika unakaa buguruni ambapo 2000 yako tu msosi wa siku nzima unapata na waweza baki na chenji.
 
Humu kila mwanaume anapiga pisi kali mpaka unashangaa hizi pisi mbovu mtaani zote ni bikira.!

Jf kila mwanamke ni independent woman, unabaki kujiuliza hawa wakina dada wadangaji na ombaomba wanaishi kwenye jamii ipi
Uongo!

Kila mtu hayuko hivyo.
 
Hii post imejaa uongo mbona, kila mwana JF........?

Mmh! mbona waomba kusaidiwa kwa mambo mbalimbali hasa uchumi tumejaa humu.
 
rikiboy na wafuasi wake ndio wamezidi humu, wote wanaenda round 5 kwenda juu..!!
Na wanapiga kimasihara watoto wakaree km wanasukuma mlevi… 😹😹😹
 
Mimi sijui niko tofauti, mtu hata awe na nini aseme nini huwa hainisumbui kabisa. Ila nimeona kuna baadhi ya watu humu, inawasumbua na mbaya zaidi ni Fake ID.

Mtu akianza kusema gari, nyumba, biashara, kusafiri nje si ni vitu vya kawaida? Ila mtu akigusia kati ya hivyo na vingine, ataandamwa, tumeshajua una gari, una nyumba!!!

Tutafute pesa, tuache makasiriko, mtu hata kama anadanganya, ni anajidanganya mwenyewe, mwisho wa siku anabaki kwenye ulimwengu wa kuishi maisha mazuri kimtandaoni, kiuhalisia yuko vilevile.

Tuache watu wajifariji na kufurahia anachofanya, ili mradi hakugusi wewe moja kwa moja. Wivu ni ugonjwa tafuta dawa kama ukiona unaumia mafanikio ya mwingine.
Wivuuuuuuuuu.!!! 😹😹😹

Hivi kweli kabisa mtu anateseka na Fake ID 🤣

Kuna member mmoja namkubali sana, yeye huwa anasema kabisa JF anaingia akiwa bar kwahiyo chochote anachoongea ni cha pombe pombe…!!
Hata wanaoumia humu kwa maisha ya mtu ambaye humfahamu uhalisia wake ni ujinga..!!
 
Wivuuuuuuuuu.!!! 😹😹😹

Hivi kweli kabisa mtu anateseka na Fake ID 🤣

Kuna member mmoja namkubali sana, yeye huwa anasema kabisa JF anaingia akiwa bar kwahiyo chochote anachoongea ni cha pombe pombe…!!
Hata wanaoumia humu kwa maisha ya mtu ambaye humfahamu uhalisia wake ni ujinga..!!
Sana odo huwa ni wivu tu. Sasa mtu akisema yeye ni tajiri sisi wengine inatupunguzia nini? Maisha ya fake ID mtu yamuumize na ya uhalisia yamuumize anateseka kotekote ahahahahaaa
 
Mbona we uliandika unakaa buguruni ambapo 2000 yako tu msosi wa siku nzima unapata na waweza baki na chenji.
Mimi nakaa Buguruni mkuu, uswahilini haswa.
Sijawahibkujigamba kama wafanyavyo member wengine kwamba wanaishi maisha ya 5 star
 
Back
Top Bottom