Vitu vidogo hivi, hata wakoloni walifanya haiwezi linganishwa na haki, uhuru, utu na kuheshimianaMadoa ya Stglers Gauge, Mfugale na kijazi Flyover, Reli ya mwendokasi, kuhamia Dom, Hospital kubwa za kikanda, ukosefu wa mgao wa umeme.nk hayawezi kufutika
Kuna faida gani ya kufanya haya yote halafu watu kama kina Ben Saanane hawajulikani walipo huku mamlaka zikikaa kimya makovu yanayoripotiwa ni mengi kuliko hizo stiglaz goj we unadhani Adolf Hitler hakufanya mambo kama hayo? Ila hakumbukwi kwahyo anakumbukwa kwa mauwaji ndio legacy aliyoiacha dunianiMadoa ya Stglers Gauge, Mfugale na kijazi Flyover, Reli ya mwendokasi, kuhamia Dom, Hospital kubwa za kikanda, ukosefu wa mgao wa umeme.nk hayawezi kufutika
Kuna faida gani ya kufanya haya yote halafu watu kama kina Ben Saanane hawajulikani walipo huku mamlaka zikikaa kimya makovu yanayoripotiwa ni mengi kuliko hizo stiglaz goj we unadhani Adolf Hitler hakufanya mambo kama hayo? Ila hakumbukwi kwahyo anakumbukwa kwa mauwaji ndio legacy aliyoiacha duniani
Kwahiyo uue Watu laki tano ili utuhadae na Daraja kadhaa?Madoa ya Stglers Gauge, Mfugale na kijazi Flyover, Reli ya mwendokasi, kuhamia Dom, Hospital kubwa za kikanda, ukosefu wa mgao wa umeme.nk hayawezi kufutika
maarufu kwa ukatiliNani kakudanganya Adolf hakumbukwi German na chama chake cha nazi?
Hakumbukwi na wahuni wa NATO na vibaraka wao wa kiyahudi ndio sababu hadi wametunga sheria kuzuia watu kumkumbuka lakin bado maarufu
Madoa ya Stglers Gauge, Mfugale na kijazi Flyover, Reli ya mwendokasi, kuhamia Dom, Hospital kubwa za kikanda, ukosefu wa mgao wa umeme.nk hayawezi kufutika
maarufu kwa ukatili
Ila case ya MWingira kwa upande mwingine ina ukakasi mwingi..yule mwamba ana kashfa nyingi tuuUongozi wa magufuli wa awamu ya tano umeacha madoa na makovu mabaya sana katika historian ya taifa letu. Ni kweli alijenga miundo mbinu lakin mabaya aliyoyafanya yanafunika hayo mazuri. Imagine mpaka viongozi wa dini waliwekwa kwenye tagert ya hit list. Mwingira anaweza akawa asiwe wa mwisho tunaiomba serikali kupitia vyombo vyake vya udhibiti watu aina ya magufuli wasipewe milele uongozi wa juu katika taifa letu hasa katika nyakati hizi ambapo hatuna katiba bora.
Ule haukuwa uongozi ulikuwa ni ukatili tupuUongozi wa magufuli wa awamu ya tano umeacha madoa na makovu mabaya sana katika historian ya taifa letu. Ni kweli alijenga miundo mbinu lakin mabaya aliyoyafanya yanafunika hayo mazuri. Imagine mpaka viongozi wa dini waliwekwa kwenye tagert ya hit list. Mwingira anaweza akawa asiwe wa mwisho tunaiomba serikali kupitia vyombo vyake vya udhibiti watu aina ya magufuli wasipewe milele uongozi wa juu katika taifa letu hasa katika nyakati hizi ambapo hatuna katiba bora.
Dom watu sasa hivi wanalia, wote washakimbia huko hakuna hata anayepatamani!
Hayo mengine sijui Stgler, Mfugale n.k mataga na sukuma gang ndiyo mnayojitetea nayo mnaposhindwa kujibu hoja za msingi!
Mfuate ChatoKuna kitu tu
Maana munajitahidi saana kuchafuwa jina la magufuli
Ili muhinuwe wa kwenu
Ukweli ni kwamba huo mzimu wa magufuli utatowa watu madarakani
Ni macho yetu
Izi zote ni propaganda tu kumchafuwa ili wale walihokuwa na mapenzi ya dhati kwake wa mchukie