Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ilikuwa miradi ya kupigia pesa ya ummaDom watu sasa hivi wanalia, wote washakimbia huko hakuna hata anayepatamani!
Hayo mengine sijui Stgler, Mfugale n.k mataga na sukuma gang ndiyo mnayojitetea nayo mnaposhindwa kujibu hoja za msingi!