Uongo wa ndugu yangu kipindi cha uchumba yagharimu ndoa Yake

Hiyo ya pili NAKATAAAAA

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Lkn si alishaonja ndipo akajua kuwa bi harusi hana bikra!! Kwahiyo naye hana tena hiyo bikra ya kiume.
Sijajua alijuaje alishaonja au bado, maana sijawauliza mwaswali wazee.

Ila Kila mtu yupo kivyale sasa japo ndoa haijavunjwa.
Ila ndugu yangu yule sijui yupo kwenye hali gani daaaa.
 
Haivunji ndoa hio ila , labda waamue tuu kuvunja
Inawezekana. Kanisa katoliki linabatilisha. Kama kuna jambo zito ulimficha mwenzako na ushahidi ukawepo inabatilishwa. Nimeshuhudia.

Hilo ni jambo zito. Ndoa imefungwa kwa udanganyifu. Kama mwanaume angetambua kwamba bikra haipo asingeoa.
 
Ooooooooooooh!, Mamaaa, cheza cheza cheza chezaaa.

Kasongo yeye mobali nangai,
Kasongo ngana weo zonga libala eeh
 
Labda alivyochomeka ikapita tuu.
Ila mambo ya aibu sana hasa kwa Bibie sijajua anahali gani. Daaaa
Angejitunza miaka yote hiyo wakiwa chuo mbunye ingebana tu .... Tatizo alikuwa anapigwa na masela halafu Kwa jamaa anakaza haijawahi kuchakatwa.... Mbunye iliyochakatwa inaonyesha tu hata kama haujaingiza dushe.....
 
Labda alipo ingiza mzigo ulizama wote ghafla kama umemezwa kwenye ndoo
 
Karibu kilingeni tukusaidie namna nzuri ya kumaliza hilo na ndoa ikaendelea kwa furaha
 
Soma na hii pia

 
Labda alivyochomeka ikapita tuu.
Ila mambo ya aibu sana hasa kwa Bibie sijajua anahali gani. Daaaa
Kukosa ubikira haimaanishi kuwa alishafanya tendo. Ni wanawake wengi tu bikira zinakatika kwenye harakati za maisha kama michezo nk. Hivyo basi mwanamke bikra ni yule ambaye hajakutana na mwanaume waka-sex na siyo mwenye ule utepe. Nasema hivyo kwa sababu siku hizi hospital wanaweza ''wakashona'' na kuweka ule utepe hata kwa wanawake waliozaa. Kwa hiyo unaweza kukutana na unayedhani umevunja bikra kumbe ali-repair hospitali.
 
Hata kama hana utepe ila kuna vitu vidogo dogo tu utajua huyu ni bikra (kwa wale wazoefu) ila kwa jamaa kujinasibu hajawahi kupiga mzigo halafu akagundua tu chap kwamba binti si bikra hii bado ngumu kumeza jamaa naye anatia shaka.

Ila kosa la binti ni kukubalu na unakuta hata alibanwa akajieleza hao aliotoka nao kabla hili ni kosa kubwa sana aisee haishauriwi kutoa siri za mambo yako uliyowahi fanya huko nyuma .
 
Kuna Mchina Aliibiwa Mafuta Kwenye Mtambo Sasa Uchungu Wa Kuibiwa Mafuta Akasema Wazi Wazi

Ally Baba
Fula Fulaa,Nyinyaa Pipe Dumu !
 
Si akaokoke ili arudi mpya na bikra yake s mnavosemaga wakristo na huyo kijana mbona sio mkristo safi mchungaji keshaungama yy anakataa nn inaonesha mafunzo na uhalisia ni interchengiability
Akiokoka anaiokoa roho yake mwenyewe na sio ili huyo mume amkubali.
Btw kama binti alishatubu hiyo dhambi ya kuliwa huko nyuma kabla ya ndoa Mungu alishamsamehe, kutosamehewa na binadamu aliemuomba msamaha tayari ni nje ya uwezo wake.

Ndio maana nimemshauri amove on.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…