Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Lakini mara nyingine TISS haiwezi kushughulikia maadui wa taifa bila kuwahusisha TPDF @ JWTZ,
Kuna matukio mengi ya kihatari ambayo yanakuwa militaristic sana na TISS hawawezi kuyamaliza wenyewe. Inahitaji ukusanywaji wa taarifa na mikakati ya kijeshi ili kuweza kukamilisha kazi kwa ufanisi wa hali ya juu sana.

Kikubwa zaidi ni kwamba TISS ina mkono mrefu sana kuliko TPDF @ JWTZ,
Kwasababu ni CIVILIAN INTELLIGENCE na inahusika na raia kwa moja kwa moja.
TPDF @ JWTZ Jurisdiction yao iko very limited kwasababu wao ni Purely Military tofauti kabisa na TISS.

Japo sasa,
Majasusi wengi wa TISS ambao ni heavy duty wanatokea JWTZ.
Kwasababu mfano tu, mwanajeshi Special Forces (Marine) anakuwa na uwezo mkubwa sana wa kufanya kazi za kijasusi wa kijeshi kama Reconnaissance, Kutegua mabomu, kuchambua na kutafsiri mikakati ya kijeshi ya nchi za adui kuliko jasusi ambaye yuko uraini kila siku . Kikubwa ambacho jasusi wa TISS atamshinda huyu Jasusi aliyetoka jeshi ni "Broad Mind" kwasababu mwisho wa siku kila taarifa za kijasusi ziwe za Kijeshi au Kiraia (Raw Intelligence) ni lazima ichakatwe (Processed) kwa ajili ya matumizi ya Kiutawala(Civilian Administrative Purposes). Wanaochakata ni Analysts ambao ni Think Tanks kutokea TISS kwasababu wanakuwa na mtazamo wa kiraia... ..Hili ndilo linawafanya TISS wawe hatua kumi mbele ya JWTZ @ TPDF kama taasisi.

NB 1: TISS wanafanya kazi bampa tu bampa na JWTZ kwasababu Its the duty of the TISS to make sure the army behaves and remains royal to the government and the state at by and large......!!!! Hivyo contractors wengine wa TISS wanakuwa ni wanajeshi katika asilimia 100% na maisha yao yote ni kwenye Barracks za kule Lugalo au Ngerengere.

Tuseme ukweli,
TISS na JWTZ ni mapacha wasiofanana (Fraternal Twins)
Hakuna anayeweza kufanya kazi bila kumtegemea mwenzake.
TISS IMARA=JWTZ IMARA..........

NB 2: Tusisahau pia kwamba JWTZ nao wana kitengo chao cha Intelijensia.
MILITARY INTELLIGENCE nacho kinafanya kazi na oparesheni kubwa sana za kijeshi.
Kazi yake ni kushughulikia maadui wa taifa covertly/clandestinely ambao ni purely Militaristic of Para-Militaristic in nature......
hii kazi yenu inahitaji IQ ya hali ya juu.
 
Kipindi cha kagera war Bernard membe jasusi mahiri alikuwa uganda kama muuza spea kwann jwtz wasingetumia watu wao wa MI ?

unajua kuwa MI inaundwa na wanajeshi watupu na unajua ugumu uliopo kutuma mwanajeshi wa nchi A kuingia nchi B ?

mossad ndio wanaodili saana na Iran kwann Israel wasitumie majasusi wa MI ?

unajua kuwa mkuu wa takukuru wa sasa pamoja na kuwa ni mwanajeshi wa jwtz lkn alikuwa ni muajiriwa wa tiss
Hujui unachoandika
 
Wanaofanya vetting ya viongozi ambao wanahudumia raia kama mawaziri up to rais. Makatibu wa wizara ma dc.. wale ni vetting ya TISS.
Umetolewa mfano wa diwani.. kwa polisi inawezekana maana wao ni paramilitary element.

JWTZ ni main component nchini ambayo ni full military component.
Wana vitengo vyao. Ni kiongozi mmoja tu huwa anafanyowa vetting na TISS ambae anakuwa general.
Chini ya hapo wengi wanafanyiwa vetting na kamati maalumu ya uongozi jeshini.
Ndani ya hii kamati vina include component zote za majeshi.. from Infantry.. airforce..navy.. nationa service.
Hawa generals.. wanakuwa na info zote kuhusu mujisika. Then wanamjadili kwa siku kadhaa kambla ya kuruhusu kuteuliwa au kupandishwa cheo cha juu kabisa.
Military sio dumb mpaka wasimamiwe na TISS. Wenyewe wana ji manage. Na wana experience na uwezo huo.
Huyo Bachelor kuna vitu bado haelewi
 
Huyo Bachelor kuna vitu bado haelewi
Naelewa saana ila tunashindwa kuelewana hapa kwenye suala la kuwa tiss wanaweza kutumika kukusanya taarifa ambazo zinatumika na jeshi kuliko MI nikatoa mfano wa membe

MI inajikita zaidi kwenye ukusanyaji wa taarifa za kijeshi na watendaji wake ni wanajeshi na ninavyojua mm ni rahisi kumtambua mwanajeshi hata kwa mwendo tu sasa wanawezaje kuingia kwenye nchi adui na kupata taarifa za jeshi la adui
 
Naelewa saana ila tunashindwa kuelewana hapa kwenye suala la kuwa tiss wanaweza kutumika kukusanya taarifa ambazo zinatumika na jeshi kuliko MI nikatoa mfano wa membe

MI inajikita zaidi kwenye ukusanyaji wa taarifa za kijeshi na watendaji wake ni wanajeshi na ninavyojua mm ni rahisi kumtambua mwanajeshi hata kwa mwendo tu sasa wanawezaje kuingia kwenye nchi adui na kupata taarifa za jeshi la adui
mengine hayawezi kuandikwa hapa yote, ila ujue kuna watu ni wanajeshi wako kwenye majeshi ya nchi nyingine huko kwa watu.
wamefanya usaili na wanapiga kozi basic mpaka wanafanikiwa kupanda ranks za juu kabisa, lakinina huku kwao wana vyeo kijeshi tena.

maofisa wa usalama wanafanya upelelezi wa mashaka yote yanayohatarisha usalama wa taifa kwa ujumla wake, ndio hapo muingiliano na kitengo cha jeshi(MI) huzaliwa.

lakini si kweli kwamba wa role kubwa kabisa kwenye mfumo wa wa utendaji wa jeshi, hapana.
 
Unabishana na ukweli uliopo,TISS ndio kila kitu katika nchi hii.TISS ina dhamana kubwa sana tofauti na tunavyowachukulia,ingelikuwa mimi ndio mkulu mlolongo wa vyombo vya ulinzi na usalama nchini ungalikuwa;
-TISS
-JWTZ
-PT.
Hawa jamaa wanamchango mkubwa sana ndio maana hata mishahara yao ni mikubwa kuliko taasisi yoyote ya ulinzi na usalama.
wewe sasa unaleta ushabiki.

ni sawa na mtu akwambie ni organ gani katika mwili wa binaadam ni muhimu sana kuliko nyingine, ukurupuke na kusema ubongo.

unasahau ili ubongo ufanikiwe kuuongoza msuli, kuna mfupa lazima uwe umeushikiria huo msuli, vinginevyo ubongo hautafanya kitu.

swala la jwtz kukaa nafasi ya kwanza hapo sio kwamba lenyewe ni muhimu zaidi,ni swala la kimfumo zaidi, hivyo vyombo kuwekwa hapo ni kwa sababu ya asili ya majukumu yake kuwa na mfanano.zinaitwa taasisi za ulinzi na usalama.
 
Wanaofanya vetting ya viongozi ambao wanahudumia raia kama mawaziri up to rais. Makatibu wa wizara ma dc.. wale ni vetting ya TISS.
Umetolewa mfano wa diwani.. kwa polisi inawezekana maana wao ni paramilitary element.

JWTZ ni main component nchini ambayo ni full military component.
Wana vitengo vyao. Ni kiongozi mmoja tu huwa anafanyowa vetting na TISS ambae anakuwa general.
Chini ya hapo wengi wanafanyiwa vetting na kamati maalumu ya uongozi jeshini.
Ndani ya hii kamati vina include component zote za majeshi.. from Infantry.. airforce..navy.. nationa service.
Hawa generals.. wanakuwa na info zote kuhusu mujisika. Then wanamjadili kwa siku kadhaa kambla ya kuruhusu kuteuliwa au kupandishwa cheo cha juu kabisa.
Military sio dumb mpaka wasimamiwe na TISS. Wenyewe wana ji manage. Na wana experience na uwezo huo.
hata polisi haiwezekani vetting ifanywe na TISS,

ndio maana kuna utaratibu kwa igp kupeleka jina la anayetaka kuwa mrithi wake. na mara nyingi huwa yanapita.
 
Naelewa saana ila tunashindwa kuelewana hapa kwenye suala la kuwa tiss wanaweza kutumika kukusanya taarifa ambazo zinatumika na jeshi kuliko MI nikatoa mfano wa membe

MI inajikita zaidi kwenye ukusanyaji wa taarifa za kijeshi na watendaji wake ni wanajeshi na ninavyojua mm ni rahisi kumtambua mwanajeshi hata kwa mwendo tu sasa wanawezaje kuingia kwenye nchi adui na kupata taarifa za jeshi la adui
wanajeshi wanaweza vizuri sana. kitengo cha M.I kina receive mafunzo heavy sana maana.

jeshi sio dumb kwenye intelligence.. they know how to work.
umetolea mfano hapo mwanajeshi unaweza mjua hat tembea yake.. vip atakusanyaje intel?

well wanakuwa trained ku blend , walkings, deep covers.. na n.k.
yes TIss inaweza kuprovide intel to the military wakafanyia kazi.
but tiss is not the only one.. M.I wanafanya the same.. maybe even more.
tofauti M.I sio popular kama TISS.
 
hapo mwisho umejichanganya kidogo...yupo rafiki yangu nilisoma nae ni komando wa Jwtz lkn anafanya kazi TISS
Basi jua alianzia TISS huwezi kwenda kuwa spy TISS jaribu kuficha ujinga na kupunguza pipipili kwenye chai.
 
Hivi usalama wakutaka kuchukua mtu inakuwaje kuna jamaa yangu moja ni mtumishi wa taasisi fulani watu wake wa karibu walishauliziwa sana kuhusu yeye tabia zake na hao watu wake wakaribu wengine walishapewa na maform ya kujaza ndo wanataka kumchukua au inakuwaje..?
Anataka kutapeliwa uyo.
 
Usalama wa taifa ni neno pana sana hata ww pia ni usalama wa taifa sema kujiunga na kazi ya kuwa ofisa usalama wa taifa upande wake wa pili ukoje mzee hii kazi ni ngumu mno tofauti na watu wengi wanavyozani ni bora uwe mwanajeshi kuliko kiwa kachelo wa TISS.....
Nakuaminia bro hujawahi kuongea pumba.
 
Back
Top Bottom