Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

umekalili bro

kila taasisi ya serkali ina dawati maalum la watu wa tiss na sio kila tiss ni mchomaji wengine wapo ajiri ya ushauri

mfano mkuu wa misitu kigoma yupo karibu saana na watu wa tiss katika harakati zake za kupambana na ujangiri na huwa wanampa full support

pia majuzi tu hapa TPA Kigoma imepigwa bilion 8 watu wa tiss from makao makuu wakaja na sasa bado wapo tunaishi nao(kuna uchunguzi unaendelea)
Hao ni TISS au takukuru.?
 
umekalili bro

kila taasisi ya serkali ina dawati maalum la watu wa tiss na sio kila tiss ni mchomaji wengine wapo ajiri ya ushauri

mfano mkuu wa misitu kigoma yupo karibu saana na watu wa tiss katika harakati zake za kupambana na ujangiri na huwa wanampa full support

pia majuzi tu hapa TPA Kigoma imepigwa bilion 8 watu wa tiss from makao makuu wakaja na sasa bado wapo tunaishi nao(kuna uchunguzi unaendelea)
Aliye karibu nao anajipendekeza namjua
 
Usalama wa Taifa wanapendwa Sana TZ



Hata watumike kumpeleleza baba mtu mtu mwenyewe atapenda
 
Acha chuki na tiss

ukweli ndio huo hakuna jwtz yenye nidhamu na waledi bila tisa imara full stop sina muda wa kufafanua elewa hivyo
Acha kuandika usiyoyajua unajua kazi za CMI kwa sasa zamani ni MI??
 
Kipindi cha kagera war Bernard membe jasusi mahiri alikuwa uganda kama muuza spea kwann jwtz wasingetumia watu wao wa MI ?

unajua kuwa MI inaundwa na wanajeshi watupu na unajua ugumu uliopo kutuma mwanajeshi wa nchi A kuingia nchi B ?

mossad ndio wanaodili saana na Iran kwann Israel wasitumie majasusi wa MI ?

unajua kuwa mkuu wa takukuru wa sasa pamoja na kuwa ni mwanajeshi wa jwtz lkn alikuwa ni muajiriwa wa tiss

Acha kuandika usiyoyajua unajua kazi za CMI kwa sasa zamani ni MI??
 
wewe ulipata taswira gani siku ambayo JPM alimteua Diwani othumani kuwa mkuu wa takukuru alafu akamwambia siro kuwa huyu diwani ambae alikuwa ni msaidizi wa siro kuwa alikuwa ni usalama wa taifa ?

unajua kuwa wanaofanya usahili wa viongozi wote wa kiraia na huko jeshini ni tiss ndio wanaopeleka mwenendo wa viongozi kwa rais kuwa huyu anafaa huyu hafai that why nasema hakuna jwtz yenye nidhamu bila tiss madhubuti
TISS na JWTZ hizi ni taasisi mbili zenye kazi tofautil.
Yaani nidhamu ya tiss iwe controled na jwtz ni total hoax.
Jwtz ndani yake wana Military intelligence.. hawa pia ni spies kama tiss. Tofauti wao wana gather intelligence sources for military.
Pia wana work kwa karibu na counterparts wao ambao ni Tiss.
 
wewe ulipata taswira gani siku ambayo JPM alimteua Diwani othumani kuwa mkuu wa takukuru alafu akamwambia siro kuwa huyu diwani ambae alikuwa ni msaidizi wa siro kuwa alikuwa ni usalama wa taifa ?

unajua kuwa wanaofanya usahili wa viongozi wote wa kiraia na huko jeshini ni tiss ndio wanaopeleka mwenendo wa viongozi kwa rais kuwa huyu anafaa huyu hafai that why nasema hakuna jwtz yenye nidhamu bila tiss madhubuti
Wanaofanya vetting ya viongozi ambao wanahudumia raia kama mawaziri up to rais. Makatibu wa wizara ma dc.. wale ni vetting ya TISS.
Umetolewa mfano wa diwani.. kwa polisi inawezekana maana wao ni paramilitary element.

JWTZ ni main component nchini ambayo ni full military component.
Wana vitengo vyao. Ni kiongozi mmoja tu huwa anafanyowa vetting na TISS ambae anakuwa general.
Chini ya hapo wengi wanafanyiwa vetting na kamati maalumu ya uongozi jeshini.
Ndani ya hii kamati vina include component zote za majeshi.. from Infantry.. airforce..navy.. nationa service.
Hawa generals.. wanakuwa na info zote kuhusu mujisika. Then wanamjadili kwa siku kadhaa kambla ya kuruhusu kuteuliwa au kupandishwa cheo cha juu kabisa.
Military sio dumb mpaka wasimamiwe na TISS. Wenyewe wana ji manage. Na wana experience na uwezo huo.
 
Linaweza kuwa swali lisiloeleweka haraka, Labda nianze na simulizi kwanza

Mwaka 1979 Tanzania iliingia kwenye vita na Uganda maarufu kama vita ya KAGERA. Mwaka 1995 nilikutana na mzee Mkumbi(marehemu) mmoja wa watu ambao walikaribia kabisa kupigana vita hiyo. Miongoni mwa mambo aliyonisimulia ni kuwa yeye alirudia eneo la mwisho ambalo angetoka hapo ilikuwa ni moja kwa moja anaingia uwanja wa vita. Anasema alifurahi sana kwani akiwa kwenye eneo la mwisho ambalo daktari alikuwa anawapima afya ndipo alinusurika, kilichomnusuru ni kukutana na daktari ambaye alikuwa ndugu yake, akamuokoa kwa kueleza kuwa afya yake si mzuri.

Binafsi ingawa sikusema nilimshangaa sana huyu mzee kwa sababu alichokifurahia ni kukwepa majukumu yake ya msingi kama Mwanajeshi, hata huyo daktari kwangu bado hakuwa Mzalendo alitaka mtoto wa nani afe na wa nani abaki? Na hawa ndio wale ambao ni wengi wanaajiriwa kwenye majeshi yetu kwa njia za upendeleo lakini je tumeangalia nini athari yake?

Kuna hii idara maarufu ambayo wengi wanatamani kuajiriwa ambayo ni usalama wa Taifa, Licha ya mshahara na marupurupu yake upande wa pili wa idara hii ukoje(side effect yake ni ipi?) Kuna jamaa waliibuka kwa ahadi za kuajiri watu kwenye Idara hiyo ambapo walikuwa wanahongwa Mil 1 na kuendelea ili kuwapatia watu kazi kwenye Idara hiyo, Hivi ni kweli watu wanaoingia kwa mtindo huo watayaweza hayo majukumu? Au kazi yenyewe ni ile ya kupita kurekodi tu watu wanaomkosoa Rais kwenye vijiwe vya kahawa? Hakuna majukumu ambayo yanamtaka mtu kujitoa ambayo yanaweza kumfanya mtu akwepe kutimiza wajibu wake kama yule mzee aliyekwepa kwenda kupambana Uganda?

NAULIZA TU.
Mhuuu!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Membe time's za kagera war alikuwa na kazi gan huko uganda akiwa kama mwatiss
Wanaofanya vetting ya viongozi ambao wanahudumia raia kama mawaziri up to rais. Makatibu wa wizara ma dc.. wale ni vetting ya TISS.
Umetolewa mfano wa diwani.. kwa polisi inawezekana maana wao ni paramilitary element.

JWTZ ni main component nchini ambayo ni full military component.
Wana vitengo vyao. Ni kiongozi mmoja tu huwa anafanyowa vetting na TISS ambae anakuwa general.
Chini ya hapo wengi wanafanyiwa vetting na kamati maalumu ya uongozi jeshini.
Ndani ya hii kamati vina include component zote za majeshi.. from Infantry.. airforce..navy.. nationa service.
Hawa generals.. wanakuwa na info zote kuhusu mujisika. Then wanamjadili kwa siku kadhaa kambla ya kuruhusu kuteuliwa au kupandishwa cheo cha juu kabisa.
Military sio dumb mpaka wasimamiwe na TISS. Wenyewe wana ji manage. Na wana experience na uwezo huo.
 
umekalili bro

kila taasisi ya serkali ina dawati maalum la watu wa tiss na sio kila tiss ni mchomaji wengine wapo ajiri ya ushauri

mfano mkuu wa misitu kigoma yupo karibu saana na watu wa tiss katika harakati zake za kupambana na ujangiri na huwa wanampa full support

pia majuzi tu hapa TPA Kigoma imepigwa bilion 8 watu wa tiss from makao makuu wakaja na sasa bado wapo tunaishi nao(kuna uchunguzi unaendelea)
Wasalimie hapo Manispaa Ujiji
 
Wengi wanaishia kwenye Pombe na Umalaya tu.Kuna kipindi nilikua na wakuu wakitengo maeneo flani walinchukua tukatembee nipate kujua maeneo kidogo ila cha kushangaza walipiga bia kama 19 kila MTU ila mmoja alizidiwa na kuanza kuropoka mission zao na majukumu waliyoyakamilisha Nilijifanya siwaelewi ila mmoja akabadili story kwa staili yaaina yake by that time nilikua napata soft drinks na kiepe changu.Mpaka sasa mmoja ananitaftaga sana kunifanya niwe karibu
Ndugu yangu umepotea sana
 
Wanaofanya vetting ya viongozi ambao wanahudumia raia kama mawaziri up to rais. Makatibu wa wizara ma dc.. wale ni vetting ya TISS.
Umetolewa mfano wa diwani.. kwa polisi inawezekana maana wao ni paramilitary element.

JWTZ ni main component nchini ambayo ni full military component.
Wana vitengo vyao. Ni kiongozi mmoja tu huwa anafanyowa vetting na TISS ambae anakuwa general.
Chini ya hapo wengi wanafanyiwa vetting na kamati maalumu ya uongozi jeshini.
Ndani ya hii kamati vina include component zote za majeshi.. from Infantry.. airforce..navy.. nationa service.
Hawa generals.. wanakuwa na info zote kuhusu mujisika. Then wanamjadili kwa siku kadhaa kambla ya kuruhusu kuteuliwa au kupandishwa cheo cha juu kabisa.
Military sio dumb mpaka wasimamiwe na TISS. Wenyewe wana ji manage. Na wana experience na uwezo huo.
Unabishana na ukweli uliopo,TISS ndio kila kitu katika nchi hii.TISS ina dhamana kubwa sana tofauti na tunavyowachukulia,ingelikuwa mimi ndio mkulu mlolongo wa vyombo vya ulinzi na usalama nchini ungalikuwa;
-TISS
-JWTZ
-PT.
Hawa jamaa wanamchango mkubwa sana ndio maana hata mishahara yao ni mikubwa kuliko taasisi yoyote ya ulinzi na usalama.
 
Back
Top Bottom