Bendera Esq
Member
- Dec 16, 2024
- 17
- 64
What’s your point?Mkuu umerudia kusoma ulichopost???
Labda nyie mnaoassume ya kuwa kila member wa JF ana maisha mazuri mnasomaga simulizi zinazoandikwa na watu humu. Nitajie uzi ambao member ana jitamba ya kuwa ana maisha mazuri ukiachana na ya Chief Godlove.Sasa unatembelea JF kwa mwezi mara mbili utayasoma wapi haya?
Shida ya binadamu wanapenda tu kusikia mabaya ya mtu. Mtu akieleza mazuri yake wanasema anajisifia.Kuna maelfu ya nyuzi humu watu wanatafuta kazi hata za kulipwa 200,000. Zipo nyuzi nyingi watu wakieleza kero au vituko vya daladala na mwendokasi. Halafu mtu akiona uzi mtu anaomba ushauri kuhusu gari yake, au akapiga stori akizungumzia gari yake eti anacomment JF kila mtu ana gari!
Anyway. Nataka nibadilishe gari. Kwa sasa natumia Subaru Forester. Nafikiria kununua Mazda CX 5 au Harrier. Naomba ushauri, nichukue ipi kati ya hizo mbili?
I don't see the pointWhat’s your point?
Broo mdogo una papers?Kwamba, kila mtu ni tajiri…
Kila mtu ana gari/ magari.
Kila mtu ana digrii. Kila mtu ana nyumba.
Kila mtu ana nguvu [nyingi] za kiume.
Kila mdada ana umri chini ya miaka 20.
Kila mtu hivi. Kila mtu vile.
Ili mradi tu ni ‘kila mtu’.
Huo ni uongo. Ni uzushi.
Hakuna sehemu yoyote ile ambayo ‘kila’ mtu anasema alivyo na/au alichonacho.
JF ina wanachama mamia ya maelfu.
Kusema kwamba kila mmoja wao hao watu huwa anasema hayo yanayosemwa, ni uzushi mkubwa.
Mliozoea kutunga uongo acheni mara moja.
Hamjawahesabu wanachama wote wa JF, wa kwanza hadi wa. mwisho, na kupata mitazamo yao juu ya mambo mbalimbali.
Kukaribisha uzushi kama huo kichwani mwako kunaonyesha jinsi mtu alivyo goigoi wa kufikiri.
And with that, I yield the balance of my time for others to chime in.
Happy hump day 😉.
assumes ❌️Hizo ni assumes mnazozifanya kwenye vichwa vyenu sijawahi kuona member wa Jf anajitangaza eti ana gari na nyumba kali labda Chief Godlove .
Sawa mkuu,assumes ❌️
assumptions ✔️
🚶🏿♂️🚶🏿♂️🚶🏿♂️
I figured you didn’t have one. Keep it moving.I don't see the point
Hizo ni assumptions tu mnazokuwa nazo. Shida mkiona members wawili au watatu wamesema wapo Marekani mnaassume ni kila mtu.JF kila mtu anajua kila kitu.
JF kila mtu kafika Marekani.
Kwahiyo hata mimi nilishawahi kutembea nchi za ulaya?😁Jf wote ni majasusi
jf wote hakuna ambae hajawah kuish na kutembelea nchi za ulaya hayupo
SamaleykumKwamba, kila mtu ni tajiri…
Kila mtu ana gari/ magari.
Kila mtu ana digrii. Kila mtu ana nyumba.
Kila mtu ana nguvu [nyingi] za kiume.
Kila mdada ana umri chini ya miaka 20.
Kila mtu hivi. Kila mtu vile.
Ili mradi tu ni ‘kila mtu’.
Huo ni uongo. Ni uzushi.
Hakuna sehemu yoyote ile ambayo ‘kila’ mtu anasema alivyo na/au alichonacho.
JF ina wanachama mamia ya maelfu.
Kusema kwamba kila mmoja wao hao watu huwa anasema hayo yanayosemwa, ni uzushi mkubwa.
Mliozoea kutunga uongo acheni mara moja.
Hamjawahesabu wanachama wote wa JF, wa kwanza hadi wa. mwisho, na kupata mitazamo yao juu ya mambo mbalimbali.
Kukaribisha uzushi kama huo kichwani mwako kunaonyesha jinsi mtu alivyo goigoi wa kufikiri.
And with that, I yield the balance of my time for others to chime in.
Happy hump day 😉.
Rudini nyumbani sasaI figured you didn’t have one. Keep it moving.
Hii kauli huwa inaniuma sana hasana nikikiona Gari zuri la Kiserekali halafu lina beba mtu mmoja tu ndani na nila gharama kubwa sana.Mbona majobless tupo mkuu na tunapiga kilometers za kutosha kwa mguu kutafuta vibarua! Tunapigwa na jua la utosi balaa
Mkuu kunywa maji upooze koo maana umeandika kwa uchungu Sana😄😄😄😄Hii kauli huwa inaniuma sana hasana nikikiona Gari zuri la Kiserekali halafu lina beba mtu mmoja tu ndani na nila gharama kubwa sana.
ni kweli, huyo ni miaka yake kabisa, nimesoma nae, hata la kwanza alianza na hiyo hiyo, mwaka 1978kuna mmoja anajiita Shimba bunyeze, anasema Ana miaka 78 kila mwaka