TANZIA UPDATE: Makamu wa Rais wa Malawi afariki katika ajali ya Ndege
Wiki iliyopita niliota naona ndege ilipotea njia yake ikashindwa kutua na kusababisha maafa . Ilikuwa inatokea ulaya na nilivyokuwa naitafakari ndoto hiyo asubuhi yake nikagundua Bi tozo alikuwa bado hajarudi kutoka korea. Nikataka nipost humu kukumbusha marubani watakao endesha ndege atakayopanda rais siku ya kurudi Tanzania wahakikishe wameamka vizuri na wana utimamu wa akili lakini nikasita nikajua ni ndoto tu inaweza isiwe na maana .

Niliikemea ndoto hiyo isiwe kweli . Isije kutokea vifo vya marais wawili mfululizo wakiwa madarakani kwa Tanzania. Bi tozo simpendi lakini ni bora aondolewe madarakani kwa kura 2025 , siyo kifo . Na siku iliyofuatia baada ya kuota ndoto hiyo , nikasikia Bi tozo amerudi na amefika salama .

Leo nasikia ndege iliyo mbeba makamu wa rais wa malawi imepotea .
Eti Bi Tozo. Huyo ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote nchini. Put some respec on her name please!

➡️➡️➡️ Kwani amesharudi kutoka Korea? Hapaswi kuwa na wasiwasi maana naamini hana maadui wengi wa kuweza kumhujumu kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wake ambaye alidhani kuwa kutosafiri ndiyo kungemsaidia...

Ila akubali katiba ibadilishwe - na kile kipengele cha Makamu wa Rais kuwa rais automatically baada ya rais kufariki akiwa madarakani kiondolewe haraka. Katiba mpya iseme kuwa ikitokea rais akafia madarakani basi makamu wake atakaimu nafasi hiyo kwa miezi mitatu ambapo uchaguzi mkuu utafanyika; na atakayeshinda ndiyo awe rais. Vinginevyo mh!!!
 
Mpaka muda huu inatafutwa haijulikani ilipo na muda wowote Rais wa Malawi anaenda Kuzungumza na Wamalawi.
---

Ajali ya ndege Malawi, makamu wa rais Saulos Chilima na maofisa 9 wasakwa tangu saa 3 asubuhi bila mafanikio

Taarifa ya hivi punde kutoka kwa ofisi ya rais imeeleza ndege iliyokuwa ikibeba makamu wa rais wa Malawi, Saulos Chilima, na wengine tisa imetoweka.
---

View attachment 3014002
Saulos Chilima
An aircraft carrying Malawi's Vice-President Saulos Chilima and nine others has gone missing, a statement from the president's office has said.

The Malawi Defense Force aircraft "went off the radar" after it left the capital, Lilongwe, on Monday morning, it added.

The president ordered a search and rescue operation after aviation officials were unable to contact the aircraft.

It was supposed to land at Mzuzu International Airport, in the country’s north, just after 10:00 local time (11:00 BST)
After being informed of the incident, Malawi's President Lazarus Chakwera cancelled his scheduled flight to the Bahamas.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia hivi punde.
Tuna Cha kujifunza hapa
 
Katika makubaliano waliyoingia huyu Rais wa sasa Chakwera na Huyo makamu wa Rais Chilima ni kwamba miaka 5 ataongoza Rais Chakwera na miaka 5 itakayobaki itakua ya Makamu wa Fais Chilima.
Kumbukeni Rais na makamu wake wanatoka vyama tofauti ila waliungana ili wakiondoe chama tawala cha Rais wa zamani aitwae muthalika.
 
Katika makubaliano waliyoingia huyu Rais wa sasa Chakwera na Huyo makamu wa Rais Chilima ni kwamba miaka 5 ataongoza Rais Chakwera na miaka 5 itakayobaki itakua ya Makamu wa Fais Chilima.
Kumbukeni Rais na makamu wake wanatoka vyama tofauti ila waliungana ili wakiondoe chama tawala cha Rais wa zamani aitwae muthalika.
Kwa Lugha ya Kinjagu ( Kijasusi ) hapa tunafupisha tu na kusema Mission Accomplished na sasa Boss Mkuu atapumua.
 
Hivi ni plane au chopper?
How do we call it?
FB_IMG_1718039101825.jpg
 
Ni kama Malaysian airline 7 iliyopotea miaka ya hivi karibuni na mabaki kutoonekana , hiyo ndege imetoka kwenye dimension tuliopo .
Universe ni kubwa kuliko upeo wa akili yetu .
Imeingia katika ulimwengu usionekana kwa macho ya mwanadamu .
Wale waliowahi kusoma issues za time travel wataelewa nilichoandika , Kuna kisa kiliwahi tokea cha ndege kupotea na kuja kuonekana miaka mingi baadaye na wale abiria wala hawakuwa wamezeeka .
Ni vitu vya ajabu mno na vimetokea visa vingi vya kupotea hata kwa meli kule Bermuda triangle Marekani na maeneo mengine duniani


Mpaka muda huu inatafutwa haijulikani ilipo na muda wowote Rais wa Malawi anaenda Kuzungumza na Wamalawi.
---
View attachment 3014012
Ajali ya ndege Malawi, makamu wa rais Saulos Chilima na maofisa 9 wasakwa tangu saa 3 asubuhi bila mafanikio

Taarifa ya hivi punde kutoka kwa ofisi ya rais imeeleza ndege iliyokuwa ikibeba makamu wa rais wa Malawi, Saulos Chilima, na wengine tisa imetoweka.

View attachment 3014002
Saulos Chilima
An aircraft carrying Malawi's Vice-President Saulos Chilima and nine others has gone missing, a statement from the president's office has said.

The Malawi Defense Force aircraft "went off the radar" after it left the capital, Lilongwe, on Monday morning, it added.

The president ordered a search and rescue operation after aviation officials were unable to contact the aircraft.

It was supposed to land at Mzuzu International Airport, in the country’s north, just after 10:00 local time (11:00 BST)
After being informed of the incident, Malawi's President Lazarus Chakwera cancelled his scheduled flight to the Bahamas.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia hivi punde.
 
Back
Top Bottom