Mwanza uyo mwana yupogo anatembelea V8 baadhi ya sehemu anajulikana kama mganga wa kienyeji.Kuna janki mmoja alikuwa anasoma Chuo cha SAUT anasuka dread alikuwa boss wa usalama tena mkubwa tu aliletwa pale maalum jamaa alikuwa anaongea kikongo kuliko wakongo wenyewe.
We acha tuMwanza uyo mwana yupogo anatembelea V8 baadhi ya sehemu anajulikana kama mganga wa kienyeji.
Pale ferry kitengo wengi tu.. 😀😀😀Huyo jamaa ni muuza samaki tu ferry.
Movie za kijasusi zina matukio magumu kuliko ujasusi wenyewe, kama ingekuwa uhalisia uko vile majasusi wengi wangekufa. Rej. Mission Impossible n.kTISS ni moja ya kazi complex sana.
watu wanakuwa inspired na movie za kijasusi lakin in reality hizo kazi ni ngumu.
unaweza usiishi kwa uhuru mpaka unastaafu.
uzalendo wa hali ya juu na kujitolea sana kwenye hii kazi vinahitajika
Kama mlinzi wa harmonize.
Kuna mmoja babake mkubwa aliwahi kuwa mkuu wa kitengo pale kijitonyama alivyotoka masomoni babake akampenyeza sehemu pale mjini kwenye kishirika cha serikali jamaa kila siku yeye ni kuchange magari na anatembea na bastora full mashauzi nowdays katupwa huko mbeya nimemkuta juzi na mark2 box kajichokeaaaaa.nikamkumbusha zile misele akaishia kusema wewe acha tuu. Ngosha alivyoingia kapandikiza watu wake ka kanda ya ziwa tu huko wengine tupa kule.Vijana wanapenda sana hiyo kazi ya TISS lakini hawaijui vizuri,Kuwa TISS hauishi kwa amani,inabidi 24 hrs uwe Clean,24hrs monitored,ukifanya jambo ambalo linaweza kuhatarisha majukumu yako wanakula KICHWA,Tutakukuta Kwenye Kisima Umekufa au Mtaroni umepigwa risasi au kupigwa Polonium 210 ufe taratibu....Achaneni na mawazo ya kuwa TISS ndio deal,Enzi za nyuma walikuwa wanatumia kivuli cha TISS kula rushwa ila sasa wanapigika tu maana Ngosha na yeye ana watu wake wanaangalia mienendo yao hivyo nao wanaogopa...TISS tunakaa nao mitaani yaani nanga inapaa full kupigika.
Movie za kisajusi nyingi zina potray fantasy. but not the reality.Movie za kijasusi zina matukio magumu kuliko ujasusi wenyewe, kama ingekuwa uhalisia uko vile majasusi wengi wangekufa. Rej. Mission Impossible n.k
shughuli yoyote ya serikali inahitaji uzalendo, kazi kubwa ya TISS ni analysis.Linaweza kuwa swali lisiloeleweka haraka, Labda nianze na simulizi kwanza
Mwaka 1979 Tanzania iliingia kwenye vita na Uganda maarufu kama vita ya KAGERA. Mwaka 1995 nilikutana na mzee Mkumbi(marehemu) mmoja wa watu ambao walikaribia kabisa kupigana vita hiyo. Miongoni mwa mambo aliyonisimulia ni kuwa yeye alirudia eneo la mwisho ambalo angetoka hapo ilikuwa ni moja kwa moja anaingia uwanja wa vita. Anasema alifurahi sana kwani akiwa kwenye eneo la mwisho ambalo daktari alikuwa anawapima afya ndipo alinusurika, kilichomnusuru ni kukutana na daktari ambaye alikuwa ndugu yake, akamuokoa kwa kueleza kuwa afya yake si mzuri.
Binafsi ingawa sikusema nilimshangaa sana huyu mzee kwa sababu alichokifurahia ni kukwepa majukumu yake ya msingi kama Mwanajeshi, hata huyo daktari kwangu bado hakuwa Mzalendo alitaka mtoto wa nani afe na wa nani abaki? Na hawa ndio wale ambao ni wengi wanaajiriwa kwenye majeshi yetu kwa njia za upendeleo lakini je tumeangalia nini athari yake?
Kuna hii idara maarufu ambayo wengi wanatamani kuajiriwa ambayo ni usalama wa Taifa, Licha ya mshahara na marupurupu yake upande wa pili wa idara hii ukoje(side effect yake ni ipi?) Kuna jamaa waliibuka kwa ahadi za kuajiri watu kwenye Idara hiyo ambapo walikuwa wanahongwa Mil 1 na kuendelea ili kuwapatia watu kazi kwenye Idara hiyo, Hivi ni kweli watu wanaoingia kwa mtindo huo watayaweza hayo majukumu? Au kazi yenyewe ni ile ya kupita kurekodi tu watu wanaomkosoa Rais kwenye vijiwe vya kahawa? Hakuna majukumu ambayo yanamtaka mtu kujitoa ambayo yanaweza kumfanya mtu akwepe kutimiza wajibu wake kama yule mzee aliyekwepa kwenda kupambana Uganda?
NAULIZA TU.
ivi umeelewa nilichokiandika au umedandia gari kwa mbele??Basi jua alianzia TISS huwezi kwenda kuwa spy TISS jaribu kuficha ujinga na kupunguza pipipili kwenye chai.
Unamuongelea MKUU wa Tec nyaisonga auASKOFU wa Catholic mlezi wa scout ni tiss
Shehe wa daa ni tiss
Menyekiti wa taboa ni t.iss
Umeona hiyo diversity?
Kuna mmoja babake mkubwa aliwahi kuwa mkuu wa kitengo pale kijitonyama alivyotoka masomoni babake akampenyeza sehemu pale mjini kwenye kishirika cha serikali jamaa kila siku yeye ni kuchange magari na anatembea na bastora full mashauzi nowdays katupwa huko mbeya nimemkuta juzi na mark2 box kajichokeaaaaa.nikamkumbusha zile misele akaishia kusema wewe acha tuu. Ngosha alivyoingia kapandikiza watu wake ka kanda ya ziwa tu huko wengine tupa kule.
Mnaojibugi ivyo mnajionaga kama nyie ndiyo ...natania tu mkuu[emoji16]
Kiaje na watoto wa nanWATOTO WA WAKUU WA USALAMA YANI MAISHA MAGUMU TUUUUU
Sijui kwanini hii nchi huwa inaona JWTZ ni moja ya chombo kama vile kimeshushwa kutoka mbinguni.huu ni UONGO kwann wakuue ?
hakuna jwtz yenye nidhamu na ufanisi bila TISS
Mueleze huyo ili akuelewe. Huwezi kuwazuia TISS popote wanapopahitaji.umekalili bro
kila taasisi ya serkali ina dawati maalum la watu wa tiss na sio kila tiss ni mchomaji wengine wapo ajiri ya ushauri
mfano mkuu wa misitu kigoma yupo karibu saana na watu wa tiss katika harakati zake za kupambana na ujangiri na huwa wanampa full support
pia majuzi tu hapa TPA Kigoma imepigwa bilion 8 watu wa tiss from makao makuu wakaja na sasa bado wapo tunaishi nao(kuna uchunguzi unaendelea)
TPDF ipi?Kama hujui majukumu ya TPDF ni bora ukae kimya kuliko kuwadanganya wasomaji, TPDF ina majukumu mengi sana kuliko unavyofikilia kwenye ubongo wako, katika idadi ya vyombo vya ulinzi na usalama tulivyo navyo TPDF ni chombo cha juuu,
Waache tu hapohapo mkuuAcha chuki na tiss
ukweli ndio huo hakuna jwtz yenye nidhamu na waledi bila tisa imara full stop sina muda wa kufafanua elewa hivyo