GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na GENTAMYCINE nitakuwa wa Kwanza kuwapokeeni na kuwapa kila aina ya Ushirikiano na mtafanya vyema Kimichezo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Timu dhaifu sana hiiNa GENTAMYCINE nitakuwa wa Kwanza kuwapokeeni na kuwapa kila aina ya Ushirikiano na mtafanya vyema Kimichezo.
mbuzi wa kafara hao.Mkuu una uhakika tukija hivi kufanya mazoezi watafungua mageti? Usije ukatuponza.
View attachment 3267677
Moderators Refiner, Cookie, Active, Paw, YinYang, Payge, Moderator, JamiiForums and JamiiForums Founder Maxence Melo sijaanza leo Kuwaripotia hii ID ya huyu Member kwa tabia yake ya kupenda Kunichokoza, Kunidhalilisha, Kunishambulia na Kunitukana hapa JamiiForums ila nasikitika hakuna ambacho mnafanya na ndiyo maaana pamoja na Kumuonya kwenu mara kwa mara kwa Jeuri na Kiburi chake hajali na bado anaendelea. Hili ni TANGAZO langu la mwisho Kwenu kwani NIMEMVUMILIA vya kutosha hivyo nami nikianza sasa KUJIBU MASHAMBULIZI yangu MAKALI na ya KIBABE msinifuate PM na Kunilaumu sawa? Na nina USHAHIDI wa kutosha tu wa Screenshots za posts zake mbalimbali Kwangu.Kwani Namboole Uganda ipo Kawe Mkuu?
Sasa hapo Umetukanwa wapi?Moderators Refiner, Cookie, Active, Paw, YinYang, Payge, Moderator, JamiiForums and JamiiForums Founder Maxence Melo sijaanza leo Kuwaripotia hii ID ya huyu Member kwa tabia yake ya kupenda Kunichokoza, Kunidhalilisha, Kunishambulia na Kunitukana hapa JamiiForums ila nasikitika hakuna ambacho mnafanya na ndiyo maaana pamoja na Kumuonya kwenu mara kwa mara kwa Jeuri na Kiburi chake hajali na bado anaendelea. Hili ni TANGAZO langu la mwisho Kwenu kwani NIMEMVUMILIA vya kutosha hivyo nami nikianza sasa KUJIBU MASHAMBULIZI yangu MAKALI na ya KIBABE msinifuate PM na Kunilaumu sawa? Na nina USHAHIDI wa kutosha tu wa Screenshots za posts zake mbalimbali Kwangu.
Inakera......!!!!!!!
Uganda mpox,ebolaNa GENTAMYCINE nitakuwa wa Kwanza kuwapokeeni na kuwapa kila aina ya Ushirikiano na mtafanya vyema Kimichezo.
Mbona Mimi sijaumwa / siumwi? Na wala hayo Magonjwa hayapo kabisa hapa Jijini Kampala. Simba SC waje huku Uganda.Uganda mpox,ebola
Nilisahau hilo..pia kwa Sasa naona ugonjwa umecotton fire🔥Uganda mpox,ebola
Acha Ujinga popoma,kijana kuna Empox Uganda.Mamlaka zinasema hivyoMbona Mimi sijaumwa / siumwi? Na wala hayo Magonjwa hayapo kabisa hapa Jijini Kampala. Simba SC waje huku Uganda.
Naona baada ya Moderators kukupa ONYO KALI kwa ile ID yako baada ya Mimi Kukuripoti Kwao, sasa umeamua kuja na hii ukidhani Mimi ni Mpumbavu kama Wewe na sitokujua / sitokushtukia.Afu nasikia Upo Kawe sasa Uganda unaenda lini?