Uongozi wa Magufuli umeacha madoa mabaya kwa CCM Taifa

Uongozi wa Magufuli umeacha madoa mabaya kwa CCM Taifa

Nani kakudanganya Adolf hakumbukwi German na chama chake cha nazi?

Hakumbukwi na wahuni wa NATO na vibaraka wao wa kiyahudi ndio sababu hadi wametunga sheria kuzuia watu kumkumbuka lakin bado maarufu
Huna akili
 
Wewe utakuwa na matatizo maana kila posti unaonesha chuki get a life niga Maisha yako hayajengwi na wanasiasa au MTU mwingine nakuona kila posti unaonesha chuki Tu.
Ikulu kulikuwa na shetani.....by Askofu Mwingira
 
KWa Taarifa yako vikija vyombo huru hasa toka nje ni muda mfupi sana ushahidi usioacha shaka utawekwa, au kama ni hapa nchini kufanyike mabadiliko ya kiutawala hasa mapinduzi au chama pinzani kiingie madarakani, hayo yote yanawekwa wazi. Ni hivi, alikuwa ni rais muovu na hilo halina mjadala.
Nilifikiri utaweka uthibitisho, kumbe porojo tu. 😁
 
Uyu jamaa sijui kama analipwa ngapi kumchafuwa magufuli
If you didn’t love him tulia na chuki zako
Don’t make an others to hate him because you hate him

Ukijifunza saana izi ni propaganda za kizungu
Kuna kitu tayari ambacho wameshaona in the future will be different that why wanafanya every thing ili kila mtu aone magufuli was bad person
But my friend if God says yes no one can’t say no
Naona kila siku unahangaika na magufuli
Kwani magufuli peke yake was he the only one president who leads Tanzania since his independent?

Kwanini you don’t talk about others president were kabla yake?
Au aho walikuwa malaika they didn’t any bad katika utawala wao ?
Kama sio chuki zako au chuki zenu
And when you try to think wanacho sema kuwa magufuli killed watu wengi izo ni propaganda zao au wao ndo walikuwa wana killed watu ili kuchafuwa utawala wa magufuli

Maana ukijiuliza magufuli ahue watu wa kawaida atafahidika nini
Wanaua wao alafu mwishowe wanasema ni magufuli ujinga
My friend my last word for you ni
Chuki zako zitakufanya upate depression
 
Kweli kabisa,maana ktk utawala wake RICHMOND, ESCROW,DR.Ulimboka aling'olewa meno na kucha,Mwangosi aliuawa wakati wa utawala wake,alimbambikiza kesi ya uhaini Rwakatale.
 
Ndio ulivyotenengenezwa kuamini hivvyo bdio sababu Rais wa Marekan alieamuru mabomu ya Nuclear kupigwa kwa Raia wa Japan hayupo kwny orodha yako ya watu katili

Rais wa Marekan alieamuru kuteketeza wanyonge kule Vietnam hayupo kwny orodha ya watu wako katili
Serikali ya Japan ilikataa kusalimu amri bila masharti.Kwa taarifa yako askari wa Japan walikuwa katili sana
 
Madoa ya Stglers Gauge, Mfugale na kijazi Flyover, Reli ya mwendokasi, kuhamia Dom, Hospital kubwa za kikanda, ukosefu wa mgao wa umeme.nk hayawezi kufutika
Huo ndiyo UJINGA wa Watanzania, unamshukuru Rais kwa kutimiza majukumu ambayo wewe mwananchi ambaye ndiye mwajiri wake ulimtuma atekeleze. Na umempa na kodi zako ndiyo anajengea.

Mbona Marais wengine wamefanya makubwa sana kuliko hayo na hwakuua watu, hawakuzuia uhuru wa habari, hawakuiba chaguzi kizembe hivyo??
 
Kuna kitu tu
Maana munajitahidi saana kuchafuwa jina la magufuli
Ili muhinuwe wa kwenu
Ukweli ni kwamba huo mzimu wa magufuli utatowa watu madarakani

Ni macho yetu

Izi zote ni propaganda tu kumchafuwa ili wale walihokuwa na mapenzi ya dhati kwake wa mchukie
Mwendazake ameacha majeraha kwa Watanzania wengi baada ya kuwavurugia mipango yake ya maisha. Legacy yake itakuwa ni Rais wa Tanzania aliyekuwa muuaji, mwizi, mwongo, mkandamizaji wa demokrasia ambaye alikataa uwapo wa COVID19 na akafa kwa hiyo hiyo COVID19.
 
Huo ndiyo UJINGA wa Watanzania, unamshukuru Rais kwa kutimiza majukumu ambayo wewe mwananchi ambaye ndiye mwajiri wake ulimtuma atekeleze. Na umempa na kodi zako ndiyo anajengea.

Mbona Marais wengine wamefanya makubwa sana kuliko hayo na hwakuua watu, hawakuzuia uhuru wa habari, hawakuiba chaguzi kizembe hivyo??

Ni propaganda izo magufuli akuua mtu bali ni propaganda za watu kuchafua utawala wake
Au wao ndo walikuwa wanafanya ivyo wanadanganya ni magufuli
 
Mwendazake ameacha majeraha kwa Watanzania wengi baada ya kuwavurugia mipango yake ya maisha. Legacy yake itakuwa ni Rais wa Tanzania aliyekuwa muuaji, mwizi, mwongo, mkandamizaji wa demokrasia ambaye alikataa uwapo wa COVID19 na akafa kwa hiyo hiyo COVID19.

Sema ameacha majeraha kwa wezi , majambazi, matapeli, mafisadi na wengine wengi kama wewe
Usiseme kwa watanzania
Mambo ambayo mlikuwa mnafanya nini
Mnadanganya magufuli
 
Ni propaganda izo magufuli akuua mtu bali ni propaganda za watu kuchafua utawala wake
Au wao ndo walikuwa wanafanya ivyo wanadanganya ni magufuli
Kwani akina Mkapa na Nyerere hawachafuliwi bali yeye tu? Msitoe akili nyie misukule
 
Sema ameacha majeraha kwa wezi , majambazi, matapeli, mafisadi na wengine wengi kama wewe
Usiseme kwa watanzania
Mambo ambayo mlikuwa mnafanya nini
Mnadanganya magufuli
Miaka 5 kawapeleka watu Mhakamani na wakashikiliwa rumande. Mpaka anakufa hakuna hata mmoja ambaye Mahakama ilithibitisha kuwa ni fisadi.

Lile likikuwa ni shetani ndani ya mwili wa binadamu, Liache liendelee kuoza huko jehanam
 
Huo ndiyo UJINGA wa Watanzania, unamshukuru Rais kwa kutimiza majukumu ambayo wewe mwananchi ambaye ndiye mwajiri wake ulimtuma atekeleze. Na umempa na kodi zako ndiyo anajengea.

Mbona Marais wengine wamefanya makubwa sana kuliko hayo na hwakuua watu, hawakuzuia uhuru wa habari, hawakuiba chaguzi kizembe hivyo??
Ma Rais wote Duniani wanaosifiwa wanasifiwa kwa kutekeleza majukumu yao

Hata Mkeo anaweza akakusifu kwa kumkaza vyema, jee kumkaza sio jukumu lako?

Mtoto wako unaweza kumsifu kwa kusoma na kufaulu jee sio jukumu lake?

Hata Dereva wako akikufikisha salama jion kutoka kazini unamshukuru jee kukufikisha salama sio jukumu lake?

TRA inaposhukuru walipa kodi kwa kulipa kodi kwa wakati jee kulipa kodi sio jukumu la mlipa kodi?

Tunapomsifu kila siku Nyerere tunamsifu kwa majukumu yake kama Rais

RAIS akitekeleza vyema majukumu yake anasifiwa kama ambavyo anakosolewa anapokosea
 
Madoa ya Stglers Gauge, Mfugale na kijazi Flyover, Reli ya mwendokasi, kuhamia Dom, Hospital kubwa za kikanda, ukosefu wa mgao wa umeme.nk hayawezi kufutika
Makaburu waliijenga sana SA lakini mpaka Sasa tumeshawasahau sembuse JIwe?
 
Uongozi wa magufuli wa awamu ya tano umeacha madoa na makovu mabaya sana katika historian ya taifa letu. Ni kweli alijenga miundo mbinu lakin mabaya aliyoyafanya yanafunika hayo mazuri. Imagine mpaka viongozi wa dini waliwekwa kwenye tagert ya hit list. Mwingira anaweza akawa asiwe wa mwisho tunaiomba serikali kupitia vyombo vyake vya udhibiti watu aina ya magufuli wasipewe milele uongozi wa juu katika taifa letu hasa katika nyakati hizi ambapo hatuna katiba bora.
2012 alikua ni Magufuli?
FB_IMG_1640618539552.jpg
 
Back
Top Bottom