Uongozi mpya wa CHADEMA hauna mpango mkakati wakujitegemea kiuchumi wala kujiendesha bila kuomba pesa kwa wananchi masikini

Uongozi mpya wa CHADEMA hauna mpango mkakati wakujitegemea kiuchumi wala kujiendesha bila kuomba pesa kwa wananchi masikini

Siasa ni akili, siasa ni rasilimali, siasa ni ujanja, siasa ni usasa, . Siasa haihitaji sifa za kijinga Wala kukomalisha 'ngwimbi' kwa hoja murua za 1960s, siasa ni umafia na ukauzu wenye tija mbele (si sifa kujifanya kuweka wazi Kila kitu, Kuna vingine watawaliwa hawapaswi kujua hata iweje.....huo ndo uongozi, hata mutumie Kuna mambo walikuwa wanamalizana wenyewe wa juu tu Ili mambo yaende). Sasa Ukija mbiombio kwa sifa za kijinga kwamba wewe 'muaminifu' mpaka Mungu mwenyewe anashangaa, kwamba Kila inajopatikana sumni basi watoto wote lazima wajue imetoka wapi (wababa wakati mwingine tunakumbana na makofi huko ktk kutafuta ugali; watoto hawapaswi kujua Bali kushangilia tu upatikamaji wa mlo na kutekeleza lile linalopaswa kutekeleza), lazima bungo uteme muda si mrefu.
kuomba omba pesa ni utapeli wa fedheha binafsi, ndugu jamaa na marafiki sio siasa gentleman,

singinda hawamtaki kwasabb tabia ya kuomba omba pesa inawaiabisha, wanaonekana ni watu wavivi na ombaomba kwasabb ya huyo tapeli wa siasa,

akili ni kutafuta pesa kwa mipango na bidii sio kuomba omba 🐒
 
Nani kakwambia wananchi wanataka CDM ya matajiri? Ni hivi CDM ni sehemu ya wananchi hawa maskini ambao wameapa kuichangia ije mvuaama lije jua la utosi, sasa wewe chawa wa CCM unaumia nini??
relax basi ndugu mtapeliwa,

umechangia vyama vya siasa kwa ruzuku ambayo chadema pia inapata, lakin bado huyo tapeli wa siasa kwa kutia huruma bado anawarubuni kumchangia pesa za bapa na nyama,

Mtashenyentwa maokoto na huyo tapeli hadi akili ziwakae sawa 🐒
 
Narudia, ni suala la muda tu kabla mshamba flani hajatema au kutemeshwa bungo.

Mtasubiri sana Lissu ana upeo mkubwa sana ndugu yangu jamaa ni genius hamta muweza hata siku moja. Machawa mtakuja na kuondoka Lissu atakuwepo. Mama katumia mabilioni kashidwa kumzuia . Magu kafa yeye mnafikiri mtamweza mtu ambaye kalindwa na Mungu. Mama asiko badilika ataondoka yeye
 
Mtasubiri sana Lissu ana upeo mkubwa sana ndugu yangu jamaa ni genius hamta muweza hata siku moja. Machawa mtakuja na kuondoka Lissu atakuwepo. Mama katumia mabilioni kashidwa kumzuia . Magu kafa yeye mnafikiri mtamweza mtu ambaye kalindwa na Mungu. Mama asiko badilika ataondoka yeye
Bwahahaahahaaa! Ndo mnavyojifariji nyumbu?!!!! Poleni sana, Samia ni mpango wa Mungu zaidi kuliko huyo tapeli mwenye watoto wanaokula maisha ulaya. Ushachangia kwanza mkuu?!! Fanya fasta watu Wana mpango nao mchango huo
 
Mk
Ni muhimu chadema ikatangazwa tu kama ni kituo kinachohitaji msaada wa kifedha kujiendesha ili wadau mballimbali wa kitaifa na kimataifa waone namna ya kuwasaidia,

Vinginevyo demokrasia ya vyama vya siasa nchini inapitia katika aibu, fedheha na setback ya kudumaa badala ya kustawi na kujitegemea katika kujiendesha.

Kuwasumbua na kuwabebesha wananchi maskini mzigo kwa kuwachangisha pesa za kula, kunywa na kuendeshea vyama vya siasa, kama alivyoomba mwenyekiti mpya wa Chadema kuchangiwa pesa za matumizi ya chadema, ni ishara wazi kua uongozi mpya hauna maono wala mipango mikakati mahususi ya kujiendesha na kujitegemea bali kuwafanya wananchi maskini waTanzania kua maskini zaidi huku wakiwahadaa kuwasaidia kwa mipango na ahadi hewa zisizotekelezeka.🐒

Je,
huo ni ulaghai au utapeli wa aina mpya uliobuniwa na viongozi matapeli wa kisiasa hususani ndani ya chadema ?

Mungu ibariki Tanzania.
🤔 🤔 🤔 💭
 
Bwahahaahahaaa! Ndo mnavyojifariji nyumbu?!!!! Poleni sana, Samia ni mpango wa Mungu zaidi kuliko huyo tapeli mwenye watoto wanaokula maisha ulaya. Ushachangia kwanza mkuu?!! Fanya fasta watu Wana mpango nao mchango huo
😂😂😂 hivi kuna mpango wa Mungu wa wizi wa kura na kuteka wapinzani? Vitu vya Mungu vinajionyesha
 
Mbowe alitumia milioni 700 na Wenje 400 milioni na wameshidwa kwasababu ya nguvu ya umma. Pesa zetu zitashia kujenga mahekalu na kujitajirisha kwa Samia family lakini kupendwa hapa hampo
 
😂😂😂 hivi kuna mpango wa Mungu wa wizi wa kura na kuteka wapinzani? Vitu vya Mungu vinajionyesha
chadema wamemaliza uchaguzi na kutekana wameacha na bullet proof vest haivaliwi tena saivi kuelekea chadema HQ, hivi kulikoni hasa gentleman 🐒
 
Akutekeni nani?!!!! Kwa lipi?!!!!!!! Angalieni mahusiano yenu na wanaowadai huko.

Kwani CCM kila mtu amapenda Mama kupendekezwa kwa njia ya kutangazwa? Ina maana na CCM kuna mpasuko? Tusizushe mambo ambayo hayapo. Hizi kiki hazitafanikiwa. Watanzania wanataka vitu vya msingi vichache tu. Mama akifanya hivyo vitu hapo hata pata shida kutafuta uchawi ndani ya chadema ambao haupo. Mkidharau mtapoteza muda na kurupi palepale

1. Mapambano ya rushwa
2. Haki za wapiga kura na tume huru
3. Matumaini ya ajira kwa vijana
4. Mikataba ya kitaifa iwe na uwazi
 
Back
Top Bottom