Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Huna lolote unalolijua naomba ukae kimya tu mkuu.
Kitu chochote kinachofanyika kwa siri, huwa kinasisimua, it creates alot of mysteries and sensation. lakin ukikichunguza hamna lolote. Angalia brotherhood kama ya Freemason, Illuminati nk Au angalia mwanamke alievaa hijabu fullu..unatamani ujue kilichomo lakin ukijua kumbe ni kawaida tu. Katika maisha yangu nawajua usalama kama kumi, wengine nilisoma nao..wana maisha gani kwa mfano? Ni kama wafanyakazi wengine tu, kagari labda na kanyumba...nini cha ajabu hapo. Acheni mastory ya vijiweni na kutishiana ooh utapotezwa!Mambo ya kizamani. CIA wenyewe huko marekani sio matajiri ndo iwe hapa
 
Lakini mara nyingine TISS haiwezi kushughulikia maadui wa taifa bila kuwahusisha TPDF @ JWTZ,
Kuna matukio mengi ya kihatari ambayo yanakuwa militaristic sana na TISS hawawezi kuyamaliza wenyewe. Inahitaji ukusanywaji wa taarifa na mikakati ya kijeshi ili kuweza kukamilisha kazi kwa ufanisi wa hali ya juu sana.

Kikubwa zaidi ni kwamba TISS ina mkono mrefu sana kuliko TPDF @ JWTZ,
Kwasababu ni CIVILIAN INTELLIGENCE na inahusika na raia kwa moja kwa moja.
TPDF @ JWTZ Jurisdiction yao iko very limited kwasababu wao ni Purely Military tofauti kabisa na TISS.

Japo sasa,
Majasusi wengi wa TISS ambao ni heavy duty wanatokea JWTZ.
Kwasababu mfano tu, mwanajeshi Special Forces (Marine) anakuwa na uwezo mkubwa sana wa kufanya kazi za kijasusi wa kijeshi kama Reconnaissance, Kutegua mabomu, kuchambua na kutafsiri mikakati ya kijeshi ya nchi za adui kuliko jasusi ambaye yuko uraini kila siku . Kikubwa ambacho jasusi wa TISS atamshinda huyu Jasusi aliyetoka jeshi ni "Broad Mind" kwasababu mwisho wa siku kila taarifa za kijasusi ziwe za Kijeshi au Kiraia (Raw Intelligence) ni lazima ichakatwe (Processed) kwa ajili ya matumizi ya Kiutawala(Civilian Administrative Purposes). Wanaochakata ni Analysts ambao ni Think Tanks kutokea TISS kwasababu wanakuwa na mtazamo wa kiraia... ..Hili ndilo linawafanya TISS wawe hatua kumi mbele ya JWTZ @ TPDF kama taasisi.

NB 1: TISS wanafanya kazi bampa tu bampa na JWTZ kwasababu Its the duty of the TISS to make sure the army behaves and remains royal to the government and the state at by and large......!!!! Hivyo contractors wengine wa TISS wanakuwa ni wanajeshi katika asilimia 100% na maisha yao yote ni kwenye Barracks za kule Lugalo au Ngerengere.

Tuseme ukweli,
TISS na JWTZ ni mapacha wasiofanana (Fraternal Twins)
Hakuna anayeweza kufanya kazi bila kumtegemea mwenzake.
TISS IMARA=JWTZ IMARA..........

NB 2: Tusisahau pia kwamba JWTZ nao wana kitengo chao cha Intelijensia.
MILITARY INTELLIGENCE nacho kinafanya kazi na oparesheni kubwa sana za kijeshi.
Kazi yake ni kushughulikia maadui wa taifa covertly/clandestinely ambao ni purely Militaristic of Para-Militaristic in nature........
Akili kubwaa
 
TPDF ni takataka mbele ya TISS huwezi mlinganisha afisa na askari wa JWTZ hata huko TPDF wamejaa wanausalama kwa ufupi TISS ni kama damu katika mwili wa binadamu hata TPDF inategemea uwepo wa TISS kuwa hapo ilipo.
ficha ujinga wako..narudia tena FICHA UJINGA WAKO
 
Niwaeleze tuuuuu




Chombo chochote rahayake nikuwa na cheo cha juuuuu

Captain wa jeahi tuuuuu basi halifahamu jeshi jeshi no bahari bora hata General wa jeshi



Au Chief of staff



Ila nasikitikaga jeshi likipindua nchi kati ya mambo 10 ya kwanza nikuwashika na kuwaua wanausalama wa siri




Reference most of coup d'etat
Za ulimwenguni





TANZANIA JESHI LIKICHUKUA NCHI WANAANZA NA
DG
DDG
Nawengine wote wambea wambea
 
Niwaeleze tuuuuu




Chombo chochote rahayake nikuwa na cheo cha juuuuu

Captain wa jeahi tuuuuu basi halifahamu jeshi jeshi no bahari bora hata General wa jeshi



Au Chief of staff



Ila nasikitikaga jeshi likipindua nchi kati ya mambo 10 ya kwanza nikuwashika na kuwaua wanausalama wa siri




Reference most of coup d'etat
Za ulimwenguni





TANZANIA JESHI LIKICHUKUA NCHI WANAANZA NA
DG
DDG
Nawengine wote wambea wambea
Kwanini
 
Uposahihi Mkuu.
Nakumbuka Mwaka 2009 Nikiwa Mzumbe Sekondari Niliwahi Kufuatwa Usiku Wa Saa Tisa Nikiwa Darasani Kwenye Corner Peke Yangu Utulivu Mkubwa Na Sauti Za Milio Ya Wadudu Ikisika Baridi Ilikuwa Kali Nilisahau Kuja Na Sweater Ama Shuka. Mkononi Nilikuwa Nimeshikilia Kitabu Cha " The Da Vinc Code" By Dan Brown Nikiwa Natetema Kutokana Na Baridi Pia Kitabu Kilikuwa Kinatisha Baadhi Ya Sehemu. Wakati Nipo Deep Kwenye Kitabu Kama Mtu Anapokuwa Captivated Kwenye Movie Nikahisi Uwepo Wa Kitu Kwa Upande Wa Dirishani Hii Ni Moja Ya Gift Niliyopewa "Active Instincts" or Intuition" Nikajifanya Sijaona Chochote Ili Kuondoa Attention Ya Kitu Kilichopo Dirishani. Kwa Mara Ya Pili Nikahisi Hali Hii Nikajaribu Kudirect Macho Nione Aisee Nilipigwa Powerful Flash Light Ya Ajabu Mpaka Nikajiona Half- blind Nikatupa Kitabu Nitoke Nje Kumbe Kile Kitu Kilikuja Mbio Mpaka Mlangoni. Alikuwa Mtu Mrefu, Mweusi, Amevaa Spy coat Yenye Hood Na Miwani Nyeusi Aina Ya SPECTACLES. Tulibaki Kama Dakika Mbili Tunaangaliana Bila Kusema Kitu Mwishoni Akaniambia Kuna Kitu Nimepewa Ni Confidential Wakati Huo Akaingiza Mkono Wake Ndani Ya Koti Lake Upande Wa Kifuani Akitoa Bahasha Ya Brown Kabla Hajanipa Aliniambia Ikibainika Nimejaribu Kusema Ama Kuonesha Kilichomo Ndani Nisahau Wazazi Wangu Sikuonesha Kushutushwa Kwani Nimeyaona Sana Haya Mambo Vitabuni. Akanipa Ishara Anaondoka. Nikaiweka Bahasha Kwenye Novel Yangu Nikarudi Bweni La Mkwawa. Nikwaza Moyoni Sitaisoma Mpaka Kesho Tena Nitakwenda Mbali Kabisa Na Eneo La Shule. Ilipofika Ijumaa Jioni Nikaenda Sehemu Inaitwa "Kilima Hewa" Sehemu Ya Nje Ya Mzumbe University. Kwa Bahati Nzuri Nikakuta Hamna Mtu Kabisa Nikashuka Mpaka Chini Ya Mlima, Nikaangalia Kushoto Na Kulia Hakukuwa Na Object Of Attention. Nikaingiza Mkono Mpaka Ndani Ya Bukta Ambako Niliifadhi Kwenye Mfuko Wa Rambo. Taraatibu Nikaanza Kuifungua Ile Bahasha N ilipigwa Butwaa Baada Ya Kuona Maandishi Ya Ajabu Ambayo Yamepangwa Ajabu Kwa Wino Mweus.i Zikakata Kama Dakika Kumi Nikiangalia Jinsi Gani Ningeweza Kupata Maana Ya Ujumbe Nilioupata Kwa Njia Ya Kusisimua. Nikakumbuka Wakati Naisoma Novel Ya Dan Brown " The Da Vinc Code" Kuna Kitu Kinaitwa "Ambigram" Na "Anagram" ( Watu Wa Symbiology Mnaelewa) Techniques Ambazo Zilitumika Miaka Ya Nyuma Kufanya Ujumbe Uwe Wa Siri Na Ikitokea Mtu Asiyehusika Akaupata Asiweze Kuelewa. Hapo Nikafanya Transfer Of Knowledge Kwa Kutumia Ambigram Ambapo Maandishi Huandikwa Kinyume Na Ili Uweze Kuelewa Ni Mpaka Utumie Kioo ( Watu Wa Reflection Of Light Mnaelewa) Ama Uishikile Karatasi Juu Kama Unaangalia Jua Hapa Unaweza Kusoma Clerarly. Nilivyo Maliza Kusoma Yale Maandashi Sikuamini Nilijuta Kwanini Nimekuwa Mtumwa Wa Novel. Inshort Nilipewa Kitu Kinaitwa " Black Bag Job" ( Watu Wa Intelligence Mnaelewa) Kilichoendelea I was Once In A While " Birdwatcher" Kwa Leo Naomba Niishie Hapo. Ila Mkuu Novels Ni Slaa Maalumu Kwa Watu Wa Usalama Kuna Mzee Ni Mstaafu Rafiki Yangu Tumejauana Kutokana Na Novels. Sijui Kwa Vijana Wa Siku Hizi Kama Wana Hobby Na Hii Kitu Kama Zamani.
Sasa si uendelee? Black bag job ni nini? Punguza uswahili tafadhali, kama ni hivyo hukuwa na haja ya kuleta vidokezo vya aina hii, stori yako ungekaa nayo mwenyewe tu, Waafrika sijui tunashindwa wapi.
 
Hahahaa we jamaa umenifanya nicheke kwa sauti..
Nadhani ujui sheria za kijeshi au za kujiunga na army laiti unge jua usinge andika huo upupu wako.
Ukimuona mwanajeshi yupo anapiga kazi TISS sio kwamba ameenda kupeleleza mambo ya huko, yupo kwa ajili ya tasks flani acha kuwa kichwa box.
Nadhani hujui ndani ya military ina vyuo vikumbwa vya intelligence na vinafundisha usalama wa ndani na nje kuliko hata vyuo vya TISS.
Na hata siku moja uwezi kuta eti usalama wa jeshi yupo anafanya kazi polisi eti kama undercover kuchunguza polisi wanafanyaje kazi au yupo kule TISS anachunguza wanafanyaje kazi,
Sasa wewe uli skia wapi kuna TISS yupo kama undercover ndani ya jeshi ana peleleza mambo ya jeshi huyo si atakuwa kama jasusi na sheria za jeshi lolote adhabu ni kupigwa risasi mpaka kufa.
Mnabishana kitu kidogo sana, yuke Boss aliyefichuliwa na jiwe kwamba ni TISS mnamkumbuka ? Yule ni polisi na kazi yake huko ilikuwa ni kuoeleka taarifa kwa jiwe kuhusu polisi kwa mfano askari fulani amefanya hivi nk. Hao wapo hadi TPDF na kazi yao ni kupeleka taarifa kwamba mkuu wa sehemu fulani amefanya jambo fulani au jeshi linafanya hivi nk
Kwa kifupi hadi jeshi la mgambo kuna TISS,wamewekwa majeshini kuhakikisha wanazima majaribio ya mapinduxi na kuwachomea ma boss wauza silaha nk. TiSs ni wambea na kazi yao ni kufanya umbeya so usidhani eti wakiwa JWTZ hawatoi siri za jeshi. Wapo maafisa wa TISS hadi ulaya,congo,uganfa nk.pale Uganda wakati vita ndio imeanza kuna askari wa TISS walitumwa UG ila mmoja alidakwa akauliwa,walimshtukia coz alijidai chizi so akaanza kufuatiliwa
Afu hoja yako eti TISS akichunguza jeshi atauwawa ni dhaifu sana, nani wa kumuua ? Unajua hadi askari wa jeshi kuuwawa ni mpaka atiwe hatiani na mahakama ya kijeshi ? Sasa mtamuhukumu kumuua mtu aliyetumwa na amiri jeshi mkuu ?. Na unadhani kumjua ni rahisi ? Nakupa mfano hapo Congo jeshi liliunda mpango wa kumuua rais ila akatonywa na watu wake wa usalama ndani ya jeshi
 
Mnabishana kitu kidogo sana, yuke Boss aliyefichuliwa na jiwe kwamba ni TISS mnamkumbuka ? Yule ni polisi na kazi yake huko ilikuwa ni kuoeleka taarifa kwa jiwe kuhusu polisi kwa mfano askari fulani amefanya hivi nk. Hao wapo hadi TPDF na kazi yao ni kupeleka taarifa kwamba mkuu wa sehemu fulani amefanya jambo fulani au jeshi linafanya hivi nk
Kwa kifupi hadi jeshi la mgambo kuna TISS,wamewekwa majeshini kuhakikisha wanazima majaribio ya mapinduxi na kuwachomea ma boss wauza silaha nk. TiSs ni wambea na kazi yao ni kufanya umbeya so usidhani eti wakiwa JWTZ hawatoi siri za jeshi. Wapo maafisa wa TISS hadi ulaya,congo,uganfa nk.pale Uganda wakati vita ndio imeanza kuna askari wa TISS walitumwa UG ila mmoja alidakwa akauliwa,walimshtukia coz alijidai chizi so akaanza kufuatiliwa
Afu hoja yako eti TISS akichunguza jeshi atauwawa ni dhaifu sana, nani wa kumuua ? Unajua hadi askari wa jeshi kuuwawa ni mpaka atiwe hatiani na mahakama ya kijeshi ? Sasa mtamuhukumu kumuua mtu aliyetumwa na amiri jeshi mkuu ?. Na unadhani kumjua ni rahisi ? Nakupa mfano hapo Congo jeshi liliunda mpango wa kumuua rais ila akatonywa na watu wake wa usalama ndani ya jeshi
Unamadini


Japo hayana proof
Naomba story wa kichaa wa Uganda na jaribio congo
 
hapa nitakupinga. JWTZ wana resources nyingi, na rasilimali watu wengi kuliko TISS.
and JWTZ sio brainless foot soldiers,kuna vitengo ndani yake, moja yao ni MI. officialy wana detachment yao maalum but sitoiweka hapa kwa sasa.
yes TISS mara kadhaa wanafanya recruitment toka jeshini, but it doesnt mean kwa JWTZ hawajui, or they know.
MI wanafanya kazi karibu na TISS.nila sio kwamba ni TISS.
hizi ni taasisi mbili zenye kazi tofauti. na kila mmoja ana umuhimu wake.
Toa madini unaogopa nn
 
Raia wanaongea kwa namna wanavyoona huku nje. Huko kwenye circle zao wanaheshimiana wote CID (Police) , MI (JWTZ) , na TISS. Hawa ni wanausalama wa wazi ambao wanajulikana na majukumu yao ila ndani ya majeshi kuna mifumo migumu ambayo hakuna anayeweza kuijua labda Nyerere alikufa na hii siri na hata JPM aliwahi kugusia kidogo.

Zipo idara za kiraia, taasisi za kidini, vyama vya siasa zimejaa manguli wa ujasusi na pengine wakurugenzi wao wa siri wapo huko kwenye majeshi n.k Inawezekana hata Rais anajua kwa sehemu tu ndio maana mara nyingi Rais akiinga madarakani anafukuza watu ovyo alafu baadae akipata facts anatulia na pengine kuwateua aliowafukuza kwa kashfa!

Unaweza kukuta Tundu Lissu pamoja na u radical wake lakini wanaom control bila yeye kujua ni Tiss ( mfano). Kama unafikiri mambo ni rahisi kesho Shiba ugali wako alafu kaombe usajili wa chama cha siasa [emoji41]. Huu ni uchambuzi wangu wa kufikirika tuuu [emoji2958]
 
Lakini mara nyingine TISS haiwezi kushughulikia maadui wa taifa bila kuwahusisha TPDF @ JWTZ,
Kuna matukio mengi ya kihatari ambayo yanakuwa militaristic sana na TISS hawawezi kuyamaliza wenyewe. Inahitaji ukusanywaji wa taarifa na mikakati ya kijeshi ili kuweza kukamilisha kazi kwa ufanisi wa hali ya juu sana.

Kikubwa zaidi ni kwamba TISS ina mkono mrefu sana kuliko TPDF @ JWTZ,
Kwasababu ni CIVILIAN INTELLIGENCE na inahusika na raia kwa moja kwa moja.
TPDF @ JWTZ Jurisdiction yao iko very limited kwasababu wao ni Purely Military tofauti kabisa na TISS.

Japo sasa,
Majasusi wengi wa TISS ambao ni heavy duty wanatokea JWTZ.
Kwasababu mfano tu, mwanajeshi Special Forces (Marine) anakuwa na uwezo mkubwa sana wa kufanya kazi za kijasusi wa kijeshi kama Reconnaissance, Kutegua mabomu, kuchambua na kutafsiri mikakati ya kijeshi ya nchi za adui kuliko jasusi ambaye yuko uraini kila siku . Kikubwa ambacho jasusi wa TISS atamshinda huyu Jasusi aliyetoka jeshi ni "Broad Mind" kwasababu mwisho wa siku kila taarifa za kijasusi ziwe za Kijeshi au Kiraia (Raw Intelligence) ni lazima ichakatwe (Processed) kwa ajili ya matumizi ya Kiutawala(Civilian Administrative Purposes). Wanaochakata ni Analysts ambao ni Think Tanks kutokea TISS kwasababu wanakuwa na mtazamo wa kiraia... ..Hili ndilo linawafanya TISS wawe hatua kumi mbele ya JWTZ @ TPDF kama taasisi.

NB 1: TISS wanafanya kazi bampa tu bampa na JWTZ kwasababu Its the duty of the TISS to make sure the army behaves and remains royal to the government and the state at by and large......!!!! Hivyo contractors wengine wa TISS wanakuwa ni wanajeshi katika asilimia 100% na maisha yao yote ni kwenye Barracks za kule Lugalo au Ngerengere.

Tuseme ukweli,
TISS na JWTZ ni mapacha wasiofanana (Fraternal Twins)
Hakuna anayeweza kufanya kazi bila kumtegemea mwenzake.
TISS IMARA=JWTZ IMARA..........

NB 2: Tusisahau pia kwamba JWTZ nao wana kitengo chao cha Intelijensia.
MILITARY INTELLIGENCE nacho kinafanya kazi na oparesheni kubwa sana za kijeshi.
Kazi yake ni kushughulikia maadui wa taifa covertly/clandestinely ambao ni purely Militaristic of Para-Militaristic in nature........
Who are you Mr.. how comes you have known all these?
 
Kwa tetesi zisizo rasmi ni kwamba 90% ya wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalma ni watu kutoka TISS undercover hii ni pamoja na wakuu wa vitengo ndani vyombo hivyo ndo maana TISS wanabki kuwa regulator wa kila jambo hata kuamua nani awe president wa nchi
Ni kweli tupu na sio hao tu hata wakurugenzi wa halmashauri
 
Back
Top Bottom