cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo nae hana sifa ya kuongoza hiyo taasisi. Bora angenyamazatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo nae hana sifa ya kuongoza hiyo taasisi. Bora angenyamazatu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Professor mwenyewe anaitwa Bee halafu tunataria awe serious
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaamini watanzania wote ni mbumbumbu,hatujua kufuatilia mambo.
Hivi inawezekanaje ukute machapisho wa wahitimu wengine ukose la waziri,yeye ni hakua mwanafunzi,why amehitimu?!
Kwa mifumo hii tusitegemee kuwa na Bunge lenye Meno,linaloweza kutafsiri na kutunga sheria zenye malengo ya kuistawisha nchi na wananchi.
Elimu ya bongo,tumepigwaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaaa yaan.Wanataka uende direct chuoni Ili utekwe na wasio julikana
Mshaambiwa katembeleeni huko mkapitie machapisho😂 yaoPhD za mchongo
Swali zuri, Pro aje ajibuHizi ni zama za tehama, kwa nini mtu aende mpaka chuoni kupata machapisho ya kazi zao ?
Nini kazi ya UDOM institutional repository ?
Kwa nini kazi za wanafunzi wengine zinawekwa huko lakini hizo za hao wanasiasa haizpatikani mpaka mtu aende mguu kwa mguu ?
View attachment 2053069
Haendani kabisa na uongo huyu baba..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena amejipambanua wazi wazi ktk kutetea uongo huu mubashara, eti watu waende maktaba ya chuo, lol.
Aweke mtandaoni ili hata aliye kuwepo Cuba ajionee. [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Mshaambiwa katembeleeni huko mkapitie machapisho[emoji23] yao
Ova
Ndiyo waende huko udom 😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Kwahiyo wakereketwa wote waende hadi Udom wakasome!
Prof.K Bee Mbingu ataisikia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo waende huko udom [emoji23][emoji23]
Jamaa wana akili wanajua fika hakuna mtu akataye tia mguu
Ova
Lazima tuukubali mziki wa ccm[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii nchi hii ngumu sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Maana unaweza lalamika kila siku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii nchi hii ngumu sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂😂😂😂😂🙌Maana unaweza lalamika kila siku
Ukajipa mastress mwishowe utakuwa mwendazim😂😂
Ova
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lazima tuukubali mziki wa ccm
Ndomana wengine tumeamua kuwa watazamaji
Tunatii mamlaka tu
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Jamaa kiboko salute kwao
Ova
Hata ungekuwa wewe using achia dola kirahisi rahisi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila CCM wanachofanyia watu ni noma sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata ungekuwa wewe using achia dola kirahisi rahisi
Ova
Kwenye kupigania mamlaka,hakunaga fair[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila kwelii..
Basi angalau wawe fair.