UPDATE: GAME Supermarket kufunga rasmi biashara zake Tanzania

UPDATE: GAME Supermarket kufunga rasmi biashara zake Tanzania

Hapana ni wizi wa wafanyakazi. Biashara ipo ila unakuta mfano mlimani city unanunua TV then mfanyakazi wa hapo Game anakuambia ipo TV aina ile ile bei chee unatoka naye anaenda kweli anakuuzia kwa bei ndogo. Kwa hiyo unakuta biashara nyingi Africa Mashariki labda uwe na usimamizi, ila Kenya, Tz na Uganda raia wake wezi mno
Uongo mwingine hata haufaagi kuusikiliza sasa muuzaji atatoka saa ngapi kazini kwake na mteja , akaiuze hiyo TV bila kujulikana? atauza ngapi hajakamatwa? au hupajui Mlimani City weye?

Mteja gani anaye taka kuburuzwa uchochoroni hukooo! ki wizi wizi??...semeni ukweli tu Bongo hakuna helaa!! kuna vijicent vya Mawazo tuu!......vichafuuu!!..mnavutana vutana kiumaskini!
 
Uongo mwingine hata haufaagi kuusikiliza sasa muuzaji atatoka saa ngapi kazini kwake na mteja , akaiuze hiyo TV bila kujulikana? atauza ngapi hajakamatwa? au hupajui Mlimani City weye?

Mteja gani anaye taka kuburuzwa uchochoroni hukooo! ki wizi wizi??...semeni ukweli tu Bongo hakuna helaa!! kuna vijicent vya Mawazo tuu!......vichafuuu!!..mnavutana vutana kiumaskini!
Uchumi umedorora , watu hoi mfukoni
 
Sio wa tz wezi! Mfumo wa maisha "kama huli_unaliwa" tunaelekea kama walivyo wa naigeria
Hii mentality inaanzia juu serikalini mpaka level ya chini kwa mnunuzi /mlaji , unakuta serikali inapiga kodi kubwa zisizoendana na uhalisia au kuempose harmful & unnecessary policies or regulations then biashara wanareplicate effect hiyo kwa wafanyakazi kwa kuminya maslahi then wafanyakazi nao wanaiba ,kufanya hujuma na vimbwanga kibao then biashara nayo inaamua kuuza bidhaa au huduma feki / bidhaa au huduma kwa bei kubwa sana / kukwepa kodi then effects hizi zinamkuta mwananchi ,hii ndio multiplier effect sasa
 
Naona watu wanabishana tu.....

Supermarket kutokufanya vizuri East Africa hususani Tanzania sababu kubwa ni mfumo wetu wa ununuzi.

Kwa aliyewahi kuishi nje ya mfumo wa namna hii ndiye pekee atanielewa.

Sisi biashara zetu zinaendeshwa na watu wengi.....hatuna kakikundi ka watu kalikohodhi biashara...Na ndiyo maana Tanzania. Tofauti na South Africa na baadhi ya nchi....biashara nyingi na kubwa zinamilikiwa na kikundi cha watu wachache...

Supermarket ni duka la Mangi kubwa tu. Wakishapatikana watu wachache wakatengeneza chain ya maduka makubwa basi atayeanzisha kaduka kake kadogo kanakouuza bidhaa zilezile zinazouzwa na duka kubwa hawezi kutoboa. Hiki ndicho kilichopo SA na Ulaya. Ndiyo maana kwenye nchi hizi Tajiri ataendelea kubakia Tajiri na muda wote maskini ataendelea kubakia maskini.

Tanzania ni Tofauti kidogo....biashara zetu ndogondogo ndizo zinacontrol soko kwa ujumla.

Hivyo game....haiwezi kufanya vizuri....vilevile Mangi hawezi kufanya vizuri SA kama ambavyo game anafanya.

Mfumo gani ni mzuri kuliko mwingine....ni debate na research inatakiwa kufanyika.
 
Hii mentality inaanzia juu serikalini mpaka level ya chini kwa mnunuzi /mlaji , unakuta serikali inapiga kodi kubwa zisizoendana na uhalisia au kuempose harmful & unnecessary policies or regulations then biashara wanareplicate effect hiyo kwa wafanyakazi kwa kuminya maslahi then wafanyakazi nao wanaiba ,kufanya hujuma na vimbwanga kibao then biashara nayo inaamua kuuza bidhaa au huduma feki / bidhaa au huduma kwa bei kubwa sana / kukwepa kodi then effects hizi zinamkuta mwananchi ,hii ndio multiplier effect sasa
Yaani mambo mengine ukiyafikiria kwa kina yana pagawisha sana!
 
Cannibalistic living system and standards , typical of third world countries ,
Na hapa hatuvuki leo wala kesho!
Kipindi cha nyuma nilishakua na boss mmoja mchina kwenye story za hapa na pale haswa za maswala hayahaya ya vibali na uendeshaji wa biashara alinieleza swala moja, alitumia lugha nyepesi sana ila ilikua nzito sana haswa kwa utaratibu wa nchi kama yetu!

" Unafuga kuku wakati na wewe ni mlevi wa nyama ya kuku, ukianza kumla kuku utakua huoni mbele zaidi pia utakua umeshindwa kujielewa kua wewe unapenda kula nyama ya kuku kwa kiasi gani, maana ukimla huyo mmoja inamaana siku itakayo fuata utakua huna kuku wa kumla
utalazimika either ukanunue kuku kwa gharama ili ummle tena au ukae na hamu yako mpaka upate ngekewa tena,
( haya ndio yanayo tusibu kwenye system zetu ), kama una ulevi wa nyama ya kuku, mfuge huyo kuku umlee mtafutie na mwenzie ili aanze kutaga, watotoe mayai wawe kuku wengi hata kwa matoteo matatu utakua na kuku wa kutosha hata na hao walio totolewa watakua wamesha anza kutaga nao wana totoa, hivyo hata ukiamua kula kuku leo kesho ule mayai itakua ni faida kwani watakua wengi na huto wamaliza itafika mahala hata utawauza na wengine, ndio utakua umefanikiwa,
ila mfumo wetu ulivyo, kuku huyo huyo anaanza kutaga mara umemkwanyua mguu, mara umemkwanyua bawa atazalisha vipi!!? Kama sio mayai aliyo anza kutaga yataishia kua viza!!?

Aliongea kauli hiyo huku kiwanda chake kikiwa kimefungwa upande tena kwa sababu za ajabu, na alikua amekamilisha vitu vingi na mashine kaagiza production line si chini ya mil400 na chenj na alichotakiwa alipie alikua amesha lipia c chini ya mil25 ila kwenye system ilikua haionekani, kumbuka ni muwekezaji, akahitajika kulipa nyngine ambapo ilimtoka mil27 hapo bado eneo analipia kwa mwaka ma millioni ya kutosha bado umeme tu kwa mwezi ilikua ina range kwy mil14 mpaka 17 bado maji, aisee nilimuonea huruma, na hata mtambo wenyewe alio uagiza haukufanya kazi hata miezi mi5 akapigwa chini! Sasa pata picha! Sijui yupo wapi au alisha rudi kwao ila ina sikitisha sana utitiri wa kodi mara hivi mara vile
 
Ebu mlipe mswahili dola elf 3, nyumba na usafiri uone kama atakuibia.
Watu mnafanya kazi moja na wewe ndo unahangaika sana unapewa laki 6 usafiri na nyumba juu yako unategemea matokeo sawa?
Ila sikubaliani na kuwa wezi tutafute namna ya kudai maslahi mazuri.

Hawa ndugu zetu wizarani wanalipwa shilingi ngapi?
 
Na hapa hatuvuki leo wala kesho!
Kipindi cha nyuma nilishakua na boss mmoja mchina kwenye story za hapa na pale haswa za maswala hayahaya ya vibali na uendeshaji wa biashara alinieleza swala moja, alitumia lugha nyepesi sana ila ilikua nzito sana haswa kwa utaratibu wa nchi kama yetu!

" Unafuga kuku wakati na wewe ni mlevi wa nyama ya kuku, ukianza kumla kuku utakua huoni mbele zaidi pia utakua umeshindwa kujielewa kua wewe unapenda kula nyama ya kuku kwa kiasi gani, maana ukimla huyo mmoja inamaana siku itakayo fuata utakua huna kuku wa kumla
utalazimika either ukanunue kuku kwa gharama ili ummle tena au ukae na hamu yako mpaka upate ngekewa tena,
( haya ndio yanayo tusibu kwenye system zetu ), kama una ulevi wa nyama ya kuku, mfuge huyo kuku umlee mtafutie na mwenzie ili aanze kutaga, watotoe mayai wawe kuku wengi hata kwa matoteo matatu utakua na kuku wa kutosha hata na hao walio totolewa watakua wamesha anza kutaga nao wana totoa, hivyo hata ukiamua kula kuku leo kesho ule mayai itakua ni faida kwani watakua wengi na huto wamaliza itafika mahala hata utawauza na wengine, ndio utakua umefanikiwa,
ila mfumo wetu ulivyo, kuku huyo huyo anaanza kutaga mara umemkwanyua mguu, mara umemkwanyua bawa atazalisha vipi!!? Kama sio mayai aliyo anza kutaga yataishia kua viza!!?

Aliongea kauli hiyo huku kiwanda chake kikiwa kimefungwa upande tena kwa sababu za ajabu, na alikua amekamilisha vitu vingi na mashine kaagiza production line si chini ya mil400 na chenj na alichotakiwa alipie alikua amesha lipia c chini ya mil25 ila kwenye system ilikua haionekani, kumbuka ni muwekezaji, akahitajika kulipa nyngine ambapo ilimtoka mil27 hapo bado eneo analipia kwa mwaka ma millioni ya kutosha bado umeme tu kwa mwezi ilikua ina range kwy mil14 mpaka 17 bado maji, aisee nilimuonea huruma, na hata mtambo wenyewe alio uagiza haukufanya kazi hata miezi mi5 akapigwa chini! Sasa pata picha! Sijui yupo wapi au alisha rudi kwao ila ina sikitisha sana utitiri wa kodi mara hivi mara vile
Duh ! Kwa Hali hii tunakazi aisee , hatutoboi ng'o
 
Yaani kabisaaa nina hela ya kuingia na kununua mali zenye garantee! za uhakika....kwa nafasi na kujidai city ya mlimani na mkoko wangu wa bei mbaya nje hapo unalindwa eti mnuka majasho mmoja aje aniburuze hukooo Mwenge sabato kule na nikanunue mji-Tv wa kizamani km bwege... basi km unafanya hayo ama kudhania ivo utakuwa umekuja mjini juzi au umesimuliwa.
 
Back
Top Bottom