wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Saa nyingine unaweza kuta unamjibu mtu ambae ni kula kulala home,hajui mtaani pakoje mkuu.Yaani ununue wewe viharibike alafu ujumuishe vitu na watu wote?.Kuna kifaa gani ambacho hakiharibiki duniani.ata hivyo inaonekana wewe ndiye ambaye uko rough.Maana tuko wengi tu tumeshanunua vitu kwao na bado vipo.Tatizo la mtu mmoja mmoja halipaswi kua tatizo la watu wote.Unasema wafunge kirahis tu bila kujua ilo ni anguko la kiuchumi na kwa sehemu kubwa litatugusa sisi wenyewe.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mshahara mkubwa Ni sh. Ngapi na mshahara mdogo Ni sh. Ngapi?Tatizo mishahara midogo sana wanalipwa. Unategeme huyo mtu anaishije?
Sehemu watu wanalipwa mishahara midogo ishu za wizi lazima ziwepo.
Linganisha na sehemu watu wanalipwa vizuri.
Halafu Mshahara haujawa mdogo ghafla. Kabla ya kuajiriwa uliona inatosha,baadaye mtu anaiba akisema mishahara midogo. Huyo wizi uko kwenye damu. Stains tu hata akiongezewaMshahara mkubwa Ni sh. Ngapi na mshahara mdogo Ni sh. Ngapi?
Sahihi kabisa mkuu.Halafu Mshahara haujawa mdogo ghafla. Kabla ya kuajiriwa uliona inatosha,baadaye mtu anaiba akisema mishahara midogo. Huyo wizi uko kwenye damu. Stains tu hata akiongezewa
Ebu mlipe mswahili dola elf 3, nyumba na usafiri uone kama atakuibia.Halafu Wawekezaji wakija na staffu wao kelele kibao, Arusha wahindi nawakubali sana wameleta hadi walinzi kutoka kwao,
Ngozi nyeusi hata umpe dola elfu 10 ataiba tu [emoji23][emoji1787]Ebu mlipe mswahili dola elf 3, nyumba na usafiri uone kama atakuibia.
Watu mnafanya kazi moja na wewe ndo unahangaika sana unapewa laki 6 usafiri na nyumba juu yako unategemea matokeo sawa?
Ila sikubaliani na kuwa wezi tutafute namna ya kudai maslahi mazuri.
Moja ya kigezo cha Mshahara ni halibya uchumi atokako Mgunda 5M inakidhi haha Tz ila Mshahara huo kea mzungu akiupeleka kwao hautoshi kitu.Ebu mlipe mswahili dola elf 3, nyumba na usafiri uone kama atakuibia.
Watu mnafanya kazi moja na wewe ndo unahangaika sana unapewa laki 6 usafiri na nyumba juu yako unategemea matokeo sawa?
Ila sikubaliani na kuwa wezi tutafute namna ya kudai maslahi mazuri.
Kuna watu wanalipwa 12M na bado wanaiba, refer hata kwa wabunge na mawaziri wako wa nchi[emoji34]Ebu mlipe mswahili dola elf 3, nyumba na usafiri uone kama atakuibia.
Watu mnafanya kazi moja na wewe ndo unahangaika sana unapewa laki 6 usafiri na nyumba juu yako unategemea matokeo sawa?
Ila sikubaliani na kuwa wezi tutafute namna ya kudai maslahi mazuri.
Hayo Maduka ndio yanayouzwa complete, sio bidhaa zake tuHadi wale wahindi na waarabu hawanunui huko au vipi mie ndio sielewi
Hao wahindi ndio wezi balaaNgozi nyeusi hata umpe dola elfu 10 ataiba tu [emoji23][emoji1787]
Hivi Shoppers si ni Mwarabu?Shoppers amekamata bongo
Sio kweliHao wahindi ndio wezi balaa
Kumbuka pia Magu aliewafilisi amefariki sasa sijui inakuwajeSi wanasema biashara tz zimeimarika kupitia royal tour.Sasa imekuwaje hwa wanafunga biashara zao?
Vitu vingi ni cheap kuliko mitaani, na vinapatikana kwa variety tofautiIla sometimes ni cheaper
Usibishe mkuu,Sio kweli
Vipi kutakuwa na bei ya promo ili kumaliza mzigo?