Uongozi wa Magufuli umeacha madoa mabaya kwa CCM Taifa

Uongozi wa Magufuli umeacha madoa mabaya kwa CCM Taifa

Dom watu sasa hivi wanalia, wote washakimbia huko hakuna hata anayepatamani!
Hayo mengine sijui Stgler, Mfugale n.k mataga na sukuma gang ndiyo mnayojitetea nayo mnaposhindwa kujibu hoja za msingi!
Ilikuwa miradi ya kupigia pesa ya umma
 
Kuna faida gani ya kufanya haya yote halafu watu kama kina Ben Saanane hawajulikani walipo huku mamlaka zikikaa kimya makovu yanayoripotiwa ni mengi kuliko hizo stiglaz goj we unadhani Adolf Hitler hakufanya mambo kama hayo? Ila hakumbukwi kwahyo anakumbukwa kwa mauwaji ndio legacy aliyoiacha duniani
Hiyo miradi ilikuwa inampa pesa sn
 
Kuna faida gani ya kufanya haya yote halafu watu kama kina Ben Saanane hawajulikani walipo huku mamlaka zikikaa kimya makovu yanayoripotiwa ni mengi kuliko hizo stiglaz goj we unadhani Adolf Hitler hakufanya mambo kama hayo? Ila hakumbukwi kwahyo anakumbukwa kwa mauwaji ndio legacy aliyoiacha duniani
Yaani wewe unamuimbia saa8 ,ama ndiye Ana thamani pekee ,wapo wengi waliopotea kuliko huyo
 
Nyumbu badilikeni, ushabiki maandazi wa hapa JF hautawasaidia. Sasa Magufuli awaue viongozi wa dini ili iweje? Kwa mamlaka ya urais ya nchi kama Tanzania, rais akitaka mtu afe itashindikana kweli? Mimi hata mgambo sijapita ila kuua mtu ni dk 0 sembuse serikali? Nyumbu badilikeni.
 
Uongozi wa magufuli wa awamu ya tano umeacha madoa na makovu mabaya sana katika historian ya taifa letu. Ni kweli alijenga miundo mbinu lakin mabaya aliyoyafanya yanafunika hayo mazuri. Imagine mpaka viongozi wa dini waliwekwa kwenye tagert ya hit list. Mwingira anaweza akawa asiwe wa mwisho tunaiomba serikali kupitia vyombo vyake vya udhibiti watu aina ya magufuli wasipewe milele uongozi wa juu katika taifa letu hasa katika nyakati hizi ambapo hatuna katiba bora.
Uongozi wa kikwete wa awamu ya nne ndo uliichanachana chupi la ccm ,magufuli ndo alikuja na sindano nakushona chupi la ccm na kuipa heshima ya ccm ikaondokana na fedhea ya zomeazomea nzi wa kijani , hao type ya kina mwingira ni zile zile fake pastors na fake nabiis.
 
Uongozi wa magufuli wa awamu ya tano umeacha madoa na makovu mabaya sana katika historian ya taifa letu. Ni kweli alijenga miundo mbinu lakin mabaya aliyoyafanya yanafunika hayo mazuri. Imagine mpaka viongozi wa dini waliwekwa kwenye tagert ya hit list. Mwingira anaweza akawa asiwe wa mwisho tunaiomba serikali kupitia vyombo vyake vya udhibiti watu aina ya magufuli wasipewe milele uongozi wa juu katika taifa letu hasa katika nyakati hizi ambapo hatuna katiba bora.
Ukiwa mwizi hutampenda police hata siku moja.
Hao viongozi wa dini wenye madhambi ndio wenye shida na magufuli na sio wale wenye kujua wajibu wao.
Ukifualilia historia ya huyo mwingira utakuta ana mashambulizi tangu kipindi cha nyuma kwa serikali hata kabla ya magufuli.
Alichofanya Magufuli ni kupiga pini mambo yao ya kifisadi ndio maana walimchukia zaidi.
 
Ukiwa mwizi hutampenda police hata siku moja.
Hao viongozi wa dini wenye madhambi ndio wenye shida na magufuli na sio wale wenye kujua wajibu wao.
Ukifualilia historia ya huyo mwingira utakuta ana mashambulizi tangu kipindi cha nyuma kwa serikali hata kabla ya magufuli.
Alichofanya Magufuli ni kupiga pini mambo yao ya kifisadi ndio maana walimchukia zaidi.
Yani nyie kila anaeanika ubaya wa magufuli mtasema ni mbaya hata papa wa kanisa katoliki akianika ubaya wa gufuli lenu mtasema papa fisadi papa gaidi.
 
Ukiwa mwizi hutampenda police hata siku moja.
Hao viongozi wa dini wenye madhambi ndio wenye shida na magufuli na sio wale wenye kujua wajibu wao.
Ukifualilia historia ya huyo mwingira utakuta ana mashambulizi tangu kipindi cha nyuma kwa serikali hata kabla ya magufuli.
Alichofanya Magufuli ni kupiga pini mambo yao ya kifisadi ndio maana walimchukia zaidi.
Ila yeye kaondoka kawaacha bado wanakula nchi
 
Ukiwa mwizi hutampenda police hata siku moja.
Hao viongozi wa dini wenye madhambi ndio wenye shida na magufuli na sio wale wenye kujua wajibu wao.
Ukifualilia historia ya huyo mwingira utakuta ana mashambulizi tangu kipindi cha nyuma kwa serikali hata kabla ya magufuli.
Alichofanya Magufuli ni kupiga pini mambo yao ya kifisadi ndio maana walimchukia zaidi.
Ajabu wenye hela ndiyo wanalilia kweli! Kweli aliwaambia kama tajiri ulijihisi unaweza kufanya chochote basi kwasasa nawewe utafanywa chochote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna faida gani ya kufanya haya yote halafu watu kama kina Ben Saanane hawajulikani walipo huku mamlaka zikikaa kimya makovu yanayoripotiwa ni mengi kuliko hizo stiglaz goj we unadhani Adolf Hitler hakufanya mambo kama hayo? Ila hakumbukwi kwahyo anakumbukwa kwa mauwaji ndio legacy aliyoiacha duniani
Ni maisha ya watu wangapi yamepotea/yanapotea kila siku kwa ukosefu/uduni wa miundombinu?

Hautaki kabisa kujibidiisha kujua kwa kujenga miundombinu hiyo ni maisha ya watu wangapi yameokolewa? Ni maisha ya watu wangapi yamekuwa bora zaidi?

#kataawahuni
 
Back
Top Bottom