Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #61
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia leo lazima wakutie nguvuni!!Umataga pori huwa ni ufisi flani hivi.
Mkuu hili swala ni seriuos case. Acheni kufanya editing kujaribu kuwaingiza watu kwenye matatizo.
Kwa jinsi alivyokamatia mtutu vizuribni wazi huyu jamaa ana mafunzo flan hiv ya siraha,kama sio mafunzo ya ugaidi basi huenda alipita pita JKTHii ndio taarifa mpya inayozunguka mitandaoni kwa sasa , bila shaka jeshi la Polisi linahitaji kufanya upekuzi kwenye nyumba hiyo ili kukusanya ushahidi zaidi na labda kujiridhisha kama kuna magaidi wengine kwenye nyumba hiyo .
Ngoja tuendelee kutega sikio
View attachment 1908119
Atakuwa Gwajima (Askofu) huyu, na wajinga wenzake ambao wanaamini Mwendazake bado yupo hai, huu ndio wakati muafaka wa kumminya balls GwajimaRais asikubali uchunguzi wa polisi peke yao. Aunde kakikosi ka siri au alete majasusi wa nje wachunguze.
Something fishy.
Naunga mkono hoja.Wajikite kwenye hayo magaidi ya kweliAngalau kidogo ili polisi wetu wachangamke kwenye mambo ya msingi
Una hamu ya kurahisisha upelelzi?Hyo namba natamani nijaribu kuipiga🤔🤔🤔
Mkuu kuna maisha zaidi ya hizi siasa zetu za uhasamaKama ni kweli huyu gaidi amefanikiwa kuuwa hawa wasaidizi wa wizi wa kura watatu kama inavyosemekana ni jambo la kheri sana.
Hapa panahitaji hekima sana. Uchunguzi wa kina tusiishie kuangalia documentaries. Tuanze kwa Hamza.Huyu Hamza ni nini kilimpata?? Mbona picha zake na detail zake anaonekana ni jamaa poa tu asieshabihiana na mambo ya kigaidi na ule ubonge si rahisi mtu kudhani anaweza kuua hata mende (kwa jinsi wati wanene wanavochuliwa na jamii kwa sasa) .
Sasa huyu mwamba kajazwa madudu gani huko kichwani hadi aanze kuwachapa shaba askari, kuwapora bunduki na kushambuliana nao. Na jamaa alikua anakitafuta kifo tu na alilijua hilo wala hakua na wasiwasi, nini kalishwa huyu jamaa.
Marehemu ni mtoto wa kishua
Ukute ana udugu na Bashe.
Hana mafunzo yoyoteKwa jinsi alivyokamatia mtutu vizuribni wazi huyu jamaa ana mafunzo flan hiv ya siraha,kama sio mafunzo ya ugaidi basi huenda alipita pita JKT
Kumbe magaidi wapo ndani ya chama chetu?halafu tunasingizia watu wengine
Ni kwa sababu tumefanya ili uitwe gaidi lazima uwe muislamu, mfano matukio kama hayo ya watu kufanya mashambulizi kwa silaha hufanyika sana huko Marekani ila kwa sababu wafanyaji sio waislamu basi hayo matukio hayahusishwi na ugaidi na hao wafanyaji hawaitwi magaidi.Ugaidi na Uislamu, why?
Huyo jamaa bila shaka ni Muislamu. Uislamu una nini kilichojificha???
Ndivyo ilivyo,hao watakula kipondo cha mbwa kokoView attachment 1908146
Kwa akili mbovu ya Polisi wetu, sintashangaa kusikia watu wote hawa waliopiga picha na huyu jamaa wamekamatwa wako ndani "kuisaidia Polisi"
Waatchiwa baada ya miaka miwili na waatakuwa na upendo na Polisi wetu walinzi wa amaniNdivyo ilivyo,hao watakula kipondo cha mbwa koko
Kwamba apokee akiwa kuzimu?Hyo namba natamani nijaribu kuipiga[emoji848][emoji848][emoji848]
Marehemu ni mtoto wa kishua