Uongozi UDOM watetea PhD za Mawaziri, na Wabunge

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Swali zuri, Pro aje ajibu
 
Kwa nini machapisho yao yasiwekwe mtandaoni kila mtu ajisomee?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena amejipambanua wazi wazi ktk kutetea uongo huu mubashara, eti watu waende maktaba ya chuo, lol.
Aweke mtandaoni ili hata aliye kuwepo Cuba ajionee. [emoji23][emoji23][emoji23]
Haendani kabisa na uongo huyu baba..
Anajidhalilisha na anakidhalilisha chuo chetu[emoji1][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Kwahiyo wakereketwa wote waende hadi Udom wakasome!
Prof.K Bee Mbingu ataisikia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiyo waende huko udom πŸ˜‚πŸ˜‚

Jamaa wana akili wanajua fika hakuna mtu akataye tia mguu

Ova
 
Ndiyo waende huko udom [emoji23][emoji23]

Jamaa wana akili wanajua fika hakuna mtu akataye tia mguu

Ova
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii nchi hii ngumu sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii nchi hii ngumu sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lazima tuukubali mziki wa ccm

Ndomana wengine tumeamua kuwa watazamaji

Tunatii mamlaka tu

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…