Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,445
- 5,336
Inasikitisha na kufurahisha at the same time [emoji3]Ndiyoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha na kufurahisha at the same time [emoji3]Ndiyoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Kwenye kupigania mamlaka,hakunaga fair
Wawe fair muwaangushe[emoji23][emoji23]
Ova
Kuna ule mstari sijui aliimba nani " Ukizubaa bongo unaweza kujikuta umezikwa hai "Lazima tuukubali mziki wa ccm
Ndomana wengine tumeamua kuwa watazamaji
Tunatii mamlaka tu
Ova
Bora ucheke kucheka afya ujuee 😂😂[emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Mrangi unanivunja mbavu
😂😂😂😂😂Bora ucheke kucheka afya ujuee 😂😂
Ila huo ndiyo ukweli
Ova
Yah sahv waende huko kuangalia machapishomlioko udom ingieni apo maktaba mtutumie izo doc
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yah sahv waende huko kuangalia machapisho
Yao,ndy warudi humu tena [emoji23][emoji23]
Ova
Naona leo nmekufurahisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila Mrangu[emoji119][emoji23][emoji119][emoji23][emoji119]
Sasa mkuu kama umeshindwa kuelewa maneno machache hayo nliliyoandika hiyo degree uliipataje?Achaa uwongo wewe mbona mimi niliwashinda waliosoma UDSM wote
Ebu soma tena afu urudie kukoment kama utareply tena vilevile ntajua tatizo lako lilipo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona leo nmekufurahisha
Ila ndy ukweli huo
[emoji23][emoji23]
Ova
PhD za kijumbePhD za mchongo
Sawa bana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We jamaa pumzisha mbavu zangu kwa leo.
Na hii signature yako ya "ova" basi nacheka kama chizi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sawa bana
Ova
HahahNa hii signature yako ya "ova" basi nacheka kama chizi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Signature hii ina maana kbwa sanaNa hii signature yako ya "ova" basi nacheka kama chizi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niambie maana yakeSignature hii ina maana kbwa sana
Enzi hizo tuko Beach mjengoni
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23]Hahah
Basi ungekuwa karibu na mm ungekuwa unacheka daily,maana hapa mastori ndy mahala
Pake stress ungezisahau
Ningekpa mastori ya mjinimjini,mastori ya ubaharia,matukio mbalimbali,fixfix nyingi naona mbavu zako zitapasuka
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ova