Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Dah mkuu kuna vitu umeviongea mpaka nineanza kukutamani.
Ila kiukweli sasa hivi naona Jeshi ndilo linawajibika sana kuliko hao tiss ukiangalia hata sehemu nyingi sasa hivi wanatumika tpdf na kinachowafanya wawe bora ni unaaa tu kitu ambacho tiss hawana wapo kiraia raia sana.
Maana matukio mengi sasa yanamalizwa na tpdf nafikiri ni mda muafaka wa Serikali yetu ambayo inaenda kwenye uchumi viwanda na inapitia katika vita vya kiuchumi kuitumia tpdf katika masuala mbalimbali maana naona wameonyesha uwezo mkubwa sana wa kukabiliana na hizi changamoto ambazo tiss ilishindwa kama kutoroshwa kwa twiga,kuibiwa katika migodi,kupitisha mali za magendo viwanja vya ndege na bandarini nk.

Si mzuri saana wa kuandika ivyo nakosa kusema mengi sababu nina kipaji cha kuongea na sio kuandika.
 
Sijajua mpaka sasa wanatumia vigezo gani kwa askari wao lakini naona katika ku recruit kwao kuna tatizo mahali.
 
Hv TPDF waamue kukinukisha siku wakichukia hawa UWT watafanya nn ?
 
Umeandika sawa ila kuna kosa kidogo. TISS ina watumishi wake na hakuna mwanajeshi aliyeanzia TPDF. Ukimkuta ujue TISS ilimpeleka na si vinginevyo.

La maana ni hilo TISS ni mlinzi namba moja wa nchi (firstline of defence).
Hebu fanya editing hapo chini, ni mlinzi namba moja wa fisiem
 
Kazi ya kukesha mkilinda silaha zetu ndio waona kazi ngumu hiyo, Ugumu wa kz yenu ipo pale tu ikitokea vita. Binafsi naipenda kz yenu mnakula shumbwela mbaka basi.
Hahahaha hao unaoona wanakazi sana huwa maji yakiwafika shingoni huwakimbilia wazee wa kazi refer Kibiti now kimyaaaa
 
“Don’t scare me like that, colonizer!"


...Is this line from Black Panther or The Crown?
 
Kuwa makini chief washakuweka kweny "watch list" hao
 
Kwanini mnaliweka pembeni jeshi la polisi na kukomaa na Jwtz pekee?Ina maana ni kweli hamjui kwamba jeshi la polisi lina taarifa nyingi na muhimu kabisa za kiusalama kuliko hata Jwtz?
Hata siamini unaweza kunithibitishia hili ulisemalo?
 
halijasahaulika,ila ni ishara kwamba linajitegemea halihitaji msaada kutoka taasisi nyingine katka utendaji wake.ndio maana hujaona likihusishwa hapo.
Hapo Afande umepotea taasisi zote za kijeshi zinahitajiana sana usiseme kuwa huko kwenu polisi hamuhitaji msaada kutoka taasisi zingine za kijeshi najua unalijua hilo ila umeandika tu
 
Hapo Afande umepotea taasisi zote za kijeshi zinahitajiana sana usiseme kuwa huko kwenu polisi hamuhitaji msaada kutoka taasisi zingine za kijeshi najua unalijua hilo ila umeandika tu

huku kwetu polisi!!!mimi sio polisi mkuu.

unaposema naandika tu,sijajua unakuwa umetumia rejea gani??kwani si kila mtu anaandika tu humu chochote,na watu wanasoma wanafurahi,ila nyuma ya pazia ni ukuta mnene kwa jf au vijiweni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…