UPDATE: GAME Supermarket kufunga rasmi biashara zake Tanzania

UPDATE: GAME Supermarket kufunga rasmi biashara zake Tanzania

Hapana ni wizi wa wafanyakazi. Biashara ipo ila unakuta mfano mlimani city unanunua TV then mfanyakazi wa hapo Game anakuambia ipo TV aina ile ile bei chee unatoka naye anaenda kweli anakuuzia kwa bei ndogo. Kwa hiyo unakuta biashara nyingi Africa Mashariki labda uwe na usimamizi, ila Kenya, Tz na Uganda raia wake wezi mno
this is true, my friend aliwahi fanya kazi game alipomaliza chuo na aliniambia pale wafanyakazi 90% ni wezi, yani wanaibia kampuni kupitia wateja, ukienda kununua fridge anakwambia kuna kama ilo mahali ila bei chee so unampa % flani then kweli anakupa kwa bei chee ambayo hata ubgeenda kaliakoo usingepata kwa hiyo bei, pia niliwahi enda kununua frizer la sister 2017, basi nikapenda ka microwave flani hivi kalikua amazing, mfanyakazi wa pale akaniambia hiyo microwave ni 380k ila we nipe laki 150k tu unaibeba, nikasema [emoji50]? akasema ila hutapata receipt nikasema poa, imagine kumbe waiweke ile microwave ndani ya frizer so nilipie frizer tu.... mmmh nikasema basi tarudi badae ngoja nikaongeze hela ndio nikatokonea manake nikasema mmh tukikamatwa na mimi niitwe mwizi[emoji23].

Ila kiukweli watanzania jamanai ni wezi sana, wanaharibu sana biashara za watu kwa kuiba iba, wanaharibu sana makampuni kwa kuiba iba sana, yani ni tooo much, ninefany kazi baadhi ya sehemu kiukweli watu wanawaza tu jinsi gani wataiibia kampuni, yani hawawazi jinsi gani ya kuiendeleza kampuni, ndio maana wachaga huona bora waajiri ndugu zao kidogo watakua na uchungu, ndio maana wahindi washajua sasa wanaona bora atafte wahindi wenzake awalete hata ahonge ila awalete ndio wasimamie sehemu nyeti hasa zinazohusu fedha, watu watabaki kulalamika ajira hakuna and so and so but wanasahau kua siku hizi watu wanaajiri watu wanaowajua sababu ya mambo hayo ya wizi. Mtu anaanza kazi ila anataka baada ya mwezi anunue gari, apange nyumba nzuri eneo zuri, apate demu mkali, atoke out kwenye sehemu za gharama, aanze kushop sprash shop etc ndio anawaza bora aibe apate hayo. so sad.
 
this is true, my friend aliwahi fanya kazi game alipomaliza chuo na aliniambia pale wafanyakazi 90% ni wezi, yani wanaibia kampuni kupitia wateja, ukienda kununua fridge anakwambia kuna kama ilo mahali ila bei chee so unampa % flani then kweli anakupa kwa bei chee ambayo hata ubgeenda kaliakoo usingepata kwa hiyo bei, pia niliwahi enda kununua frizer la sister 2017, basi nikapenda ka microwave flani hivi kalikua amazing, mfanyakazi wa pale akaniambia hiyo microwave ni 380k ila we nipe laki 150k tu unaibeba, nikasema [emoji50]? akasema ila hutapata receipt nikasema poa, imagine kumbe waiweke ile microwave ndani ya frizer so nilipie frizer tu.... mmmh nikasema basi tarudi badae ngoja nikaongeze hela ndio nikatokonea manake nikasema mmh tukikamatwa na mimi niitwe mwizi[emoji23].

Ila kiukweli watanzania jamanai ni wezi sana, wanaharibu sana biashara za watu kwa kuiba iba, wanaharibu sana makampuni kwa kuiba iba sana, yani ni tooo much, ninefany kazi baadhi ya sehemu kiukweli watu wanawaza tu jinsi gani wataiibia kampuni, yani hawawazi jinsi gani ya kuiendeleza kampuni, ndio maana wachaga huona bora waajiri ndugu zao kidogo watakua na uchungu, ndio maana wahindi washajua sasa wanaona bora atafte wahindi wenzake awalete hata ahonge ila awalete ndio wasimamie sehemu nyeti hasa zinazohusu fedha, watu watabaki kulalamika ajira hakuna and so and so but wanasahau kua siku hizi watu wanaajiri watu wanaowajua sababu ya mambo hayo ya wizi. Mtu anaanza kazi ila anataka baada ya mwezi anunue gari, apange nyumba nzuri eneo zuri, apate demu mkali, atoke out kwenye sehemu za gharama, aanze kushop sprash shop etc ndio anawaza bora aibe apate hayo. so sad.
Na ukisema uwakamate hao wafanyakazi na kuwafungulia mashitaka basi ndugu zake wataenda kwa mwamposa wakaombewe au kwa mganga wamroge hakimu au wakili afe ili washinde kesi wakati ni wezi
 
Wafunge tu.
Hawa jamaa wanauza bidhaa fake na zile zilizo defective.
Mimi siendagi kununua GAME bidhaa yoyote, baada ya kununua vifaa mara tatu na vyote viliharibika baada ya wiki moja.
Yaani ununue wewe viharibike alafu ujumuishe vitu na watu wote?.Kuna kifaa gani ambacho hakiharibiki duniani.ata hivyo inaonekana wewe ndiye ambaye uko rough.Maana tuko wengi tu tumeshanunua vitu kwao na bado vipo.Tatizo la mtu mmoja mmoja halipaswi kua tatizo la watu wote.Unasema wafunge kirahis tu bila kujua ilo ni anguko la kiuchumi na kwa sehemu kubwa litatugusa sisi wenyewe.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
this is true, my friend aliwahi fanya kazi game alipomaliza chuo na aliniambia pale wafanyakazi 90% ni wezi, yani wanaibia kampuni kupitia wateja, ukienda kununua fridge anakwambia kuna kama ilo mahali ila bei chee so unampa % flani then kweli anakupa kwa bei chee ambayo hata ubgeenda kaliakoo usingepata kwa hiyo bei, pia niliwahi enda kununua frizer la sister 2017, basi nikapenda ka microwave flani hivi kalikua amazing, mfanyakazi wa pale akaniambia hiyo microwave ni 380k ila we nipe laki 150k tu unaibeba, nikasema [emoji50]? akasema ila hutapata receipt nikasema poa, imagine kumbe waiweke ile microwave ndani ya frizer so nilipie frizer tu.... mmmh nikasema basi tarudi badae ngoja nikaongeze hela ndio nikatokonea manake nikasema mmh tukikamatwa na mimi niitwe mwizi[emoji23].

Ila kiukweli watanzania jamanai ni wezi sana, wanaharibu sana biashara za watu kwa kuiba iba, wanaharibu sana makampuni kwa kuiba iba sana, yani ni tooo much, ninefany kazi baadhi ya sehemu kiukweli watu wanawaza tu jinsi gani wataiibia kampuni, yani hawawazi jinsi gani ya kuiendeleza kampuni, ndio maana wachaga huona bora waajiri ndugu zao kidogo watakua na uchungu, ndio maana wahindi washajua sasa wanaona bora atafte wahindi wenzake awalete hata ahonge ila awalete ndio wasimamie sehemu nyeti hasa zinazohusu fedha, watu watabaki kulalamika ajira hakuna and so and so but wanasahau kua siku hizi watu wanaajiri watu wanaowajua sababu ya mambo hayo ya wizi. Mtu anaanza kazi ila anataka baada ya mwezi anunue gari, apange nyumba nzuri eneo zuri, apate demu mkali, atoke out kwenye sehemu za gharama, aanze kushop sprash shop etc ndio anawaza bora aibe apate hayo. so sad.
Tatizo mishahara midogo sana wanalipwa. Unategeme huyo mtu anaishije?

Sehemu watu wanalipwa mishahara midogo ishu za wizi lazima ziwepo.

Linganisha na sehemu watu wanalipwa vizuri.
 
Hadi wale wahindi na waarabu hawanunui huko au vipi mie ndio sielewi
Corona effects hizo. Wamejikuta gharama za uendeshaji ni kubwa sana kuliko wanacho ingiza, wanajikuta wana nufaisha walio wapangisha maeneo ya biashara.. angalia kodi wanayolipa mfano M.city na kile wanacho ingiza profit ndio utajua upepo umekuwa mmbaya
 
Wakifunga mwingine atakuja kufungua mpya. Tatizo labda wanayauza bei sana hayo masupa maketi yao.
 
this is true, my friend aliwahi fanya kazi game alipomaliza chuo na aliniambia pale wafanyakazi 90% ni wezi, yani wanaibia kampuni kupitia wateja, ukienda kununua fridge anakwambia kuna kama ilo mahali ila bei chee so unampa % flani then kweli anakupa kwa bei chee ambayo hata ubgeenda kaliakoo usingepata kwa hiyo bei, pia niliwahi enda kununua frizer la sister 2017, basi nikapenda ka microwave flani hivi kalikua amazing, mfanyakazi wa pale akaniambia hiyo microwave ni 380k ila we nipe laki 150k tu unaibeba, nikasema [emoji50]? akasema ila hutapata receipt nikasema poa, imagine kumbe waiweke ile microwave ndani ya frizer so nilipie frizer tu.... mmmh nikasema basi tarudi badae ngoja nikaongeze hela ndio nikatokonea manake nikasema mmh tukikamatwa na mimi niitwe mwizi[emoji23].

Ila kiukweli watanzania jamanai ni wezi sana, wanaharibu sana biashara za watu kwa kuiba iba, wanaharibu sana makampuni kwa kuiba iba sana, yani ni tooo much, ninefany kazi baadhi ya sehemu kiukweli watu wanawaza tu jinsi gani wataiibia kampuni, yani hawawazi jinsi gani ya kuiendeleza kampuni, ndio maana wachaga huona bora waajiri ndugu zao kidogo watakua na uchungu, ndio maana wahindi washajua sasa wanaona bora atafte wahindi wenzake awalete hata ahonge ila awalete ndio wasimamie sehemu nyeti hasa zinazohusu fedha, watu watabaki kulalamika ajira hakuna and so and so but wanasahau kua siku hizi watu wanaajiri watu wanaowajua sababu ya mambo hayo ya wizi. Mtu anaanza kazi ila anataka baada ya mwezi anunue gari, apange nyumba nzuri eneo zuri, apate demu mkali, atoke out kwenye sehemu za gharama, aanze kushop sprash shop etc ndio anawaza bora aibe apate hayo. so sad.
Umenikumbusha bwana mmoja nilikua nafanya naye kazi taasisi fulani uko nyuma.alianza kuuza laptop na simu za mkononi kali kwa bei ya kutupa.Alikua anaziuza kwa fujo hadi tukawa tunajiuliza mtaji kautoa wapi kwasababu bei ilikua haviendani na bei halisi ya bidhaa.watu wakawa wanachangamkia wengine hadi kwa mkopo wakulipa kwa instalment.Akauza uza baada ya muda akawa kimya,akiulizwa anasema ameagiza mzigo haujafika.Wakati huo alishachukua hadi oda za watu.maana ilikua ukimwambia unahitaji aina flani ya simu anakwambia leta ela baada ya siku mbili unapokea mzigo wako.Baada ya muda kupita ndo tukagundua kumbe alikua analetewa mzigo na ndugu yake aliyekua anafanya kazi kwenye store ya duka la mhindi flani.Yule mhindi alikuja akafunga cctv camera kwenye ile store nzima kwahiyo ikawa ndo mwisho wa yule ndugu kuiba.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Nimeshanunua hapo bidhaa zaidi ya mara 5 na hazijawahi haribika mpaka leo.

Na vitu vyao ni genuine.
Una bahati, nina radio ambayo haifanyi kazi, nilinunua lawn woer iliyohaibika baada ya muda tu, nilinunua rechargeable spot lights zilizoharibika baada ya wiki.
Baada ya hapo nika give up.
 
Umenikumbusha bwana mmoja nilikua nafanya naye kazi taasisi fulani uko nyuma.alianza kuuza laptop na simu za mkononi kali kwa bei ya kutupa.Alikua anaziuza kwa fujo hadi tukawa tunajiuliza mtaji kautoa wapi kwasababu bei ilikua haviendani na bei halisi ya bidhaa.watu wakawa wanachangamkia wengine hadi kwa mkopo wakulipa kwa instalment.Akauza uza baada ya muda akawa kimya,akiulizwa anasema ameagiza mzigo haujafika.Wakati huo alishachukua hadi oda za watu.maana ilikua ukimwambia unahitaji aina flani ya simu anakwambia leta ela baada ya siku mbili unapokea mzigo wako.Baada ya muda kupita ndo tukagundua kumbe alikua analetewa mzigo na ndugu yake aliyekua anafanya kazi kwenye store ya duka la mhindi flani.Yule mhindi alikuja akafunga cctv camera kwenye ile store nzima kwahiyo ikawa ndo mwisho wa yule ndugu kuiba.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mhindi Aliwapa taarifa wafanyakazi kuwa amefunga cctv au aliwashtukiza?
 
Wafunge tu.
Hawa jamaa wanauza bidhaa fake na zile zilizo defective.
Mimi siendagi kununua GAME bidhaa yoyote, baada ya kununua vifaa mara tatu na vyote viliharibika baada ya wiki moja.
Una bahati mbaya, mimi nilinunua mashine za kunyolea mwaka 2009 hadi leo zinadunda bila wasiwasi wowote
 
this is true, my friend aliwahi fanya kazi game alipomaliza chuo na aliniambia pale wafanyakazi 90% ni wezi, yani wanaibia kampuni kupitia wateja, ukienda kununua fridge anakwambia kuna kama ilo mahali ila bei chee so unampa % flani then kweli anakupa kwa bei chee ambayo hata ubgeenda kaliakoo usingepata kwa hiyo bei, pia niliwahi enda kununua frizer la sister 2017, basi nikapenda ka microwave flani hivi kalikua amazing, mfanyakazi wa pale akaniambia hiyo microwave ni 380k ila we nipe laki 150k tu unaibeba, nikasema [emoji50]? akasema ila hutapata receipt nikasema poa, imagine kumbe waiweke ile microwave ndani ya frizer so nilipie frizer tu.... mmmh nikasema basi tarudi badae ngoja nikaongeze hela ndio nikatokonea manake nikasema mmh tukikamatwa na mimi niitwe mwizi[emoji23].

Ila kiukweli watanzania jamanai ni wezi sana, wanaharibu sana biashara za watu kwa kuiba iba, wanaharibu sana makampuni kwa kuiba iba sana, yani ni tooo much, ninefany kazi baadhi ya sehemu kiukweli watu wanawaza tu jinsi gani wataiibia kampuni, yani hawawazi jinsi gani ya kuiendeleza kampuni, ndio maana wachaga huona bora waajiri ndugu zao kidogo watakua na uchungu, ndio maana wahindi washajua sasa wanaona bora atafte wahindi wenzake awalete hata ahonge ila awalete ndio wasimamie sehemu nyeti hasa zinazohusu fedha, watu watabaki kulalamika ajira hakuna and so and so but wanasahau kua siku hizi watu wanaajiri watu wanaowajua sababu ya mambo hayo ya wizi. Mtu anaanza kazi ila anataka baada ya mwezi anunue gari, apange nyumba nzuri eneo zuri, apate demu mkali, atoke out kwenye sehemu za gharama, aanze kushop sprash shop etc ndio anawaza bora aibe apate hayo. so sad.
Halafu Wawekezaji wakija na staffu wao kelele kibao, Arusha wahindi nawakubali sana wameleta hadi walinzi kutoka kwao,
 
Back
Top Bottom