Upanga, Dar: Yaliyojiri kutoka Ukumbi wa JWTZ, Mkutano na Waandishi wa Habari

Waandishi wote wa Tanzania Pamoja na vyombo vyote vya Habari vya Tanzania tunalo jukumu kubwa la kulinda Amani ya nchi yetu, kamwe tusikubali kurubuniwa au kuchochewa tukavuruga amani ya Nchi yetu kwa kalamu zetu au vyombo vyetu vya habari.
Nchi yetu Kwanza.
 
Duh kwahio tayari Press imeisha?
 
haya mambo si yalipaswa yasemwe na wizara ya ulinzi na si jeshi lenyewe? huko nyuma yalikuwa yanasemwa na waziri wa ulinzi au ye yote kwa niaba yake, huyu mabeyo ameamua kufanya hivi kwa kuwa rais na waziri wa ulinzi ni wanawake?
 
Wewe ndio hutaki kuwa "Mwaipaya" hahahaha Divide and rule!
 
haya mambo si yalipaswa yasemwe na wizara ya ulinzi na is jeshi lenyewe? huko nyuma yalikuwa yanasemwa na waziri wa ulinzi au ye yote kwa niaba yake, huyu mabeyo ameamua kufanya hivi kwa kuwa rais na waziri wa ulinzi ni wanawake?
Mwanamke hasipowezeshwa HAWEZI

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo umeanza kuhukumu kabla ya kusikia kitakachoongelewa??
Tabia huzaa mazoea.Tabia ya serikali hii ya CCM inajulikana.Hata wewe ukiibiwa ndani kwako cha kwanza utaanza kumuhisi kibaka ambae anaishi karibu na nyumba yako.
 
What......!!!!!!!

Politicization of non political entities
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…