Upande wa ukingo wa Magharibi aliko Mahmoud Abbas wana vita vyengine vikali kuliko vya Gaza


Magaidi lazima yashughulikiwe Kwa nguvu zote
 
Pole sana ni wakati sasa wa kwenda kuchukua passport na kwenda kuwapambania ndugu zako,kupiga kelele humu jf haitokusaidia kitu mana kila siku wanazidi kuangamizwa na kupoteza makazi yao.
Ipambanie Ngorongoro maana nao wanatendewa hivyo hivyo tena hauhitaji passport
 
Taifa teule lenye kupenda umwagaji damu.
Turudi kwenye mstari,
Si waliamshwa kwa kipigo na wavaa kobazi tar 7?
Bila sababu kukomoana tu.
Sasa magaidi wameua 500.
Statement ya zamani sana wayahudi walisema ukiua 1 wetu tutaua 100 kwenu.
Hesabu.
500×100=5000,
wayahudi mpk sasa kwenye 2000+ washafuta huko palestina
Bado 3000 na chenchi ikibidi.
Mwana kulitafuta mwana kulipata.
Kichaa kapata rungu unamchokoza.
 
Hawa watu wanateswa sana halafu vyombo vya habari havimliki matukio yanayo wakandamiza lkn likiwa ni la upande wa Wayahudi hata radio za huku vichakani zitapaza sauti.
 
Tuna shida hizi
Maji
Umeme
Elimu
Afya kwa wote
Uongozi bora.


Hayo ya wapalestina yasitupumbaze tukashindwa kusimama kwa ajili ya wajukuu zetu
 
Mjue tu nani gaidi wa kweli.Umeona huyo mzee hapo juu anavyopigwa mawe na vijana wa kiyahudi.Atawaweza wapi hao.Na kesho kama hakufa hatokuja tena shambani kwake.
Waarabu ndio wavamiz
 
Usipotumia akili na kusoma historia utarudia msemo huo huo mpaka mwisho.
Mi sisomi historia za kiarabu na kiislam. Mi nasoma history yenyewe kama ilivyo. Waarabu walivamia na kujipa uhalali wa uenyeji
 
Mi sisomi historia za kiarabu na kiislam. Mi nasoma history yenyewe kama ilivyo. Waarabu walivamia na kujipa uhalali wa uenyeji
acha upuuzi wako huo.History yenyewe ndio nini.Na utaijuwa vipi iwapo unaisoma na tayari una bangi kichwani.
 
acha upuuzi wako huo.History yenyewe ndio nini.Na utaijuwa vipi iwapo unaisoma na tayari una bangi kichwani.
Upuuzi ni Kuamin kila unachoambiwa na masheikh ubwabwa wako ni sahihi. Mi nilifikir unaakili utuambie kwanini waarabu wanafanya the same story hapo Darfur Sudan na mmekaa kimya. Au wale wamasai wanavyonyang'anywa eneo lao na kuhamishwa kwa nguvu mmekaa kimya. Akiguswa mwarabu tu ndio mnaona binadamu kapigwa ila waafrica kwenu ni mnyama nyambafu.
 
Wakati ukiandika uangalie mbele na nyuma.Hayo unayosema kama kwamba yanawahusu waarabu pekee na pia huangalii nani mtendaji mkubwa,
Waislamu na waarabu wanaona akiguswa myahudi tu ndio inakuwa balaa.Mbona kila siku wanauliwa na hakuna anayeshughulika na kumtaka muuwaji aheshimu maazimio ya UN.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…