Uongozi wa Simba SC tafadhalini leteni Mechi zenu Uwanja wa Namboole hapa Uganda kwani mnakubalika na msipeleke Amahoro Rwanda kwa Yanga SC wengi

Uongozi wa Simba SC tafadhalini leteni Mechi zenu Uwanja wa Namboole hapa Uganda kwani mnakubalika na msipeleke Amahoro Rwanda kwa Yanga SC wengi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na GENTAMYCINE nitakuwa wa Kwanza kuwapokeeni na kuwapa kila aina ya Ushirikiano na mtafanya vyema Kimichezo.
 
Mkuu una uhakika tukija hivi kufanya mazoezi watafungua mageti? Usije ukatuponza.
FB_IMG_17417286134422017.jpg
 
Kwani Namboole Uganda ipo Kawe Mkuu?
Moderators Refiner, Cookie, Active, Paw, YinYang, Payge, Moderator, JamiiForums and JamiiForums Founder Maxence Melo sijaanza leo Kuwaripotia hii ID ya huyu Member kwa tabia yake ya kupenda Kunichokoza, Kunidhalilisha, Kunishambulia na Kunitukana hapa JamiiForums ila nasikitika hakuna ambacho mnafanya na ndiyo maaana pamoja na Kumuonya kwenu mara kwa mara kwa Jeuri na Kiburi chake hajali na bado anaendelea. Hili ni TANGAZO langu la mwisho Kwenu kwani NIMEMVUMILIA vya kutosha hivyo nami nikianza sasa KUJIBU MASHAMBULIZI yangu MAKALI na ya KIBABE msinifuate PM na Kunilaumu sawa? Na nina USHAHIDI wa kutosha tu wa Screenshots za posts zake mbalimbali Kwangu.

Inakera......!!!!!!!
 
Moderators Refiner, Cookie, Active, Paw, YinYang, Payge, Moderator, JamiiForums and JamiiForums Founder Maxence Melo sijaanza leo Kuwaripotia hii ID ya huyu Member kwa tabia yake ya kupenda Kunichokoza, Kunidhalilisha, Kunishambulia na Kunitukana hapa JamiiForums ila nasikitika hakuna ambacho mnafanya na ndiyo maaana pamoja na Kumuonya kwenu mara kwa mara kwa Jeuri na Kiburi chake hajali na bado anaendelea. Hili ni TANGAZO langu la mwisho Kwenu kwani NIMEMVUMILIA vya kutosha hivyo nami nikianza sasa KUJIBU MASHAMBULIZI yangu MAKALI na ya KIBABE msinifuate PM na Kunilaumu sawa? Na nina USHAHIDI wa kutosha tu wa Screenshots za posts zake mbalimbali Kwangu.

Inakera......!!!!!!!
Sasa hapo Umetukanwa wapi?
Kweka ushahidi niliokutukana hapa sio porojo tu mkuu.
 
Afu nasikia Upo Kawe sasa Uganda unaenda lini?
Naona baada ya Moderators kukupa ONYO KALI kwa ile ID yako baada ya Mimi Kukuripoti Kwao, sasa umeamua kuja na hii ukidhani Mimi ni Mpumbavu kama Wewe na sitokujua / sitokushtukia.
 
Back
Top Bottom