Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Kwanza ili kuwa huko ni vigezo gani vya awali wanavihitaji maana hiyo kazi inatufaa sisi ambao hatuna cha kupoteza na wenye uhitaji wa kulitumikia taifa
 
njia rahisi ya kujinga na TISS ni kuwa kiherehere uko UVCCM
 
Kwanza ili kuwa huko ni vigezo gani vya awali wanavihitaji maana hiyo kazi inatufaa sisi ambao hatuna cha kupoteza na wenye uhitaji wa kulitumikia taifa
Sifa ya kwanza uwe mwana sisiemu.
 
Wengine wanashinda majumba ya Ibada kama waumini.
Na wengine kwa nje wanaonekana ni Mapadri, Wachungaji, Maaskofu, Wainjilisti, Masheikh, Ustadhi au Wazee wa kanisa kumbe ni Mashudhu.
Mfano mzuri ni yule mzee wa konyangi Ubungo na yule wa Arusha Inkoko.
 
Mimi nilishawahi kupaliwa na pepeta wee yaani ule mchele uliokaangwa ukikupalia kazi kweli nilikwenda Mofu na Chita ndio penyewe pale bila kusahau viwanja sitini,Mwaya hadi Kilosa kwa mpepo kwa kalembwaani hadi Mtimbira kwa Magungo
[emoji849][emoji849]
 
Kilosa sehemu gani
 
Umemaliza kila kitu hapa lakini all in all bado hatujajua je haya masuala yanapaswa kujadiliwa public au ndo yawe kificho kwa ajiri ya wenye taaluma hizo pekee
 
Mbaya kuliko zote nikujuwa juwa mambo mazito wakati mwingine Yana igusa familia yako ila ukashindwa kumtafuta muhusika na kuongea naye japo mshahuri maana kufanya hivyo na wewe ni marehem. Yani ni full presha ndio maana some agency nibata mwanzo mwisho
 
Hata jeshini wapo ingawa jeshini wakiwagundua wanafanya kila mbinu wawamalize ama kwa kashifa au hata kuwaua
 
Mbaya kuliko zote nikujuwa juwa mambo mazito wakati mwingine Yana igusa familia yako ila ukashindwa kumtafuta muhusika na kuongea naye japo mshahuri maana kufanya hivyo na wewe ni marehem. Yani ni full presha ndio maana some agency nibata mwanzo mwisho
 
Vipi upande wa maslahi TISS&Jwtz
Maslahi naamini JWTZ wako vizuri. Sababu! Wanaogopwa kwani wana mizinga, vifaru, ndegevita na risasi! TISS wana kalamu na karatasi tu.

Mishahara ya JWTZ ipo juu kidogo ukilinganisha vyeo mfano mwajiriwa anapotoka chuoni (Security & Intelligence Academy na Military Academy). Pili JWTZ wana posho nyingi ilhali TISS wana mbili tu Nyumba na Chakula.

Bazazi
 
Mkuu nadhani hapa tunachanganya Kati ya idara hizi mbili zote zinakazi ya kulinda taifa ningependa tuwaachie mifumo yao kwa sababu tukianza kujadali maslai haitosaidia Tena kwa idara Kama TISS ambalo mambo yao ni Siri Sana ningeomba tuyaache ili hata hao wanaotaka wajue kuwa msingi ni kuwa na kifua
 
Leta slip ya TISS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…