Uongozi mbovu ndo unasababisha bidhaa kupanda bei na Kukosa maji na Nishati

Uongozi mbovu ndo unasababisha bidhaa kupanda bei na Kukosa maji na Nishati

nyerere hakua mtawala mbovu isipokua sera za kijamaa ndo zilimuangusha.
Alijua kuwa zimefeli, na alikuwa anaweza kupiga U turn lakini alisema hageuki nyuma kwa mantiki hiyo Nyerere alikuwa Mtawala mbovu.
 
Yamerudi yaleyale ya zamani, ukitaka huduma kwenye maofisi haya ya serikali utasumbuliwa weee, hadi makatibu wakuu wa hizi wizara ni ovyo tu, mama awe mkali aoneshe mfano kwa kuwasikiliza watu na kutatua kero zao siyo kusafirisafiri tu.Badala ya kutatua kero za watu yeye hukusanya mabango aache hiyo tabia
 
Tatizo la uongozi liliopo(vaccum of power) ndo linasababu bei ya vitu kupanda na nishati pamoja na maji kukosa. Tusingizie eti sijui awamu ya tano sijui blah blah. Tatizo liliopo sahivi na ndo chazo ya yote haya ni uongozi legelege usiosimamia kinachopaswa kusimamiwa.
MkamaP ilivyo ni kwamba kila anayepata urais anaingia na kujaribu kufanya mambo kwa namna ile ile na kwenye mazingira yale yale ila tu anatumia wapambe tofauti. Yes, anatumia wapambe na siyo wasaidizi. Bila kumpata rais mwenye busara, atakayekubali kuacha ubinafsi na kubadili system nzima ya mfumo wetu wa uongozi hakuna kitakachobadilika.
 
Yamerudi yaleyale ya zamani, ukitaka huduma kwenye maofisi haya ya serikali utasumbuliwa weee, hadi makatibu wakuu wa hizi wizara ni ovyo tu, mama awe mkali aoneshe mfano kwa kuwasikiliza watu na kutatua kero zao siyo kusafirisafiri tu.Badala ya kutatua kero za watu yeye hukusanya mabango aache hiyo tabia
Ni kuwa hali imerudi na kuwa mbaya zaidi. Watu wanataka kulipizia miaka mitano waliyobanwa.
 
Hiyo demokrasia labda unaiongelea taifa la Ghana siyo bongo
Ndiyo kidemokrasia ni pamoja na movement vuguvugu zake za kidemokrasia. Ni pamoja na kukataa kuogozwa na asiyekuwa na tija kama masilahi ya wananchi wengi hayazingatiwi.

Demokrasia siyo tu kupiga kura. Ifikie hatua wananchi waamue jinsi gani wanataka kujiongoza na nani waongeze.
 
Hilo lipo wazi na haliihitaji kuwa na degree kulitambua na bado watawala hawana muda nalo.

Wapo busy na mikutano na misafara wanayo iona ni bora kwao.
Mmeshawasifia wanaupiga mwingi na wanafungua nchi, ndio tuendelee kula mtori nyama tutazikuta chini.
 
Hiyo joke yako umeiakisi vizuri. 😎

Ukiona kauli inayofuanana na joke yako ni yakiongozi basi ni kiongozi tayari asiyejali aliyekwisha kata tamaa tayari.
 
Naomba kuuliza, ni sababu gani ambazo zimesababisha kupanda kwa bei ya vitu mbalimbali hapa Tanzania? (Mfano, vifaa vya ujenzi, mafuta ya kupikia nk)

Pia, naomba kufahamu, kupanda huku kwa bei ya vitu na maisha kuwa magumu ni hapa Tanzania tu au hata nchi nyingine za Kiafrika?

Kwa wale wenye exposure ya kutembelea nchi za Kiafrika hali ikoje huko? (Usitolee mifano ya nchi za Ulaya)

Nahitaji kujua kama huu ugumu wa maisha ni kawaida kwa nchi nyingine za Kiafrika au kuna sehemu Tanzania tumeishakosea, tujiandae kisaikolojia!
 
Naomba kuuliza, ni sababu gani ambazo zimesababisha kupanda kwa bei ya vitu mbalimbali hapa Tanzania? (Mfano, vifaa vya ujenzi, mafuta ya kupikia nk)

Pia, naomba kufahamu, kupanda huku kwa bei ya vitu na maisha kuwa magumu ni hapa Tanzania tu au hata nchi nyingine za Kiafrika?

Kwa wale wenye exposure ya kutembelea nchi za Kiafrika hali ikoje huko? (Usitolee mifano ya nchi za Ulaya)

Nahitaji kujua kama huu ugumu wa maisha ni kawaida kwa nchi nyingine za Kiafrika au kuna sehemu Tanzania tumeishakosea, tujiandae kisaikolojia!
Mkuu Kwa nilipo Malawi naona kuna kaunafuu kiasi kuliko home tz ingawa ni Malawi ni poor sana.huku sukari 1 kg Kwa hela ya bongo ni 1400 na ni super sembe 5 kg ni 2700 mfano Tu la muhimu serikali huko ikubali kuingiza washindani HATA wa kigeni isizuie Kila kinachoingizwa borders la muhimu kiwe salama.
 
Hilo lipo wazi na haliihitaji kuwa na degree kulitambua na bado watawala hawana muda nalo.

Wapo busy na mikutano na misafara wanayo iona ni bora kwao.
Kipindi Cha Magufuli kwa vile alikuwa anawachukia mabeberu tulikuwa na wasiwasi kwamba nchi inaweza kuwekewa vikwazo hali ikawa mbaya Kama Zimbabwe.

Sasa Magufuli hayupo na ule wasiwasi wa vikwazo haupo pia lakini huu mfumuko wa Bei unasababoshwa na ninii? Kuna tatizo ganii?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipindi Cha Magufuli kwa vile alikuwa anawachukia mabeberu tulikuwa na wasiwasi kwamba nchi inaweza kuwekewa vikwazo hali ikawa mbaya Kama Zimbabwe...
Aisee kila mtu anashangaa ila naona ni kujichukulia maamuzi ya kupandisha bei kwa tamaa za wafanyabiashara.

Wakati huo huo viongozi wa idara husika wakiweka pamba masikioni.
 
Acha na mm kidogo nitoe ya moyoni.

Habar ya weekend

Nasikitishwa sana na utawala wa huyu mama asa asa kwenye mfumuko wa bei.

Yaan vitu vinapanda bei kila baada ya masaa na mama kimya, nafaham yy hana shida maana kila kitu anahudumiwa na kodi zetu,
Alaf vitu vinavyopanda bei ni vile potential.

Leo nimeskitika sana kuuziwa kipande cha sabuni B-29 kwa sh 600, kutoka 250. Inaonekana wazi utawala wa huyu mama ni kwa ajili ya kukandamiza wanyonge, kwa style hii Ni bora tu na yy amfuate mwenzake maana huku mtaan sio poa.

Jaman twende mbele turud nyuma huyu mama anaumiza watu..
 
Back
Top Bottom