Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Gari ni kitu cha kawaida sana mngesema aina gani za gari labda hapo ndio ingekua changamoto ila hizi za kuunga unga mileage za Japan zipo nyingi sana..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kidumu daimaHuu ni uongoo bhana, humu wote sio matajiri hata ma jobless pro max tumo.
Mimi Intelligent businessman ni raisi wa chama cha ma jobless pro max, makamu ni Bolotoba,
katibu ni min -me, wakili wa ma jobless ni Selikavu, waziri wa mambo ya ndani Thecoder, msajili wa chama Cha ma jobless ni dosho12, mratibu wa mipango ni Edo kissy
Msemaji wa chama Cha ma jobless pro max ni makutupora
Kidumu chama Cha ma jobless pro max
View attachment 3241681
Watanzania wengi wanapenda wengine waishi maisha mabovu hawapendi kuona wenzao wapo level fulani ya life..ukiona mtu anazungumzia gari sijui nyumba kama vitu muhimu sana badala ya kufikiri mitambo na viwanda jua ni wale watu waliodumaa kifikra.Hizo ni assumes mnazozifanya kwenye vichwa vyenu sijawahi kuona member wa Jf anajitangaza eti ana gari na nyumba kali labda Chief Godlove .
Mkuu, niwachache sana watakuelewa umemaanisha niniWana JF halisi wapo "jukwaa la PM"...
Mbona mi sina hivyo vyote, am nobody 😕Kwamba, kila mtu ni tajiri…
Kila mtu ana gari/ magari.
Kila mtu ana digrii. Kila mtu ana nyumba.
Kila mtu ana nguvu [nyingi] za kiume.
Kila mdada ana umri chini ya miaka 20.
Kila mtu hivi. Kila mtu vile.
Ili mradi tu ni ‘kila mtu’.
Huo ni uongo. Ni uzushi.
Hakuna sehemu yoyote ile ambayo ‘kila’ mtu anasema alivyo na/au alichonacho.
JF ina wanachama mamia ya maelfu.
Kusema kwamba kila mmoja wao hao watu huwa anasema hayo yanayosemwa, ni uzushi mkubwa.
Mliozoea kutunga uongo acheni mara moja.
Hamjawahesabu wanachama wote wa JF, wa kwanza hadi wa. mwisho, na kupata mitazamo yao juu ya mambo mbalimbali.
Kukaribisha uzushi kama huo kichwani mwako kunaonyesha jinsi mtu alivyo goigoi wa kufikiri.
And with that, I yield the balance of my time for others to chime in.
Happy hump day 😉.
Hakika Mkuu, kwasasa hadi Kasi ya vidole kuandika humu imepungua kutokana na Uzee nilionaoShimba ya Buyenze na Grahams ni wazee sasa🤣🤣🤣
Aiii jamanii mbona tupo sisi wa nyamagaro huku hata mwanza tu hatujawahi kufika.Jf wote ni majasusi
jf wote hakuna ambae hajawah kuish na kutembelea nchi za ulaya hayupo
I presume u never thought before posting dude... Keep re-readI figured you didn’t have one. Keep it moving.
Sasa mbona ulikuja kutafuta mke humu? Una gubu sana😂Nilichogundua Pisi nyingi( 85%) ni mbovu mno...narudia tena mbovu mnoo, mbovu zaidi Ata ya wale wenye sura za baba.....just imagine lidemu libovu mpaka linajistukia lenyewe
Hahaha dah unaweza patwa na sonona kwa kujilaum wapi unakwamaJf watu Ugali wanauita Mateso.
Na ndio umewalea leo wanajifanya unadumaza akili.
Nimegundua hilo baada ya Ile thread, Sirudii tena mara mia niendelee na kina mwajuma,Chausiku wa huku uswazi kwetu, kuliko vituko nlivyokutana navyo huko pmSasa mbona ulikuja kutafuta mke humu? Una gubu sana😂
Kumbe kuoa unaangalia sura?Nimegundua hilo baada ya Ile thread, Sirudii tena mara mia niendelee na kina mwajuma,Chausiku wa huku uswazi kwetu, kuliko vituko nlivyokutana navyo huko pm