Uongozi UDOM watetea PhD za Mawaziri, na Wabunge

Uongozi UDOM watetea PhD za Mawaziri, na Wabunge

PhD by Thesis unaweza kuikamilisha hata kwa miaka miwili tu, inategemea commitment msimamizi na mtahiniwa mwenyewe. Pia inategemea research design na scope ya utafiti husika. Unaweza kupata PhD kirahisi ikiwa title na study yako ni ngumu au rahisi kwa kiwango gani

Kwa mtahiniwa wa PhD ni vizuri kuzingatia hayo, study yako ifanye iwe rahisi iwezekanavyo katika upatikanaji wa data na topic iwe straight na simple.

Vv
WEWE unaijua PhD kweli?? Au unatania?? Acha utani na Elimu ile bana...Unadhani Hiyo ni kucheza rede...msilete mchezo nyie...Ujanja ujanja ....ndio mana unakutana na Madk wenu mchongo very shallow...
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Eeh!!!![emoji23][emoji119][emoji23][emoji119].

Niliona mtoto wa mjini unatoa experience yako ya kuruka kwenye daladala kwenye ule uzi wa mwamba aliyelamba mchanga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha

Kweli wkt nasoma shule ya msingi ukonda nlipiga sana kazi part time job
Unajua miaka ya nyuma watu wa kwanza kuleta macoster na kufanya mageuzi kwenye usafiri walikuwa mabaharia
Italy trans,time will tell,Jimmy to London
Etc majina ya macoster

Ova
 
Hahaha

Kweli wkt nasoma shule ya msingi ukonda nlipiga sana kazi part time job
Unajua miaka ya nyuma watu wa kwanza kuleta macoster na kufanya mageuzi kwenye usafiri walikuwa mabaharia
Italy trans,time will tell,Jimmy to London
Etc majina ya macoster

Ova
Born in town🤗,mtoto wa mjini ,,nipe madili basi
 
Hiki chuo cha UDom kinazidi kujengewa image mbaya kadri miaka inavyosonga. Kuna interview fulani ya kazi rafiki angu alishinda, wenzake wote walifyekwa kisa tu wamesoma UDom, yeye kasoma kwingne.
Unadhani basi kile ni chuo hata hizo degree za wanafunzi wao zenyewe zinatia mashaka



Wana kazi ya kushinda kula wali ujasi wanavimbiwa
 
😂😂😂😂
Nitonye kidogo bana
Tulikuwa ugenini mjengoni
Tulirukiwa,ss kna mwenzetu akawa anasema
Mbona naskia Ova Ova Ova si unajua radio call
Tena😂😂
Tukamwqmbiaa wazee haooo ugeni tumepata😂😂
Ila mwisho wa siku mambo yalienda mukide tu
Walikosea nyumba

Ova
 
Wanaamini watanzania wote ni mbumbumbu,hatujua kufuatilia mambo.
Hivi inawezekanaje ukute machapisho wa wahitimu wengine ukose la waziri,yeye ni hakua mwanafunzi,why amehitimu?!

Kwa mifumo hii tusitegemee kuwa na Bunge lenye Meno,linaloweza kutafsiri na kutunga sheria zenye malengo ya kuistawisha nchi na wananchi.

Elimu ya bongo,tumepigwaa

Watanzania sio mbumbumbu ila mnapenda sana kufuatilia mambo yasiyo na impact kwenye changamoto za maisha yetu. Watanzania Ni watu wanaopenda kujitesa na kuona wengine wanateseka. Nani alikwambia lazima uweke online PHD yako. Abstrakt sawa. Papers nk ndo hizo za kupublish kabla ya hiyo kazi kwa kuwa Ni requirements za vyuo.

Kumbukeni kuwa siku hizi hizo kazi zinauzwa Amazon na watu wanapata hela.

Kwa ulaya lazima kazi Upload online kwenye mitandao wa vyuo kwa ajili ya kucheki plagiarism na mambo mengine na Kuna percentage then unaprint ndo unapeleka kwenye ofisi za chuo. Nashangaa mnasema PHD inaachwa online ili mkopi au mfanyeje. Abstrakt na Title Ni lazima. Na mkumbuke at the end of the day PHD anatoa professor wako. Hao wengine Ni wapambe tu. So kama professor anataka kujivunjia heshima atoe tu PHD kama pipi.

Na mfahamu kuwa mtu anaweza vuliwa hiyo PHD kama haya mambo ya plagiarism na mengineyo yatagundulika baadaye.
 
Tulikuwa ugenini mjengoni
Tulirukiwa,ss kna mwenzetu akawa anasema
Mbona naskia Ova Ova Ova si unajua radio call
Tena😂😂
Tukamwqmbiaa wazee haooo ugeni tumepata😂😂
Ila mwisho wa siku mambo yalienda mukide tu
Walikosea nyumba

Ova
😂🙌😂🙌🙏🙌🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom