Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Yeah nayajua walizuia chaguo la wananchi lowassa asiingie ikulu 2015, wamezuia wazalendo waliopinga mikataba mibovu ya madini kama kina lisu kwa mtutu,wamezuia kupinduliwa madikteta makatili kma nkuruzinza na kabila. Insanity!!! Kama TISS ingekuwa serious hata magufuli wala CCM isingekuwa inatawala leo hii.
Wakati mwingine lawama zinaenda kwa tiss lakini sio kweli hawa tiss sio kila uovu wa hili taifa wanahusika nalo hilo mlielewe ndugu zangu
 
Wakati mwingine lawama zinaenda kwa tiss lakini sio kweli hawa tiss sio kila uovu wa hili taifa wanahusika nalo hilo mlielewe ndugu zangu
Kuna kitu wazungu wanaita collective responsibility yaani hata kama hauhusiki moja kwa moja ila kwakuwa jukumu ulipewa wwe basi ni lazima uwajibike.... Yaani TISS wamepewa mandate kulinda usalama wa nchi hivyo likitokea lolote la kuhatarisha usalama lazima wakubali lawama zielekzwe kwao maana wao ndio wamepewa hilo jukumu hivyo ningependa hilo lieleweke.
 
Hakuna kazi ngumu kama kulinda uhai wa jilani yako,nakutumika kama ngao ya raia wako,,,,yaani its better wewe ufe jilani yako apone mpika chapati siku zote hawezi elewa umuhimu wa kunde
Moja ya kanuni za uhai inasema:-
"USALAMA WAKO KWANZA"
 
Wengi wanaishia kwenye Pombe na Umalaya tu.Kuna kipindi nilikua na wakuu wakitengo maeneo flani walinchukua tukatembee nipate kujua maeneo kidogo ila cha kushangaza walipiga bia kama 19 kila MTU ila mmoja alizidiwa na kuanza kuropoka mission zao na majukumu waliyoyakamilisha Nilijifanya siwaelewi ila mmoja akabadili story kwa staili yaaina yake by that time nilikua napata soft drinks na kiepe changu.Mpaka sasa mmoja ananitaftaga sana kunifanya niwe karibu

We unakosa bahati hivi hivi si ujitokeze uonane nao
 
kitengo cha mapishi kipo? maana ndio fani yangu pale NCT
Kitengo cha mapishi hamna,labda kama camp na wakati wa coz ya awali.lakini ukisha kuw recrutd sidhan kama utakuwa na kitengo hicho coz shughul za kufanya ni nyingi mno tofaut na upishi
Hivyo ndivyo ninavyo sikia
 
Aisee kwanini sasa Mkuu?
Ubaya mwingine ni unaweza kusacrifice maisha yako kwa mission ulio ifanikisha mwenyewe..pia wanamaisha magumu sana sababu inawachukua mda mrefu kuishi maisha ambayo sio halisi
 
Vijana wanapenda sana hiyo kazi ya TISS lakini hawaijui vizuri,Kuwa TISS hauishi kwa amani,inabidi 24 hrs uwe Clean,24hrs monitored,ukifanya jambo ambalo linaweza kuhatarisha majukumu yako wanakula KICHWA,Tutakukuta Kwenye Kisima Umekufa au Mtaroni umepigwa risasi au kupigwa Polonium 210 ufe taratibu....Achaneni na mawazo ya kuwa TISS ndio deal,Enzi za nyuma walikuwa wanatumia kivuli cha TISS kula rushwa ila sasa wanapigika tu maana Ngosha na yeye ana watu wake wanaangalia mienendo yao hivyo nao wanaogopa...TISS tunakaa nao mitaani yaani nanga inapaa full kupigika.
Mitaa ipi hiyo mzee baba?
 
Kitengo cha mapishi hamna,labda kama camp na wakati wa coz ya awali.lakini ukisha kuw recrutd sidhan kama utakuwa na kitengo hicho coz shughul za kufanya ni nyingi mno tofaut na upishi
Hivyo ndivyo ninavyo sikia

Daah bora nibaki Kariakoo nipikie Wachina
 
Back
Top Bottom