Uongozi wa Magufuli umeacha madoa mabaya kwa CCM Taifa

Uongozi wa Magufuli umeacha madoa mabaya kwa CCM Taifa

Hiyo hukumu aliyopewa ni stahiki yake kabisa
Nataka twende zaidi ya hapo. Jeneza la mwili wake siku moja liwekwe mbele ya hakimu. Kisha hukumu itolewe nafsi za watu zipone
 
Acha upumbavu,siye hohehahe ndio tulikuwa tunamwelewa Magufuli vizuri tu na yeyote anayeleta hizi ngonjera mfu hatumwelewi wala nini. Wanaobwekabweka saivi ni wale wapiga madili ambao alikuwa amebana pumbu zao kisawasawa.
 
Uongozi wa magufuli wa awamu ya tano umeacha madoa na makovu mabaya sana katika historian ya taifa letu. Ni kweli alijenga miundo mbinu lakin mabaya aliyoyafanya yanafunika hayo mazuri. Imagine mpaka viongozi wa dini waliwekwa kwenye tagert ya hit list. Mwingira anaweza akawa asiwe wa mwisho tunaiomba serikali kupitia vyombo vyake vya udhibiti watu aina ya magufuli wasipewe milele uongozi wa juu katika taifa letu hasa katika nyakati hizi ambapo hatuna katiba bora.
Huyu nae anashida zake eti uongozi ina ya JPM hsutakiwi tz...sie watanzania ni tunauhitaji... Mtamchafua sana ila ndo hivyo yuko mioyoni mwetu siku zote
 
Uongozi wa magufuli wa awamu ya tano umeacha madoa na makovu mabaya sana katika historian ya taifa letu. Ni kweli alijenga miundo mbinu lakin mabaya aliyoyafanya yanafunika hayo mazuri. Imagine mpaka viongozi wa dini waliwekwa kwenye tagert ya hit list. Mwingira anaweza akawa asiwe wa mwisho tunaiomba serikali kupitia vyombo vyake vya udhibiti watu aina ya magufuli wasipewe milele uongozi wa juu katika taifa letu hasa katika nyakati hizi ambapo hatuna katiba bora.

Tatizo JPM alishughulikia Matapeli wote.
Hakuangalia Unaitwa Mtume au mwanaCCM.
 
Ndio ulivyotenengenezwa kuamini hivvyo bdio sababu Rais wa Marekan alieamuru mabomu ya Nuclear kupigwa kwa Raia wa Japan hayupo kwny orodha yako ya watu katili

Rais wa Marekan alieamuru kuteketeza wanyonge kule Vietnam hayupo kwny orodha ya watu wako katili
Waongeze
 
Uongozi wa magufuli wa awamu ya tano umeacha madoa na makovu mabaya sana katika historian ya taifa letu. Ni kweli alijenga miundo mbinu lakin mabaya aliyoyafanya yanafunika hayo mazuri. Imagine mpaka viongozi wa dini waliwekwa kwenye tagert ya hit list. Mwingira anaweza akawa asiwe wa mwisho tunaiomba serikali kupitia vyombo vyake vya udhibiti watu aina ya magufuli wasipewe milele uongozi wa juu katika taifa letu hasa katika nyakati hizi ambapo hatuna katiba bora.
Viongozi wa dini sometimes nao si wakuamini saaana.watu walibeba masandarusi ya hela kipindi cha jk pamoja na uongozi wao wa dini.
 
Madoa ya Stglers Gauge, Mfugale na kijazi Flyover, Reli ya mwendokasi, kuhamia Dom, Hospital kubwa za kikanda, ukosefu wa mgao wa umeme.nk hayawezi kufutika
Akili yako haina, akili .
Watu na utu wa mwanadamu haupotezewi thamani na vitu.
Ndio maana mnajiita Chawa mara viroboto. Pumbavu kabisa kabisa..
 
Ndio ulivyotenengenezwa kuamini hivvyo bdio sababu Rais wa Marekan alieamuru mabomu ya Nuclear kupigwa kwa Raia wa Japan hayupo kwny orodha yako ya watu katili

Rais wa Marekan alieamuru kuteketeza wanyonge kule Vietnam hayupo kwny orodha ya watu wako katili
Sasa si mngeelekeza majeshi kwenu Burundi muuane huko,” chembilacho” kutufanyia watanzania mfano wa mauaji ya Japani na Vietinamu. Koma kabisa..
 
Dalili mojawapo ya ukosefu wa akili na msongo wa mawazo ni kutukana tukana hovyo!
Akili yako haina, akili .
Watu na utu wa mwanadamu haupotezewi thamani na vitu.
Ndio maana mnajiita Chawa mara viroboto. Pumbavu kabisa kabisa..
 
Dom watu sasa hivi wanalia, wote washakimbia huko hakuna hata anayepatamani!
Hayo mengine sijui Stgler, Mfugale n.k mataga na sukuma gang ndiyo mnayojitetea nayo mnaposhindwa kujibu hoja za msingi!
Kiuchumi na maendeleo nchi imesimama hii kwa uaharibifu wa Magufuli.
Chato na Dodoma haziwezi kutuletea maendeleo yoyote kwa kujenga makazi na maofisi. Labda wangejenga viwanda huko tungekua tumesogoea.
Chawa na viroboto wanashangilia uwendawazimu tu.
 
Nani kakudanganya Adolf hakumbukwi German na chama chake cha nazi?

Hakumbukwi na wahuni wa NATO na vibaraka wao wa kiyahudi ndio sababu hadi wametunga sheria kuzuia watu kumkumbuka lakin bado maarufu
Pohampa na mapenzi ya mwendazake. Okay anakumbukwa kwa kumalizia miradi ya Kikwete kama Ubungu flyover, Ali Hassan Mwinyi Moroko-Mwenge, Taraza flyovers, Salender bridge na yeye kuasisi Bwawa la Nyerere, Kuhamia dodoma, Hospitali ya kanda kujegwa nyumbani kwake mengine pia machungu yapo ikiwa na kubomoa umoja wa kitaifa na kujenga umoja wa kikanda na Sukuma gang.
 
Naona hili Kwa chuki yako kila sehemu nikipita
Unaona chuki yangu KILA SEHEMU ukipita?

Unaelewa ulichoandika lkn?
Busisi umeniona? Chake Chake umeniona? Uvinza umeniona? Uyui umeniona? Kilolo umeniona? Mwanjelwa umeniona? Msamvu umeniona? Ruangwa umeniona? Unga Ltd umenioniona? Himo umeniona? Jinga kabisa!
 
Dalili mojawapo ya ukosefu wa akili na msongo wa mawazo ni kutukana tukana hovyo!
Nafikiri Dalili za kuwa wewe ni HAYAWANI ni kuona Sawa kushiriki mauaji ya watanzania waliokupa HIFADHI ya ukimbizi ulipokimbia kwenu Burundi.
 
Tulihitaji Barbara,madaraja,flyovers,interchange na stiglers HEP nk visivyokuwa na damu za watu.
 
Back
Top Bottom