aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 5,175
- 16,488
Hii ndiyo lugha ya Malawi? Ndiyo maana wamalawi wamejaa sana bongo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndiyo lugha ya Malawi? Ndiyo maana wamalawi wamejaa sana bongo.
Nilipenda sana katiba ya Iran inayotoa siku 50 kufanyika uchaguzi wa kumpata Number One mwingine.Mpaka muda huu inatafutwa haijulikani ilipo na muda wowote Rais wa Malawi anaenda Kuzungumza na Wamalawi.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia hivi punde.
Rais wa Malawi amesafiri leo kwenda Bahamas kwenye mkutano.Mpaka muda huu inatafutwa haijulikani ilipo na muda wowote Rais wa Malawi anaenda Kuzungumza na Wamalawi.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia hivi punde.
Uje na hapa TZ sasa.Mpaka muda huu inatafutwa haijulikani ilipo na muda wowote Rais wa Malawi anaenda Kuzungumza na Wamalawi.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia hivi punde.
Ila hakuna taarifa iliyotolewa kama kuna ajali yoyote imetokea. Pengine ni mawasiliano tu yamepotea ingawa kwa muda huo kama hawajapata mawasiliano haiwezi kuwa angani muda wote huoMmmh ndege kupona n siri kubwa mkuuu wanayojua piltot
ChichewaHii ndiyo lugha ya Malawi? Ndiyo maana wamalawi wamejaa sana bongo.
Hapoo ukimya unakuta wanajiandaa kutangaza jeshi washapewa maelekezo na nyimbo za kuimba yaleeee yaa komba....mzee tunajua ajafa anatuwekea za msiba kumbe saanyingiIla hakuna taarifa iliyotolewa kama kuna ajali yoyote imetokea. Pengine ni mawasiliano tu yamepotea ingawa kwa muda huo kama hawajapata mawasiliano haiwezi kuwa angani muda wote huo
.aeneo ya mbezi beach wamejazana kama wote kilanyumbaaChichewa
Na wa yao wamejaa kwao pia
Duh imebidi nicheke japo tukio ni la huzuni.Hapoo ukimya unakuta wanajiandaa kutangaza jeshi washapewa maelekezo na nyimbo za kuimba yaleeee yaa komba....mzee tunajua ajafa anatuwekea za msiba kumbe saanyingi
Ndugu zetu hao lakini mpwa.aeneo ya mbezi beach wamejazana kama wote kilanyumbaa
Mimi nilijiua wapo Masaki tu.aeneo ya mbezi beach wamejazana kama wote kilanyumbaa