UPDATE: GAME Supermarket kufunga rasmi biashara zake Tanzania

UPDATE: GAME Supermarket kufunga rasmi biashara zake Tanzania

Yaani ununue wewe viharibike alafu ujumuishe vitu na watu wote?.Kuna kifaa gani ambacho hakiharibiki duniani.ata hivyo inaonekana wewe ndiye ambaye uko rough.Maana tuko wengi tu tumeshanunua vitu kwao na bado vipo.Tatizo la mtu mmoja mmoja halipaswi kua tatizo la watu wote.Unasema wafunge kirahis tu bila kujua ilo ni anguko la kiuchumi na kwa sehemu kubwa litatugusa sisi wenyewe.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Saa nyingine unaweza kuta unamjibu mtu ambae ni kula kulala home,hajui mtaani pakoje mkuu.
 
Halafu Wawekezaji wakija na staffu wao kelele kibao, Arusha wahindi nawakubali sana wameleta hadi walinzi kutoka kwao,
Ebu mlipe mswahili dola elf 3, nyumba na usafiri uone kama atakuibia.
Watu mnafanya kazi moja na wewe ndo unahangaika sana unapewa laki 6 usafiri na nyumba juu yako unategemea matokeo sawa?
Ila sikubaliani na kuwa wezi tutafute namna ya kudai maslahi mazuri.
 
Hili sio jema kwa chumi zetu serekali makini ingekaa nao kuna nini sababu and how to rescue
 
Ebu mlipe mswahili dola elf 3, nyumba na usafiri uone kama atakuibia.
Watu mnafanya kazi moja na wewe ndo unahangaika sana unapewa laki 6 usafiri na nyumba juu yako unategemea matokeo sawa?
Ila sikubaliani na kuwa wezi tutafute namna ya kudai maslahi mazuri.
Ngozi nyeusi hata umpe dola elfu 10 ataiba tu [emoji23][emoji1787]
 
Ebu mlipe mswahili dola elf 3, nyumba na usafiri uone kama atakuibia.
Watu mnafanya kazi moja na wewe ndo unahangaika sana unapewa laki 6 usafiri na nyumba juu yako unategemea matokeo sawa?
Ila sikubaliani na kuwa wezi tutafute namna ya kudai maslahi mazuri.
Moja ya kigezo cha Mshahara ni halibya uchumi atokako Mgunda 5M inakidhi haha Tz ila Mshahara huo kea mzungu akiupeleka kwao hautoshi kitu.
 
Ebu mlipe mswahili dola elf 3, nyumba na usafiri uone kama atakuibia.
Watu mnafanya kazi moja na wewe ndo unahangaika sana unapewa laki 6 usafiri na nyumba juu yako unategemea matokeo sawa?
Ila sikubaliani na kuwa wezi tutafute namna ya kudai maslahi mazuri.
Kuna watu wanalipwa 12M na bado wanaiba, refer hata kwa wabunge na mawaziri wako wa nchi[emoji34]
 
Vipi kutakuwa na bei ya promo ili kumaliza mzigo?

Inategemea wanataka kufunga lini hiyo biashara yao, wanaweza wakawa hawaleti mzigo ila wanauza tu mzigo ulipo...

Mfano Shoprite walipoondoka walifanya clearance sale ya vitu vyote...
 
Back
Top Bottom