Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Lakini mara nyingine TISS haiwezi kushughulikia maadui wa taifa bila kuwahusisha TPDF @ JWTZ,
Kuna matukio mengi ya kihatari ambayo yanakuwa Para-militaristic sana na TISS hawawezi kuyamaliza wenyewe. Inahitaji ukusanywaji wa taarifa na mikakati ya kijeshi ili kuweza kukamilisha kazi kwa ufanisi wa hali ya juu sana.

Kikubwa zaidi ni kwamba TISS ina mkono mrefu sana kuliko TPDF @ JWTZ,
Kwasababu ni CIVILIAN INTELLIGENCE na inahusika na raia kwa moja kwa moja.
TPDF @ JWTZ Jurisdiction yao iko very limited kwasababu wao ni Purely Military tofauti kabisa na TISS.

Japo sasa,
Majasusi wengi wa TISS ambao ni heavy duty wanatokea JWTZ.
Kwasababu mfano tu, mwanajeshi Special Forces (Marine) anakuwa na uwezo mkubwa sana wa kufanya kazi za kijasusi wa kijeshi kama Reconnaissance, Kutegua mabomu, kuchambua na kutafsiri mikakati ya kijeshi ya nchi za adui kuliko jasusi ambaye yuko uraini kila siku . Kikubwa ambacho jasusi wa TISS atamshinda huyu Jasusi aliyetoka jeshi ni "Broad Mind" kwasababu mwisho wa siku kila taarifa za kijasusi ziwe za Kijeshi au Kiraia (Raw Intelligence) ni lazima ichakatwe (Processed) kwa ajili ya matumizi ya Kiutawala(Civilian Administrative Purposes). Wanaochakata ni Analysts ambao ni Think Tanks kutokea TISS kwasababu wanakuwa na mtazamo wa kiraia... ..Hili ndilo linawafanya TISS wawe hatua kumi mbele ya JWTZ @ TPDF kama taasisi.

NB 1: TISS wanafanya kazi bampa tu bampa na JWTZ kwasababu Its the duty of the TISS to make sure the army behaves and remains royal to the government and the state at by and large......!!!! Hivyo contractors wengine wa TISS wanakuwa ni wanajeshi katika asilimia 100% na maisha yao yote ni kwenye Barracks za kule Lugalo au Ngerengere.

Tuseme ukweli,
TISS na JWTZ ni mapacha wasiofanana (Fraternal Twins)
Hakuna anayeweza kufanya kazi bila kumtegemea mwenzake.
TISS IMARA=JWTZ IMARA..........

NB 2: Tusisahau pia kwamba JWTZ nao wana kitengo chao cha Intelijensia.
MILITARY INTELLIGENCE nacho kinafanya kazi na oparesheni kubwa sana za kijeshi.
Kazi yake ni kushughulikia maadui wa taifa covertly/clandestinely ambao ni purely Militaristic of Para-Militaristic in nature........

Cc: zitto junior , Consigliere , ISIS , mngony , mng'ato , Poise , chige, Da'Vinci
mkuu umeelezea vizuri mpaka akilini nikawa nawaza upo kati ya hizo mojawapo
 
Athari ni pamoja na kufa taratibu kwa kuyajua mabaya mengi yanayoisumbua nchi na huna la kufanya zaidi ya kumweleza mkurugenzi mkuu na mfadhili. Ni mbaya sana kujua kisa na njia ya kukimaliza lakini huwezi tenda.

Lazima ufe kwa kihoro. Suluhisho: Ulevi na Umalaya
mhn! hii sumu haihitaji maziwa wacha tu hiyo mihela wachukue
 
Unaweza tumwa Ukafanye misheni flani Kubwa sanaa ambayo Inabdi iwee siriii... Unaweza maliza kiroho safii lakini akatumwa mtu ajee Kukumaliza na wew lakini hata ambiwa sababu ya kukua wew... NA HUWA HAWAJUANII WENGI WAOOOO...!!
Hii ni mbaya sana,hutakiwi ujue Mambo mengi
Nalog off
 
Vijana Wa usalama kazi inawashinda sasa jioni hii namsoma mmoja apa front view anajifanya anauza pafyumu ngoja niusome mchezo mpaka saa nne usiku nione madhaifu yao
 
Vijana Wa usalama kazi inawashinda sasa jioni hii namsoma mmoja apa front view anajifanya anauza pafyumu ngoja niusome mchezo mpaka saa nne usiku nione madhaifu yao
Kama kuna sehemu kuna mapungufu ni bora umsaidie maana kuna kauli ile isemayo
kila Mtanzania ni Askari, hivyo na wewe ni sehemu ya Taifa
 
Kama kuna sehemu kuna mapungufu ni bora umsaidie maana kuna kauli ile isemayo
kila Mtanzania ni Askari, hivyo na wewe ni sehemu ya Taifa
Nikweli Mkuu ila awapendi kuona MTU baki kama anaweza kuona baadhi ya mapungufu yao naplay sehemu yangu Mkuu.wengine tuna nyota Kali sana hivyo nabahati sana kuwaona awa vijana
 
Nikweli Mkuu ila awapendi kuona MTU baki kama anaweza kuona baadhi ya mapungufu yao naplay sehemu yangu Mkuu.wengine tuna nyota Kali sana hivyo nabahati sana kuwaona awa vijana

sidhani kama atakataa msaada wako,wao pia wanajua kwamba kuna watu wana akili sana ila hawafanyi kazi kama zao.

au kama kweli wewe ni mbabe kichwani,msaidie bila yeye kujua kama amesaidiwa.
 
Kuna point mbili kuu zinazofanana katika huu uzi.

1. Point ya MAWAZO UJENZI post no.150

2. Point ya Malcom Lumumba post no. 46 kwenye NB. 2

Intelligence ya jeshini sio ya mchezo. Mfano ni Uturuki. Wale wanajeshi walioteka kituo cha radio na TV na kusema serikali imepinduliwa, walitakiwa wadakwe mapema sana kabla ya tukio.

Kwa vijana wanaopenda kazi za usalama, watambue usiku huu kuna watu wapo nje sehemu tofauti tofauti ikiwemo ikulu wakiwa wamevaa suti wakilinda.

Ni sawa sawa na walinzi wetu wa mtaani, sema tu kwa hawa wana silaha, training ya kutosha, ajira ya kueleweka, mshahara wa uhakika na wamekula kiapo kwa kazi wanazofanya.

Kama unapenda kazi ya usalama, basi naomba upende kulinda mlango wa chumba ambacho ndani hamna mtu, na mwenye hicho chumba ambaye ni mgeni wa taifa yupo chimbo lingine mbali na hapo. Sasa usiniulize wanalinda nini humo.

Kubali pia kulinda gari ambalo halina mtu na ni usiku huku ukiwa ni mke wa mtu.

Nidhamu Nidhamu Nidhamu na utii.
 
Kazi hii ni nzuri hasa ikiwa ulizaliwa kwa ajili hiyo, hivyo adha zake unazimudu tu na kuzifurahia; lkn kwa wale watafuta ajira na misifa utaishia 'kuokotwa kisimani' ukiwa maiti (snitched) maana ETHICS zake zitakufanya ujione mtumwa usiyeweza kuvumilia utumwa na hivyo kujitoa ufahamu matokeo yake ndio hivyo.
Ndio maana duniani kote mashushushu na majasusi lazima wawe 'INTELLIGENT' something which is natural!

Mie siipendi kabisa kazi hii maana unawinda huku ukiwindwa. Ni sawa na jambazi kuingia nyumbani kwa mtu akidhani HAONEKANI kumbe ANASUBIRIWA tu kwa hamu!
 
Wengi wa wanaoifanya kazi hii kama wangekuwa wanaweza kusailiwa kuhusu kuiacha bila shaka wangebaki wachache sana maana wengi wanaishi kwa kujuta ndio maana wengi hufa kwa kujinyonga au kujiua kiaina maana they're full of stress!
 
Wengi wa wanaoifanya kazi hii kama wangekuwa wanaweza kusailiwa kuhusu kuiacha bila shaka wangebaki wachache sana maana wengi wanaishi kwa kujuta ndio maana wengi hufa kwa kujinyonga au kujiua kiaina maana they're full of stress!
Unawajua wangapi waliokufa kwa kujinyonga? Na unafikiri nini kinapelekea wao kujiua?
Ni nature ya kazi yao au kuna kitu cha ziada kinawa'drive' kujiua kama ulivyoainisha?
 
Wengi wa wanaoifanya kazi hii kama wangekuwa wanaweza kusailiwa kuhusu kuiacha bila shaka wangebaki wachache sana maana wengi wanaishi kwa kujuta ndio maana wengi hufa kwa kujinyonga au kujiua kiaina maana they're full of stress!
Kwa Tanzania hamna anayejutia kuwa katika hizo idara zaidi ya kufurahia ulaji wa peza za walipa kodi bila kazi yoyote wanayoifanya "they are all losers"
 
Hii kazi ngumu, jamaa wanajitoa sadaka kwa ajili ya taifa hili, hii si kazi ya kuikimbilia kisa malupulupu na mshahara mkubwa inatakiwa dhamira ya zati kutoka moyoni.
Usiogope wewe nenda kale pesa hawana kazi ngumu wala weledi wowote zaidi ya kuwa watumwa kwa wanasiasa
 
Back
Top Bottom