Uongozi wa Magufuli umeacha madoa mabaya kwa CCM Taifa

Uongozi wa Magufuli umeacha madoa mabaya kwa CCM Taifa

Nani kakudanganya Adolf hakumbukwi German na chama chake cha nazi?

Hakumbukwi na wahuni wa NATO na vibaraka wao wa kiyahudi ndio sababu hadi wametunga sheria kuzuia watu kumkumbuka lakin bado maarufu
Huwezi tenganisha NATO na Ujerumani.Hitler na itikadi ya Unazi ni tusi ndani ya Ujerumani .Kuwepo kwa wanaoshabikia unazi ni sawa tu na wewe unavyofurahia kupotea kwa akina Saanane,matendo ya akina Makonda na Sabaya nk.Shetani yupo pamoja na malaika hapa Duniani
 
Miaka 5 kawapeleka watu Mhakamani na wakashikiliwa rumande. Mpaka anakufa hakuna hata mmoja ambaye Mahakama ilithibitisha kuwa ni fisadi.

Lile likikuwa ni shetani ndani ya mwili wa binadamu, Liache liendelee kuoza huko jehanam

Magufuli was one of the best president in africa not only in Tanzania kwa iyo
Kwa iyo kulinganisha magufuli na viongozi wengine si sawa
 
Kuongoza serikali kuna changamoto nyingi nyie wahuni mwangosi aliuawa wakati wa magu?
 
Kila mwanaCCM kamgeuka Magufuli...inamana wakati anatekeleza hamkua naye??
 
Back
Top Bottom