TANZIA UPDATE: Makamu wa Rais wa Malawi afariki katika ajali ya Ndege
Mpaka muda huu inatafutwa haijulikani ilipo na muda wowote Rais wa Malawi anaenda Kuzungumza na Wamalawi.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia hivi punde.
Rais wa Malawi amesafiri leo kwenda Bahamas kwenye mkutano.
ALIRUDIA EAPOTI ALIPOKUWA AKITAKA KUPANDA NDEGE AKAPEWA TAARIFA, ANGEKUWA YULE WA AWAMU YA NNE ANGESAFIRI HUKU AKIKAIMU MAAGIZO YA UTAFUTAJI.
AKILI ZA KUAMBIWA JIONGEZE NA ZAKO.
 
Ila hakuna taarifa iliyotolewa kama kuna ajali yoyote imetokea. Pengine ni mawasiliano tu yamepotea ingawa kwa muda huo kama hawajapata mawasiliano haiwezi kuwa angani muda wote huo
Hapoo ukimya unakuta wanajiandaa kutangaza jeshi washapewa maelekezo na nyimbo za kuimba yaleeee yaa komba....mzee tunajua ajafa anatuwekea za msiba kumbe saanyingi
 
Back
Top Bottom