Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Isije kuwa yale ya ndege ya Malaysia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hataree mkuu zaman tuliwapendaa kweli sema wamekuwa wezi hadi wanawake sikuhiziMimi nilijiua wapo Masaki tu
Hata kugoogle umeshindwa,mbona sijaisikia either BBC DW wala Sauti ya America? Hao Aljazira wako na kiherehere hata taarifa haijajuwa comfemed
Nimekubaliana na chanzo chako. Mikono juuHata kugoogle umeshindwa,
View attachment 3013950
Uko wapi ,kumbe nchini kwenu ,makamo wa rais ndiye rais wa nchiNilipenda sana katiba ya Iran inayotoa siku 50 kufanyika uchaguzi wa kumpata Number One mwingine.
Kwamba ukungu?😂Au naho helicopter
Ova
Kumbe umenielewa vizuri sana.Uko wapi ,kumbe nchini kwenu ,makamo wa rais ndiye rais wa nchi
Ilitarajiwa kutua mida ya saa 10:30AmIna muda gani toka haionekani
We noma, hadi VP wa Malawi umesoma nae🤣🤣🤣R.i.P Classmates...😥