Upande wa ukingo wa Magharibi aliko Mahmoud Abbas wana vita vyengine vikali kuliko vya Gaza

Wewe inaonekana hasara hata ktk familia yako
Wewe mjinga na nimeamini huko uislam wajinga ni wengi sana na unafiki ndio yenu, mbona sudani waislam weusi wanauawa na waarabu husemi?

Mmezoea kuishi shimoni kama panya, vipi al qassam brigade umeibuka lini yoka shimoni😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Mayahudi na washirika wanakalia ardhi za waislam
Ardhi ya waislam ipo Saudia, huko Israel imefikaje!! Israel taifa lina miaka karibu elfu 3, waislamu, warumi na waarabu ndiyo wameivamia Israel na kuwafukuza wayahudi kuanzia karne ya kwanza warumi hadi uislam ulipoanza wakaendeleza, wacha wayahudi wachukue ardhi yao ya asili hadi HEKALU LA MFALME SOLOMON.
 
Dunia imeumbwa na Mungu ambaye ni mmoja tu na yeye ndiye hutoa na kugawa kwa amtakaye.Anabadili umiliki wa vitu kama anavyopenda.Unazaliwa huna chochote halafu unapata.Na unaweza ukazaliwa huna na ukabaki huna mpaka huko mbeleni ndipo Mungu akakupa.
Ukiacha historia za mbali sana ambazo nyengine hazina uhakika ardhi ya Palestina na maeneo yote yanayoizunguka yamepewa waislamu tena kwa aya ndani ya Qur'an.Waislamu wakishindwa kuyalinda wanajitafutia matatizo bure.
 
wapalestina watafutiwe tu eneo lingine hawana nchi tena hapo.

Niliona ile video walima zabibu (Palestinians) wanafukuzwa na jeshi la Israel wanaondoka na trekta lao wamepanda kwenye tela huku wakisikitika...
 
wapalestina watafutiwe tu eneo lingine hawana nchi tena hapo.

Niliona ile video walima zabibu (Palestinians) wanafukuzwa na jeshi la Israel wanaondoka na trekta lao wamepanda kwenye tela huku wakisikitika...
Inasikitisha sana.Lakini baada ya kuona hivyo ndio umetoa pendekezo la aina hiyo.
 
Inasikitisha sana.Lakini baada ya kuona hivyo ndio umetoa pendekezo la aina hiyo.
Kweli hilo ndilo pendekezo la mwisho.

Israel hawezi acha kuichukua hiyo ardhi yote hadi iishe ata kwa mtutu wa bunduki ataendelea kuimega tu, huo ndiyo ukweli licha ya kuwa ni mchungu.
 
Kweli hilo ndilo pendekezo la mwisho.

Israel hawezi acha kuichukua hiyo ardhi yote hadi iishe ata kwa mtutu wa bunduki ataendelea kuimega tu, huo ndiyo ukweli licha ya kuwa ni mchungu.
Aliisha chukua alipochukua
Hapo ndio mwisho wake hatachukua tena ghaza atakimbizwa kama alivyokimbizwa 2005
 
Aliisha chukua alipochukua
Hapo ndio mwisho wake hatachukua tena ghaza atakimbizwa kama alivyokimbizwa 2005
Waulize "Occupied West Bank" ata hiyo gaza yenyewe ameishawahamisha kwenda kusini ndani ndani anabomoa kaskazini pakiisha anawafata na huko kusini alipowaambia wakimbilie.

Yaani haijalishi ulienda kusini kukwepa mabomu au ulibakia kaskazini pote ni moto, gaza yote haikaliki....hadi kambi za wakimbizi na hospital.
 
Ni kweli unayoyasema.Inasikitisha sana haya yanayatokea.
 

View: https://x.com/ajsteelshow/status/1829187261428314515
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…