Uongozi wa Magufuli umeacha madoa mabaya kwa CCM Taifa

Uongozi wa Magufuli umeacha madoa mabaya kwa CCM Taifa

Nani kakudanganya Adolf hakumbukwi German na chama chake cha nazi?

Hakumbukwi na wahuni wa NATO na vibaraka wao wa kiyahudi ndio sababu hadi wametunga sheria kuzuia watu kumkumbuka lakin bado maarufu
Chama cha Nazi kilishakufa na alama zake zote ni outlawed.
 
Madoa ya Stglers Gauge, Mfugale na kijazi Flyover, Reli ya mwendokasi, kuhamia Dom, Hospital kubwa za kikanda, ukosefu wa mgao wa umeme.nk hayawezi kufutika

Hiyo ni miradi iliyomo kwenye mipango na bajeti ya maendeleo ya nchi. Pesa za umma zinatolewa kwa kazi hizo na mishahara ya watumishi hulipwa. Ni kazi ya serikali kutekeleza. Nothing special. Walimu wanafundisha, madaktari wanatibu, n.k. Hatuwasifu kwa hayo bali tunaukubali utendaji mzuri na kukosoa upungufu.

Labda mtu ajitolee kujenga daraja kwa pesa zake binafsi.
 
Madoa ya Stglers Gauge, Mfugale na kijazi Flyover, Reli ya mwendokasi, kuhamia Dom, Hospital kubwa za kikanda, ukosefu wa mgao wa umeme.nk hayawezi kufutika

Huo ni wajibu wa serikali na sio hisani ya mshahara wa kiongozi. Isitoshe hiyo sio ticketi ya kufanyia uovu wananchi. Kama hivyo vitu ni sifa, kwanini weusi wa Afrika Kusini tuliowaunga mkono hawamsifii Kaburu Pieter Botha, maana hayo yote yalifanyika kwa ufanisi chini yake? Sifa za kiduwanzi pelekeeni wenye uelewa mdogo.
 
Nani kakudanganya Adolf hakumbukwi German na chama chake cha nazi?

Hakumbukwi na wahuni wa NATO na vibaraka wao wa kiyahudi ndio sababu hadi wametunga sheria kuzuia watu kumkumbuka lakin bado maarufu

Kuna maadhimisho maalum ya kitaifa kukumbuka the Third Reich Ujerumani? Unazo comparative data za wanaosherehekea na wanaolaani maisha ya Hitler Ujerumani? NATO wahuni? Na UN? Wapi unapoweza kuungwa mkono ukisheherekea NAZI holocaust au kukana kwamba ilitokea?

Btw, for consolation, hakuna asiye na mashabiki hapa duniani. Yapo makanisa na ibada za shetani vile vile.
 
Ila case ya MWingira kwa upande mwingine ina ukakasi mwingi..yule mwamba ana kashfa nyingi tuu
Yawezekana kwa kuujua ukakasi(sijaukataa) ndiyo ikawa gia ya kumuumiza.Kwamba,akilalamika,aongelewe mabaya yake.Blackmailing!
 
Nyumbu badilikeni, ushabiki maandazi wa hapa JF hautawasaidia. Sasa Magufuli awaue viongozi wa dini ili iweje? Kwa mamlaka ya urais ya nchi kama Tanzania, rais akitaka mtu afe itashindikana kweli? Mimi hata mgambo sijapita ila kuua mtu ni dk 0 sembuse serikali? Nyumbu badilikeni.

Ndio alichokuwa anafanya japo ni kinyume cha sheria. Mnadhani ilikuwa siri sana?
 
Nyumbu badilikeni, ushabiki maandazi wa hapa JF hautawasaidia. Sasa Magufuli awaue viongozi wa dini ili iweje? Kwa mamlaka ya urais ya nchi kama Tanzania, rais akitaka mtu afe itashindikana kweli? Mimi hata mgambo sijapita ila kuua mtu ni dk 0 sembuse serikali? Nyumbu badilikeni.
Mbona ilishindikana kwa lisu?
 
Ni maisha ya watu wangapi yamepotea/yanapotea kila siku kwa ukosefu/uduni wa miundombinu?

Hautaki kabisa kujibidiisha kujua kwa kujenga miundombinu hiyo ni maisha ya watu wangapi yameokolewa? Ni maisha ya watu wangapi yamekuwa bora zaidi?

#kataawahuni

Kwahiyo hiyo ni ticketi ya kuwaua wengine kupitia madaraka yako? Leo hayupo na mauaji ama utekaji hausikiki, je miradi imesimama?
 
Kwahiyo hiyo ni ticketi ya kuwaua wengine kupitia madaraka yako? Leo hayupo na mauaji ama utekaji hausikiki, je miradi imesimama?
Hizo ni tuhuma na propaganda zenu tu. Lini mlithibitisha amewaua?
 
Madoa ya Stglers Gauge, Mfugale na kijazi Flyover, Reli ya mwendokasi, kuhamia Dom, Hospital kubwa za kikanda, ukosefu wa mgao wa umeme.nk hayawezi kufutika
Baba ameleta mkate nyumbani .... baada ya kupokelewa anawambia watoto wampigie makofi na vigelegele kwakuwa ameleta mkate nyumbani
 
Mtafute umuulize. Kwahiyo watu wote usiojua waliko wameuliwa na Magufuli?
Ndiyo. Ndo maana akataka kumuua mwingira!
Anzory
Sanane
Mawazo
Akwilin
Na wengine wote waliouwawa bila hatia huko MKIRU KISA wana ndevu ndefu.
Tundu lisu pia alishambuliwa na yeye
Wale wote waliouwawa na kuokotwa kwenye gsandarusi.
ALAANIWE YULE. ALIFIKIRI HATAKUFA????
 
Kama Wewe ushawahi kuwa 'Baba' walau wa kuazimwa utakuwa unajua si mababa wote huwa wanarudi na 'Mkate' …wengine badala ya kurudi na Mkate hurudi na 'hasira'na matokeo yake badala ya kupigiwa makofi anapiga makofi aliowakuta kwa hasira ya kukosa cha kurudi nacho home

Ila kama wewe ni Mama wa Nyumbani huwezi kujua kwanini Mzee 'anaomba' kupigiwa makofi
Baba ameleta mkate nyumbani .... baada ya kupokelewa anawambia watoto wampigie makofi na vigelegele kwakuwa ameleta mkate nyumbani
 
Ndiyo. Ndo maana akataka kumuua mwingira!
Anzory
Sanane
Mawazo
Akwilin
Na wengine wote waliouwawa bila hatia huko MKIRU KISA wana ndevu ndefu.
Tundu lisu pia alishambuliwa na yeye
Wale wote waliouwawa na kuokotwa kwenye gsandarusi.
ALAANIWE YULE. ALIFIKIRI HATAKUFA????
Tupe uthibitisho.
 
Hizo ni tuhuma na propaganda zenu tu. Lini mlithibitisha amewaua?

KWa Taarifa yako vikija vyombo huru hasa toka nje ni muda mfupi sana ushahidi usioacha shaka utawekwa, au kama ni hapa nchini kufanyike mabadiliko ya kiutawala hasa mapinduzi au chama pinzani kiingie madarakani, hayo yote yanawekwa wazi. Ni hivi, alikuwa ni rais muovu na hilo halina mjadala.
 
CCM wakibali kuwa walikosea sana kuwaachia chama hao wa Burundi ! Ninahakika kabisa Hawa ni raia wa Burundi kwani Watanzania Huwa na ubinadamu sana ,
 
Madoa ya Stglers Gauge, Mfugale na kijazi Flyover, Reli ya mwendokasi, kuhamia Dom, Hospital kubwa za kikanda, ukosefu wa mgao wa umeme.nk hayawezi kufutika
Makaburu walifanya zaidi ya hayo huko Africa kusini na bado walikataliwa.
 
Back
Top Bottom