Uongo wa Serikali ya awamu ya 5 chini ya Dkt. John Pombe Magufuli utawatesa sana Marais watakaofuata na Samia akiwa miongoni

Uongo wa Serikali ya awamu ya 5 chini ya Dkt. John Pombe Magufuli utawatesa sana Marais watakaofuata na Samia akiwa miongoni

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Tukubaliane Jambo moja la ukweli na uwazi Tanzania haijawai Pata Rais mpika takwimu na kujiaminisha Kama alivyokuwa hayati Magufuli!!

1. Tanzania tuliambiwa makusanyo ya TRA ni 2 Trillion per month ila Kwa uhalisia haikuwa hivyo tulivyoambiwa , hapa uhalisia ilikuwa Bilion 900 hadi 1.2 trillion bila kuweka kwenye hesabu uporomokaji wa thamani ya shilling . Hivyo hata marais wajao watateseka kutaka ama kuendelez uongo huu au wazikusanye kweli kwa kuwatesa wananchi na ma Tozo

2. Growth rate ya uchumi ni 7.2 wakati ukweli ni 4.7 ndo hali halisi ya ukuaji wa uchumi ilivyokuwa!!

3. Laizer Kaokota Tanzanate yenye uzito ambao si kawaida !! Kumbe zinatolewa store anapiga picha na kurejesha ili kuhadaa Kwamba Ukuta wa merelani ndo umeleta mafanikio hayo

4. Kwamba Wafanyakazi hewa walikuwa ni 20,000 wakati waliobainika kutokuwa kazini ni 7400 tu ila 137500 walikuwapo kazini ila majina yalikinzana kwenye vyeti ila kazi walifanya kawaida

5. Tembo wameongezeka mara tatu Tripped tokea ashike nchi Kumbe ni uongo tembo waNa interval kubwa ya kuzaa Kwa muda

6. Tanzania hakuna Corona

7. Air Tanzania inapata faida kumbe uongo

8. Mabeberu wana I tagert Tanzania tu kwakuwa tuna madini

9. Kila tajiri ni mwizi na wanapaswa kuishi Kama Mashetani

10. Kuna Mtanzania ameajiriwa na ametengeneza mrija wa kila dakika inaingia Milion 80 kwenye account yake!

11. Masamaki Ana nyumba 74 na viwanja 200 Dar es salaam.

12. Miradi tunajenga kwa Pesa za ndani Kumbe ni WB na waturuki dah

13. Tuna Viwanda 4000 mpaka sasa dah

huyu Mzee huyu R.I.P
 
Kwanini unachallenge legacy? Nchi hii imechezewa sana na mafisadi. Au nasema uwongo ndugu zangu?

13. Tanzania ni donor country.
14. Ndani ya miaka mitano tu ya awali awamu ya 5 ilifanikiwa kujenga viwanda zaidi ya 800
 
Tukubaliane Jambo moja la ukweli na uwazi Tanzania haijawai Pata Rais mpika takwimu na kujiaminisha Kama alivyokuwa hayati Magufuli!!

1. Tanzania tuliambiwa makusanyo ya TRA ni 2 Trillion per month ila Kwa uhalisia haikuwa hivyo tulivyoambiwa , hapa uhalisia ilikuwa Bilion 900 hadi 1.2 trillion bila kuweka kwenye hesabu uporomokaji wa thamani ya shilling . Hivyo hata marais wajao watateseka kutaka ama kuendelez uongo huu au wazikusanye kweli kwa kuwatesa wananchi na ma Tozo

2. Growth rate ya uchumi ni 7.2 wakati ukweli ni 4.7 ndo hali halisi ya ukuaji wa uchumi ilivyokuwa!!

3. Laizer Kaokota Tanzanate yenye uzito ambao si kawaida !! Kumbe zinatolewa store anapiga picha na kurejesha ili kuhadaa Kwamba Ukuta wa merelani ndo umeleta mafanikio hayo

4. Kwamba Wafanyakazi hewa walikuwa ni 20,000 wakati waliobainika kutokuwa kazini ni 7400 tu ila 137500 walikuwapo kazini ila majina yalikinzana kwenye vyeti ila kazi walifanya kawaida

5. Tembo wameongezeka mara tatu Tripped tokea ashike nchi Kumbe ni uongo tembo waNa interval kubwa ya kuzaa Kwa muda

6. Tanzania hakuna Corona
7. Air Tanzania inapata faida kumbe uongo
8. Mabeberu wana I tagert Tanzania tu kwakuwa tuna madini
9. Kila tajiri ni mwizi na wanapaswa kuishi Kama Mashetani
10. Kuna Mtanzania ameajiriwa na ametengeneza mrija wa kila dakika inaingia Milion 80 kwenye account yake!
11. Masamaki Ana nyumba 74 na viwanja 200 Dar es salaam.
12. Miradi tunajenga kwa Pesa za ndani Kumbe ni WB na waturuki dah
13. Tuna Viwanda 4000 mpaka sasa dah
huyu Mzee huyu R.I.P
Madini ya Laizer( mtu wa system) yalikuwa yanaibwa kufidia gharama za uchaguzi.
 
... enzi zile akielezea Bungeni hadi idadi ya mayai na vifaranga vya samaki baharini kwa system makini ilitakiwa asifikie hata fomu ya kuomba kupitishwa na chama chake maana ni mwongo aliyekubuhu!

Ila kwa kuwa uongo ni part and parcel ya maisha yetu alionekana wa maana kwa uongo wake bila kujua uongo ni baba wa dhambi zote hence maasi yote maana dhambi ya kwanza duniani ilikuwa uongo!
 
Uongo upo kila sehem mkuu. Na ndio maana mpaka leo unawatesa hawa wachumia tumbo kwa kujaribu kuirubuni tena baadhi ya misukule yao iliyokata kamba mwaka 2015, na kuamua kuachana na harakati uchwara kwa masilahi ya viongozi wa chama. I mean chama na viongozi wake wamekuwa hawaaminiwi tena kwa chochote wanachosema.

images (7).jpeg


2878995_images_9.jpeg


images (11).jpeg


images (10).jpeg
 
Tukubaliane Jambo moja la ukweli na uwazi Tanzania haijawai Pata Rais mpika takwimu na kujiaminisha Kama alivyokuwa hayati Magufuli!!

1. Tanzania tuliambiwa makusanyo ya TRA ni 2 Trillion per month ila Kwa uhalisia haikuwa hivyo tulivyoambiwa , hapa uhalisia ilikuwa Bilion 900 hadi 1.2 trillion bila kuweka kwenye hesabu uporomokaji wa thamani ya shilling . Hivyo hata marais wajao watateseka kutaka ama kuendelez uongo huu au wazikusanye kweli kwa kuwatesa wananchi na ma Tozo

2. Growth rate ya uchumi ni 7.2 wakati ukweli ni 4.7 ndo hali halisi ya ukuaji wa uchumi ilivyokuwa!!

3. Laizer Kaokota Tanzanate yenye uzito ambao si kawaida !! Kumbe zinatolewa store anapiga picha na kurejesha ili kuhadaa Kwamba Ukuta wa merelani ndo umeleta mafanikio hayo

4. Kwamba Wafanyakazi hewa walikuwa ni 20,000 wakati waliobainika kutokuwa kazini ni 7400 tu ila 137500 walikuwapo kazini ila majina yalikinzana kwenye vyeti ila kazi walifanya kawaida

5. Tembo wameongezeka mara tatu Tripped tokea ashike nchi Kumbe ni uongo tembo waNa interval kubwa ya kuzaa Kwa muda

6. Tanzania hakuna Corona
7. Air Tanzania inapata faida kumbe uongo
8. Mabeberu wana I tagert Tanzania tu kwakuwa tuna madini
9. Kila tajiri ni mwizi na wanapaswa kuishi Kama Mashetani
10. Kuna Mtanzania ameajiriwa na ametengeneza mrija wa kila dakika inaingia Milion 80 kwenye account yake!
11. Masamaki Ana nyumba 74 na viwanja 200 Dar es salaam.
12. Miradi tunajenga kwa Pesa za ndani Kumbe ni WB na waturuki dah
13. Tuna Viwanda 4000 mpaka sasa dah
huyu Mzee huyu R.I.P
Umeongea ushuzi mtupu.....
 
Dead men tell no tales. Magu ameshakufa, kama hizo ulizosema zilikuwa ni story za alinacha basi CCM wanayo nafasi ya kuweka ukweli wazi. Otherwise, ni style ya uongo CCM wako nayo katika kuongoza nchi. Nakumbuka ni miezi kadhaa baada ya Magu kufa tuliambiwa ndege ni hasara tupu. Ajabu miezi michache mbele yule aliyetuarifu hilo ameagiza ndege zingine tena kwa cash.
Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa kudra, binafsi sioni mipango katika kinachofanywa na viongozi wa taifa letu. Mipango bora waliyonayo ni namna ya kujaza matumbo yao na familia zao kwa kuwabebesha mizigo Watanzania maskini.
Huwa nikikumbuka story tunazopigishana mitaani kuwa Tanzania ni moja ya nchi makini inayoheshimika barani Afrika, hasa kutokana na jitahida zake hapo zamani za Ukombozi wa bara letu kutoka kwa Western. Napata picha kwamba hizo story huenda zilijaza uongo kama wote.
Kwanza, namna viongozi wanavyozungumza na hadhira huonyesha kichwani wamejaa ujinga na mihemko.
Pili, ukitembelea taasisi za serikali kupata huduma utagundua wajinga walivyojazana huko kwenye hizo taasisi.
Tatu, nikikumbuka matukio kama ya Lissu, Aquilina, Hamza na Mo, na utetezi wa matukio, utayari katika dharura, pia taarifa za uchunguzi wa matukio huwa naona Tanzania huenda haina watu smart.
Nahitimisha kwa kusema, Mungu tu hutulinda na kutuepusha na mabalaa wakati mwingi, lakini sio kwa kudai kuna jitihada zozote za maana.
Haya ni maoni yangu. Natamani kuona Tanzania ya watu smart na watenda haki kuanzia uongozi na kila kitu. Tumebarikiwa utajiri mwingi, lakini kwa wajinga wengi waliomo humu Tanzania sitegemei kuona huu utajiri tunaouona ukisaidia chochote.
 
... enzi zile akielezea Bungeni hadi idadi ya mayai na vifaranga vya samaki baharini kwa system makini ilitakiwa asifikie hata fomu ya kuomba kupitishwa na chama chake maana ni mwongo aliyekubuhu!

Ila kwa kuwa uongo ni part and parcel ya maisha yetu alionekana wa maana kwa uongo wake bila kujua uongo ni baba wa dhambi zote hence maasi yote maana dhambi ya kwanza duniani ilikuwa uongo!
Huu uzi kuna watu watapita kwa mbali tu.
 
Back
Top Bottom