Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,580
leo popoma kachochora
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi suala la vile Vitochi hawajatushtakia pia huko CAF? Tuulizie tafadhali Mkuu.usgn wamekata rufaa, mmeingiza watazamaji 60k badala ya 35k. Mnalo kama senegal
Kwahiyo mlisubiri hadi Simba SC ipate Matokeo ya Ushindi ndiyo mje kuanza Kujitutumua Kunishambulia na Kunizodoa hivi?We kweli ni mcha- mbuzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂😂😂wahiyo mlisubiri hadi Simba SC ipate Matokeo ya Ushindi ndiyo mje kuanza Kujitutumua Kunishambulia na Kunizodoa hivi?
Imebidi nicheke sana tu!!Kwahiyo mlisubiri hadi Simba SC ipate Matokeo ya Ushindi ndiyo mje kuanza Kujitutumua Kunishambulia na Kunizodoa hivi?
Mhona nikiwa nachambua vyema Mechi za Simba SC za katika Ligi Kuu na hata hizi za Kimataifa na nikiwa napatia kwa Matokeo Wapumbavu, Waswahili na Wanafiki wakubwa nyie ( wakiongozwa ) nawe huwa hamji Kunipongeza?
Na katika huu Uzi nilisema wazi kuwa Simba SC ikishinda nitafurahi pia na hata kama nilikuwa na Mashaka nayo hii Mechi kwa Mchambuzi au Mru wa Mpira ni Jambo la Kawaida mno ila Kwenu ambao mna Husuda na Umaarufu wangu GENTAMYCINE na mnanichukia hapa sasa ndiyo mmeona sehemu ya Kunishambulia na hata Kunidhihaki pia.
Haya kuna Uzi mwingine nimeuanzisha hivi punde tu nikisema ( tena kwa Kujiamini ) kabisa kuwa kwa Mpira'mbovu'wa Simba SC ile Jana na kwa Kikosi chetu Kibovu hasa Kiushindani Safari yetu imeishia hapa Robo Fainali ya CAFCC ila hatutoboa ( hatutofuzu ) Nusu Fainali hata turoge vipi au tufanye Umafia upi na Maandalizi gani kutokana na Ubora wa Mmoja wa Wapinzani wetu ambao tunaenda Kukutana nao.
Hamnivunji Moyo, ila nawaona Majuha.
Na bado. Kile kizee kilichokua kinapiga wachezaji wa usgn tochi, picha yake nayo sasa iko caf. Mkipita hili mkatambike
ni yanga huyuDah...huyu jamaa anawaaibisha sana Simba wenzie kibaya zaidi yenyewe imejazana humu inamshangilia tu
Hujawahi kuchambua vyema, na hakuna ulichowahi kuchambua kikaendana na uhalisi. Mechi imechezwa usiku, ngozi ya mamba haujaletewa na ushindi mnono umepatikana. Soka ni mchezo unaopigwa hadharani, kila anayefanya juhudi ya kuuona atauona tu!Mhona nikiwa nachambua vyema Mechi za Simba SC za katika Ligi Kuu na hata hizi za Kimataifa na nikiwa napatia kwa Matokeo Wapumbavu, Waswahili na Wanafiki wakubwa nyie ( wakiongozwa ) nawe huwa hamji Kunipongeza?
Umetoka kwenye unabii wa matokeo ya mechi, sasa upo kwenye unabii wa mashabiki. Kesho saa saba droo inapangwa kwa ajili ya knock out stage, wekeza unabii huko walau utaambulia sadakaNa bado. Kile kizee kilichokua kinapiga wachezaji wa usgn tochi, picha yake nayo sasa iko caf. Mkipita hili mkatambike
Ndo sababu ya kufungwa?usgn wamekata rufaa, mmeingiza watazamaji 60k badala ya 35k. Mnalo kama senegal
usgn wamekata rufaa, mmeingiza watazamaji 60k badala ya 35k. Mnalo kama senegal